The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Wala sina hata vinasaba vya uchaga ndani yng.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sina hata vinasaba vya uchaga ndani yng.
Kwa hivyo nyumba ya matope mjini Tanzania sio slum tena? Imekuwa unplanned settlement kwa sababu iko Tanzania ila nyumba za matope Kenya mnaziita slum sio?
Hizo nyumba za Brazil ukizileta TZ zinakuwa nyumba za lower middle class. Huoni hizo nyumba za Brazil ni nzuri na zina mpangilio nzuri kushinda takataka ya Dar ambayo nimeweka hapo. Hio picha ya Dar nimeitoa kwenye google. Kwa hivyo google siku hizi inadanganya? Mkishindwa huwa mnaanza kudanganya kwamba picha fulani sio Dar es Salaam.Thibitisha kwmb hyo picha ya pili ni Dar, alafu unasema kwmb hyo picha ya juu co slums hizo kwahiyo huoni kama hzo ni slums? Alafu mzungu kwahiyo anaipendelea Tz au sio?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Cha ajabu Nairobi ndio the most westernized and first-world-like-city in the whole of sub saharan Africa excluding cities in SA.
Ndio cha ajabu
Dar es Salaam is not even close
Nairobi ndio hub na gateway to subsaharan Africa,Lagos has no standards,now we remain with SA cities as cities above Nairobi..
Haya sasa utaona some crazy self proclaimed citizenship givers runnin like antelopes giving Tanzanian internet characters Kenyan citizenships...yaani as if nachosema about Nairobi ni uongo!
Hakuna siku nyumba ya matope mjini itakosa kuwa slum.slums is not only about building materials, it's a bundle of number of things. Spacing being a major one.
Dodoma ipi iyo yenye nyumba za tope katikati ya mji?Hii karne ya ishirini na moja bado kuna nyumba za matope katikati mwa Mji kuu wa Tanzania wa Dodoma. Sijui mnatoa wapi ubavu huu wa kutajataja Nairobi. Ondoeni takataka katikati mwa mji mkuu wenu kabla hamjakuja hapa kujipiga kifua
View attachment 1698010
Kwa mbeya hii haiwezekani nusu ya nyumba ni za tope watahamisha watu wangapi![]()
WENYE NYUMBA ZA TOPE MBEYA MJINI KUHAMISHWA
HALMASHAURI ya Jiji la Mbeya imeagizwà kuwahamisha watu ambao nyumba zao hazipo kwenye mpangilio wa mipango miji na kuwapatia viwanja vingine pembezoni mwa mji.
Agizo hilo lilitolewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Mariam Mtunguja wakati akizungumza na Madiwani pamoja na watendaji wa halmashauri hiyo katika mkutano wa Baraza la Madiwani.
Mtunguja alisema jiji la Mbeya bado haliendani na hadhi ya kuitwa jiji kutokana na hali ilivyo kwenye mpangilio wa makazi.
“Niaibu sana kuona mpaka leo hii eti ukipita katikati ya mji kuna nyumba za tope, kila Nyumba na langi yake, halafu jiji mnawatalaam wa mipangomiji ambao wanaweza kushauri namna bora ya kupanga makazi yetu na tukawa na jiji linalo vutia kama ilivyo majiji mengine,” alisema.
Kuna uzi nimeanzisha leo naona mods wameunganisha, imagine jamaa wana nyumba za tope mjini kati, yaani waza uone nyumba za tope Kenyatta avenue. Nilishangaa sana kuziona Dodoma mji wao mkuu.
HahahahahahaKwa mbeya hii haiwezekani nusu ya nyumba ni za tope watahamisha watu wangapi
Unacheka nini wakati nairobi zaidi ya nusu ya wakazi over 2.5 mln Nairobians wanakaa kwenye make shift shackhouses?Hahahahahaha
Geza Ulole The best 007 eliakeem
Huyu Mtanzania muungwana amekiri kwamba nyumba nusu yaani 50% za nyumba zote Mbeya ni za matope. Hahaha. Kuzihamisha haitawezekana.
Mkuu nilijua umeziona Dar-es-salaam City Center ,Kumbe Dodoma? Sheria za TZ ,Jijini hauruhusiwi kujenga Nyumba ya Chini na ndio maana ukitaka kujenga mjini lazima upeleke ramani watu wa mipango miji waipitie kwanza.
Hahahaaa Dodoma ni mji mkuu wa kisiasa ila Mji Mkuu ni DAR!!Hehehehe leo mnaikana Dodoma ilhali siku zote mnasema ndio mji mkuu wenu, kawaida nyumba za kihivyo nimezoea kuziona uswazi, kwa mfano hapa Nairobi utazikuta Mathare kule uswazi lakini Dodoma nilishtuka sana kuziona mjini kati, kwanza nilidhani labda itakua maonyesho fulani ila kushtuka kumbe makazi ya watu.
Hahahahahaha
Geza Ulole The best 007 eliakeem
Huyu Mtanzania muungwana amekiri kwamba nyumba nusu yaani 50% za nyumba zote Mbeya ni za matope. Hahaha. Kuzihamisha haitawezekana.
Nani aliye upload hyo picha? Mkenya? Tangu lini Dar ikawa na dongo jekundu?Hizo nyumba za Brazil ukizileta TZ zinakuwa nyumba za lower middle class. Huoni hizo nyumba za Brazil ni nzuri na zina mpangilio nzuri kushinda takataka ya Dar ambayo nimeweka hapo. Hio picha ya Dar nimeitoa kwenye google. Kwa hivyo google siku hizi inadanganya? Mkishindwa huwa mnaanza kudanganya kwamba picha fulani sio Dar es Salaam.
Taja mji wowote chini ya jangwa la sahara una facilities na ubora zaidi ya Nairobi ukitoa miji ya SA?
Taja huo mji tukuone
Lagos?..u gotta be serious...
Dar es Salaam?Jeez...Lusaka?Jeez
Labda Luanda ya Angola
All others are just garbages mzee....thats the FACT!
Mengine utakayoongea hapa najua ni emotions tu,rationality ishakufa..ujinga ndio unaongea..of which ni very hard to argue!
Mi nipo tofauti sana,siamini kwenye upumbavu wa nationalism blindly,mimi naamini "ukweli" hata kama unaniathiri au kunifanya vibaya
Hakuna siku nyumba ya matope mjini itakosa kuwa slum.
Weka hapa features za slums.ujue unaongea na professional guy.
Niliwahi andika hapa salient features za slums. Na tangu niziandike hapa, wale wa vile vitovuti mlivyokuwa mnavitumia hapa wakabadilisha vitu vingi sana.
[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90][emoji3545][emoji3545][emoji2781][emoji2781]DAR-IS-SLUM