With over 2 mln Nairobians live in slums, shack houses stilll makes most of the houses

With over 2 mln Nairobians live in slums, shack houses stilll makes most of the houses

Weka hapa features za slums.

Zitafute nilisha ziweka hapa. Ndiyo maana uelewa ulibadilika sana. wengi wakawa wanaelewa tofauti ya slums na unplanned settlements. Kwa maana siyo kila unplanned settlement ni slum, lakini kila slum ni unplanned settlement.
 
Sio zote ulizoweka hapo ni slum wewe. Unajua hata hio Soweto wazungu wanaiita slum ila ina nyumba nyingi za matofali? Akili kichwani.
Unajua hata Brazil wana slums zinazoitwa favelas ila ni nyumba zilizojengwa na matofali na zina barabara ya lami ila wazungu bado wanaziita slums? Favela ukiileta hapa Africa mashariki basi zinawacha kuwa slums zinakuwa makaazi ya watu wa kipato cha kati.


Tazama picha za favelas uone jinsi zinafanana
View attachment 1698107

Linganisha hizi favelas za Brazil ambazo zimejengwa kwa matofali na zimepangika vizuri na hii takataka hapa chini ya Dar es Salaam
View attachment 1698114

Unaona hii picha ya Dar es salaam ni maeneo ya kipato cha kati na kunakaa kuchafu kushinda favela slum ya Brazil.

Middle class yenu ni mbaya kushinda slum ya Brazil. Point yangu ni kuwa definition ya slum huwa inabadilika kulingana na kipato cha nchi husika.

Embu nisadikishe kwamba hapo picha ya chini ni Dar es Salaam.
 
[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90][emoji3545][emoji3545][emoji2781][emoji2781]View attachment 1698177View attachment 1698178
DAR-KEST-SLUM is DAR
Screenshot_20200904-130149_1599213903719.jpg
 
Hii karne ya ishirini na moja bado kuna nyumba za matope katikati mwa Mji kuu wa Tanzania wa Dodoma. Sijui mnatoa wapi ubavu huu wa kutajataja Nairobi. Ondoeni takataka katikati mwa mji mkuu wenu kabla hamjakuja hapa kujipiga kifua

View attachment 1698010
Hapa ni Mbeya siyo Dodoma, mbona imeandikwa iko wazi ama unakurupuka
 
Mchaga unamjua wewe? Yani mchaga umuweke kwenye slums unamjua vzr?
Kwenu ni mtu wa maana, huku Kenya akina Kimani, Farmaajo na Ongusu wanampiku.

Hawezani na wakikuyu,somali ama wakisii katika biashara. Tunatambua waarabu wenu pekee
 

With over 2 mln Nairobians live in slums, shack houses stilll make most of the houses​


washing-hanging-out-a-corrugated-iron-shack-mathare-nairobi-kenya-mathare-is-a-collection-of-slums-in-north-east-of-central-nairobi-kenya-with-2B858YT.jpg
Ni hasira ama ni nini propagandist 😂 😂 😂 😂 😂 ata uanzishe uzi millioni moja na kutapika propaganda hautobadilisha ukweli, Dar es salaam will remain kua ushago/mashambani/slum 80% na bado inaongezeka, hakuna city nje ya Dar., Mombasa pekee is above Dar standards of living on average, baada ya kutesa wenzako jana naona umekuja kutafuta kujiliwaza., poverty will kill you mzee.
Unaanzisha uzi without any substantial facts, tukiamua kuwaanika humu mtakimbia, mko ovyo sana ukanda huu zaidi mnavyo jiona. Ethiopia has overtaken you, doing better on poverty reduction, nyie umasikini unaongezeka na unapayuka humu. Get a life mzee.😂😂😂😂😂,
 
Nimewahi ishi mbeya,
Nyumba nyingi ni za tope, hata magorofa yale ya zamani ya uhindini yamejengwa kwa matope. Sema udongo wa mbeya ni wa tofauti sana. ni mgumu sana. kwa yeyote aliyefika mbeya atakubaliana na mimi. mkuu Bujibuji utakubaliana na mimi kuhusiana na hili, maana utakuta pagale lina miaka hata kumi, lkn halianguki tu. 🤣 🤣 🤣
Alafu cha kushangaza tunaambiwa kwamba Mbeya ni city licha ya hayo mapungufu yote uliyotaja
 
Back
Top Bottom