With over 2 mln Nairobians live in slums, shack houses stilll makes most of the houses

Weka hapa features za slums.

Zitafute nilisha ziweka hapa. Ndiyo maana uelewa ulibadilika sana. wengi wakawa wanaelewa tofauti ya slums na unplanned settlements. Kwa maana siyo kila unplanned settlement ni slum, lakini kila slum ni unplanned settlement.
 

Embu nisadikishe kwamba hapo picha ya chini ni Dar es Salaam.
 
Hapa ni Mbeya siyo Dodoma, mbona imeandikwa iko wazi ama unakurupuka
 
Mchaga unamjua wewe? Yani mchaga umuweke kwenye slums unamjua vzr?
Kwenu ni mtu wa maana, huku Kenya akina Kimani, Farmaajo na Ongusu wanampiku.

Hawezani na wakikuyu,somali ama wakisii katika biashara. Tunatambua waarabu wenu pekee
 

With over 2 mln Nairobians live in slums, shack houses stilll make most of the houses​


Ni hasira ama ni nini propagandist πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ata uanzishe uzi millioni moja na kutapika propaganda hautobadilisha ukweli, Dar es salaam will remain kua ushago/mashambani/slum 80% na bado inaongezeka, hakuna city nje ya Dar., Mombasa pekee is above Dar standards of living on average, baada ya kutesa wenzako jana naona umekuja kutafuta kujiliwaza., poverty will kill you mzee.
Unaanzisha uzi without any substantial facts, tukiamua kuwaanika humu mtakimbia, mko ovyo sana ukanda huu zaidi mnavyo jiona. Ethiopia has overtaken you, doing better on poverty reduction, nyie umasikini unaongezeka na unapayuka humu. Get a life mzee.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,
 
Alafu cha kushangaza tunaambiwa kwamba Mbeya ni city licha ya hayo mapungufu yote uliyotaja
 
Hivi watu huwa wanaenda Kenya kufanya nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…