Weka hapa features za slums.
Sio zote ulizoweka hapo ni slum wewe. Unajua hata hio Soweto wazungu wanaiita slum ila ina nyumba nyingi za matofali? Akili kichwani.
Unajua hata Brazil wana slums zinazoitwa favelas ila ni nyumba zilizojengwa na matofali na zina barabara ya lami ila wazungu bado wanaziita slums? Favela ukiileta hapa Africa mashariki basi zinawacha kuwa slums zinakuwa makaazi ya watu wa kipato cha kati.
Tazama picha za favelas uone jinsi zinafanana
View attachment 1698107
Linganisha hizi favelas za Brazil ambazo zimejengwa kwa matofali na zimepangika vizuri na hii takataka hapa chini ya Dar es Salaam
View attachment 1698114
Unaona hii picha ya Dar es salaam ni maeneo ya kipato cha kati na kunakaa kuchafu kushinda favela slum ya Brazil.
Middle class yenu ni mbaya kushinda slum ya Brazil. Point yangu ni kuwa definition ya slum huwa inabadilika kulingana na kipato cha nchi husika.
geuka 360Β° utaona mojawapo!Weka hapa features za slums.
DAR-KEST-SLUM is DAR[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90][emoji3545][emoji3545][emoji2781][emoji2781]View attachment 1698177View attachment 1698178
Wakenya bhn kwa kuokota picha!!! Ss hii ni Dar ya wapi hii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]DAR-KEST-SLUM is DARView attachment 1698232
Wacha ujinga. Ghasia. Takatakageuka 360Β° utaona mojawapo!
Hapa ni Mbeya siyo Dodoma, mbona imeandikwa iko wazi ama unakurupukaHii karne ya ishirini na moja bado kuna nyumba za matope katikati mwa Mji kuu wa Tanzania wa Dodoma. Sijui mnatoa wapi ubavu huu wa kutajataja Nairobi. Ondoeni takataka katikati mwa mji mkuu wenu kabla hamjakuja hapa kujipiga kifua
View attachment 1698010
Kwenu ni mtu wa maana, huku Kenya akina Kimani, Farmaajo na Ongusu wanampiku.Mchaga unamjua wewe? Yani mchaga umuweke kwenye slums unamjua vzr?
Ni hasira ama ni nini propagandist π π π π π ata uanzishe uzi millioni moja na kutapika propaganda hautobadilisha ukweli, Dar es salaam will remain kua ushago/mashambani/slum 80% na bado inaongezeka, hakuna city nje ya Dar., Mombasa pekee is above Dar standards of living on average, baada ya kutesa wenzako jana naona umekuja kutafuta kujiliwaza., poverty will kill you mzee.With over 2 mln Nairobians live in slums, shack houses stilll make most of the houses
Remember GEZA KITI MTU meat processing plant in sumbawanga? Ndanganyi(ass) wanakila kitu pia hamu mno ya kula nyama.Mnakula Albino asubuhi kama nyama choma na huku mpo busy kupost kuhusu Kenya
View attachment 1698015View attachment 1698016View attachment 1698017
Mbona huwa mnakataa hizi picha za Dar? Kumbe hata nyinyi huwa haziwafurahishi!Embu nisadikishe kwamba hapo picha ya chini ni Dar es Salaam.
Kwani Mbeya haiko Tanzania?Hapa ni Mbeya siyo Dodoma, mbona imeandikwa iko wazi ama unakurupuka
Hata hizi tumeokota π πWakenya bhn kwa kuokota picha!!! Ss hii ni Dar ya wapi hii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Spacing? π π πslums is not only about building materials, it's a bundle of number of things. Spacing being a major one.
Alafu nasikia eti Mbeya ni city! π π πKwa mbeya hii haiwezekani nusu ya nyumba ni za tope watahamisha watu wangapi
Alafu cha kushangaza tunaambiwa kwamba Mbeya ni city licha ya hayo mapungufu yote uliyotajaNimewahi ishi mbeya,
Nyumba nyingi ni za tope, hata magorofa yale ya zamani ya uhindini yamejengwa kwa matope. Sema udongo wa mbeya ni wa tofauti sana. ni mgumu sana. kwa yeyote aliyefika mbeya atakubaliana na mimi. mkuu Bujibuji utakubaliana na mimi kuhusiana na hili, maana utakuta pagale lina miaka hata kumi, lkn halianguki tu. π€£ π€£ π€£
In short DAR-IS-SLUMHata hizi tumeokota π π View attachment 1699237View attachment 1699238View attachment 1699239View attachment 1699244
Alafu cha kushangaza tunaambiwa kwamba Mbeya ni city licha ya hayo mapungufu yote uliyotaja
Spacing? π π π
Tuambie hii middle income estate yenu, kwa mfano, iko na spacing wapi? View attachment 1699245