Wito: CHADEMA chagueni Mwenyekiti mwingine, Mbowe kutoka ni ishu ya miaka

Hili ndilo lilikuwa lengo lenu
 
Mwenyekiti yupo korokoroni,Makamu wake yupo uhamishoni na Katibu Mkuu wa chama ni Bubu.

Hizo nafasi zote zipo wazi.
 
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu juu ya nafasi ya uhai aliyotupa
Kimsingi mm ni miongoni mwa watu wakioshiriki harakati mbalimbali na naomba niwape utofauti kati ya Ccm na Chadema
Chadema wamejikita katika nguvu ya mtu wakati Ccm wamejikita katika taasisi
Na mfano ni sasa wakati Ccm wanajipambanua kama chama kilichokomaa na chenye uwezo wa kuongeza nchi Chadema ni one man show
Ccm ina mizizi Chadema ina kariba ya watu na wanaharakati ambao hubadirika kulingana na nuktadha uliopo
Ccm itaendelea kushika Dola Chadema wataendelea kutumia mitandao ya kijamii ambayo asikimia 80 ya walio kijijini hawamjui kigogo,Twitter wala jamii forum ambao kwa idadi ni wengi na wana INFLUENCE kwenye maamuzi katika upigaji kura
Sisi Ccm nini tufanye?
1. Siyo kila sauti inaashiria hatari nyingine ni soga tu
2.Tuwe na collective responsibility kwa maana chain of responsibility ianzie juu nishike chini kama ilivyo siyo kila anapewa nafasi anasema lake
Nitaendelea baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…