Wito kwa Askari Polisi Barabarani tunaomba yule Dereva wa gari ya Simba SC anyang'anywe leseni yake

Wito kwa Askari Polisi Barabarani tunaomba yule Dereva wa gari ya Simba SC anyang'anywe leseni yake

V
Habari yako kamanda mkuu wa Barabarani, Kuna video inasambaa ikionesha basi ambalo moja kwa moja linaonekana ni la timu ya Simba SC likiendeshwa kinyumenyume katika barabara kuu hapo Dar es salaam.

Mara tu baada ya kuona video hiyo nikiwa kama msamaria mwema katika nchi hii nimeamua nitoe taarifa kwako hili hatua kali zichukuliwe kwamaana hule sio uendeshaji sahihi alafu kinachouma zaidi askari wa barabarani nao wamelikalia kimya na kufumbia macho uzembe hule.

Nikiwa kama mtanzania na mmoja kati ya wananchi wachache ambao tunamiliki magari na Leseni ya uendeshaji wake nakemea na kukerwa sana na namna ya lile basi lilivyoendeshwa.

Natumaini Kamanda Mkuu wa kikosi cha Barabarani wewe ni msikivu na kwenye hili utalichukulia hatua kama zifuatazo:

(I) Kumfutia Leseni dereva yule pamoja na chuo alichosomea udereva wa kuendesha basi kwa namna hile.

(ii) Klabu ya Simba SC kupigwa faini ya kiwango kikubwa hili hiwe funzo kwa wamiliki wa mabasi wasirudie tena kosa kama Hilo maana kule ni kuhatarisha usalama wa abiria.

(ii) Abiria waliokuwepo ndani ya basi lile wakusanywe kwa pamoja na kupewa elimu juu ya usalama wao barabarani na nini wafanye mara tu waonapo usalama wao unahatarishwa.
Asante sana.

NB; Modes najua mnakawaida ya kuzifutaga mabandiko yangu na kwa kiukweli mnaibaka haki yangu ya kama mwanaJF kuleta hoja zangu humu ombi langu naombeni kabla hamjaufuta tena hili bandiko nitumieni ata meseji PM nione sababu za kuufuta, Asanteni sana.
Video nimeitazama.. ile video imepigwa reverse effect ila kwasababu ya ujinga wako wa kutokuelewa haya mambo umekuja na bandiko refu ili kuthibitisha upumbavu wako... Tanzania ina watu wa ajabu kweli kweli
 
V

Video nimeitazama.. ile video imepigwa reverse effect ila kwasababu ya ujinga wako wa kutokuelewa haya mambo umekuja na bandiko refu ili kuthibitisha upumbavu wako... Tanzania ina watu wa ajabu kweli kweli
We mkia acha kulialia apa, timu lako linaamini uchawi sana
 
V

Video nimeitazama.. ile video imepigwa reverse effect ila kwasababu ya ujinga wako wa kutokuelewa haya mambo umekuja na bandiko refu ili kuthibitisha upumbavu wako... Tanzania ina watu wa ajabu kweli kweli

Kama imepigwa kwa REVERSE EFFECT, kwanini lionekane GARI MOJA TU ndo linaenda kinyumenyume ila mengine yanaenda kawaida..???

Naomba ufafanuzi mfupi tu….!!
 
V

Video nimeitazama.. ile video imepigwa reverse effect ila kwasababu ya ujinga wako wa kutokuelewa haya mambo umekuja na bandiko refu ili kuthibitisha upumbavu wako... Tanzania ina watu wa ajabu kweli kweli
Acha upuuzi ndugu mbumbumbu.
 
Na askari wote waliokuwa katika barabara ambazo basi hilo lilipita wachukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwemo ya kufutwa kazi kwa kuhatarisha maisha ya abiria pamoja na watumiaji wengine wa barabara!
 
V

Video nimeitazama.. ile video imepigwa reverse effect ila kwasababu ya ujinga wako wa kutokuelewa haya mambo umekuja na bandiko refu ili kuthibitisha upumbavu wako... Tanzania ina watu wa ajabu kweli kweli
Acha ujinga wako hapa! Kwa nini magari yaliyokuwa yanalifuata basi hilo yalikuwa yalikuwa yanaenda kwa mbele?
 
Hii siyo kweli,kwanza basi la Simba kwa sasa sio linaloonekana kwenye hiyo video
Mkuu, tumeshaambiwa ni Manara ndiye aliye post hiyo habari na picha. Mi nilitegemea member mbalimbali wa hapa JF, waliopo huko Duniani (Dar), watakuwa waliona tukio hilo, ambao ndio watuthibitishie hili. Sidhani kama hilo tukio aliliona Manara peke yake!
 
V

Video nimeitazama.. ile video imepigwa reverse effect ila kwasababu ya ujinga wako wa kutokuelewa haya mambo umekuja na bandiko refu ili kuthibitisha upumbavu wako... Tanzania ina watu wa ajabu kweli kweli
Mpumbavu mwenyewe ambaye hata macho ya kutazama picha kwa umaskini yana matege kenge mmoja ww
 
Habari yako kamanda mkuu wa Barabarani, Kuna video inasambaa ikionesha basi ambalo moja kwa moja linaonekana ni la timu ya Simba SC likiendeshwa kinyumenyume katika barabara kuu hapo Dar es salaam.

Mara tu baada ya kuona video hiyo nikiwa kama msamaria mwema katika nchi hii nimeamua nitoe taarifa kwako hili hatua kali zichukuliwe kwamaana hule sio uendeshaji sahihi alafu kinachouma zaidi askari wa barabarani nao wamelikalia kimya na kufumbia macho uzembe hule.

Nikiwa kama mtanzania na mmoja kati ya wananchi wachache ambao tunamiliki magari na Leseni ya uendeshaji wake nakemea na kukerwa sana na namna ya lile basi lilivyoendeshwa.

Natumaini Kamanda Mkuu wa kikosi cha Barabarani wewe ni msikivu na kwenye hili utalichukulia hatua kama zifuatazo:

(I) Kumfutia Leseni dereva yule pamoja na chuo alichosomea udereva wa kuendesha basi kwa namna hile.

(ii) Klabu ya Simba SC kupigwa faini ya kiwango kikubwa hili hiwe funzo kwa wamiliki wa mabasi wasirudie tena kosa kama Hilo maana kule ni kuhatarisha usalama wa abiria.

(ii) Abiria waliokuwepo ndani ya basi lile wakusanywe kwa pamoja na kupewa elimu juu ya usalama wao barabarani na nini wafanye mara tu waonapo usalama wao unahatarishwa.
Asante sana.

NB; Modes najua mnakawaida ya kuzifutaga mabandiko yangu na kwa kiukweli mnaibaka haki yangu ya kama mwanaJF kuleta hoja zangu humu ombi langu naombeni kabla hamjaufuta tena hili bandiko nitumieni ata meseji PM nione sababu za kuufuta, Asanteni sana.
Subiria kioja cha yanga leo
 
Tukiondoa ushabiki wa simba na Yanga; bado tunatakiwa kuwa wakweli! Kitendo alichokifanya yule dereva, kama hakukuwepo na editing ya aina yoyote ile; hakikuwa na mashiko.

Hakuwa na sababu ya kurudi nyuma kwa umbali mrefu vile kana kwamba alikuwa anafukuzwa na magaidi, au majambazi. Siku zote gari linatembea kwa kwenda mbele, na siyo kwa kurudi nyuma.
 
Habari yako kamanda mkuu wa Barabarani, Kuna video inasambaa ikionesha basi ambalo moja kwa moja linaonekana ni la timu ya Simba SC likiendeshwa kinyumenyume katika barabara kuu hapo Dar es salaam.

Mara tu baada ya kuona video hiyo nikiwa kama msamaria mwema katika nchi hii nimeamua nitoe taarifa kwako hili hatua kali zichukuliwe kwamaana hule sio uendeshaji sahihi alafu kinachouma zaidi askari wa barabarani nao wamelikalia kimya na kufumbia macho uzembe hule.
IMG-20230214-WA0003.jpg
 
Tukiondoa ushabiki wa simba na Yanga; bado tunatakiwa kuwa wakweli! Kitendo alichokifanya yule dereva, kama hakukuwepo na editing ya aina yoyote ile; hakikuwa na mashiko.
Video iko wapi nasi tuchangie hojaa
 
V

Video nimeitazama.. ile video imepigwa reverse effect ila kwasababu ya ujinga wako wa kutokuelewa haya mambo umekuja na bandiko refu ili kuthibitisha upumbavu wako... Tanzania ina watu wa ajabu kweli kweli
kama reverse effects mbona gari zingine zinaenda kawaida mbele yake kuna bajaji ya mizigo yenyewe haipo reverse?
 
Back
Top Bottom