Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Hatuwezi kufungwa kila siku, mpaka timu za ajabu ajabu zinatufunga hata droo tunashindwa?
Malinzi ndo aliyemleta huyu kocha na kumtimua Kim kisa tu alikuwa ameletwa na Tenga, Uongozi wa Malinzi ndo wa hovyo kabisa.
Real Madrid walimfukuza kocha wao kwa kukosa ubingwa mwaka huu na wakati alishawahi kuchukua kombe. Mnaua soka la bongo heri ujiuzulu maana umeshindwa!
Malinzi ndo aliyemleta huyu kocha na kumtimua Kim kisa tu alikuwa ameletwa na Tenga, Uongozi wa Malinzi ndo wa hovyo kabisa.
Real Madrid walimfukuza kocha wao kwa kukosa ubingwa mwaka huu na wakati alishawahi kuchukua kombe. Mnaua soka la bongo heri ujiuzulu maana umeshindwa!