Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma

Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma

Wanabodi,
Karibu, Nipashe ya leo
View attachment 2074235

Hitimisho
Ni lini uwajibikaji kwa viongozi wa umma utarejeshwa kwa kiwango cha uwajibikaji wa enzi za Mwalimu?. Yaani kiwango cha uadilifu wa mke wa Kaisari?. Kiongozi wa umma ni mpaka afanye kosa kubwa kiasi gani ndipo awajibike?.
Wito kwa Viongozi Wetu
Viongozi wetu, cheo ni dhamana, ikitokea ukatuhumiwa tuu, tuhuma za wazi, hata bila uthibitisho, ama kanusha ama wajibija!, hata mkapishana tuu kauli na mamlaka yako ya uteuzi, ukiona tuu hamko wamoja, jikalie pembeni, usisubiri kuwekwa pembeni, msimponze bure mama yetu Samia kwa kumtwisha mzigo wa karma, kama mlivyomponza yule mwingine na karma ikafanya mambo yake!. Ukibebwa kwa mbeleko bebeka kwa kujiachia, lakini ikitokea mbeleko iliyokubeba imelegea, sasa wewe lazima ujibebe, danda na kushikilia kwa nguvu zako zote ili usianguke, na ikitokea wewe umeishiwa nguvu huwezi kushikilia tena, achia mwenyewe udondoke taratibu usiumie, hiyo maana yake ni umefikia kiwango chako cha mwisho cha kubebeka hivyo sasa wewe ni zigo, lisilobebeka tena, ni busara kuachia mwenyewe usipoachia, utabwagwa chini kama zigo na utaumia!, ukiumia karma inamrudia aliyekuumiza!, hivyo kujijuta mtatuponzea bure na huyu!, wajibikeni wenyewe msituponzee bure Mama yetu kwa mi karma yunu!.

Safari bado ni ndefu.
Jumapili njema.
Wasalaam,

Paskali.
Wanabodi, kwenye issue za uwajibikaji, hoja za bandiko hili bado ziko valid.
P
 
Wanabodi,
Karibu, Nipashe ya leo
View attachment 2074235
Kufuatia Watanzania wengi kuwa ni waumini wa dini kuu mbili, Ukristo na Uislamu, hivyo sii wengi wanaijua "karma" ni nini, kwasababu "karma" ni neno la lugha ya ki Hindi "Hindu" na linafundishwa kwenye dini ya Hinduism na Buddhism, mimi nilijifunza kuhusu "karma" wakati nikiishi jiji la New Delhi nchini India.

Kwa vile mimi ni mtu wa mastory story, na sii watu wote ni wapenda mastory, wengine ni wavivu tuu wa kusoma vitu virefu, wanapenda vitu vifupi short and clear, wengine ni just wako too busy hawana muda kusoma vitu virefu, ili kuwatendea haki nisiwachoshe wengine, hii mada nimeikata vipande vipande with sub headings, ili wewe usome only what will interest you!, kwa kusoma kile tuu utakachokuwa na interest nacho.

Tuanze kwa Kuijua Karma, ni Nini na Inafanyaje Kazi
anzia hapa

Karma Kwenye Uongozi wa Umma
Njoo hapa Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

My True Story ya Kuzushiwa, Uongo, Fitna na Majungu na Karma Yake.

Karma Yangu, Karma Yao!.

Baada ya kutimuliwa kazi TVT, ndipo nikaenda shule UDSM kusomea fani nyingine kabisa ili niachane na uandishi wa habari na utangazaji!. Wale walionitenda, kila mmoja yalimkuta ya kwake, ila nikijifanyia tathmini ya life yangu ilivyo sasa na kama ningeendelea kuwa TBC, kiukweli majanga mengine ni a blessing in disguise!. Mwinyi alijiuzulu uwaziri tuu wa mambo ya ndani, akaja kuwa rais wa JMT!, hivyo kuna waliotemwa jana, Uspika au Uwaziri Mkuu, kumbe urais unawasubiri!. Japo kwa CCM, tayari tunaye mgombea wetu wa 2025 ila ... Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! ila pia kuna hii sauti kuhusu 2025, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, japo mambo ya voices from within, sio mambo ya kuzingatia sana, ila pia sio mambo ya kupuuzia!.

Kujiuzulu Kwa Spika Kama ni Kwa Haki, Ni Uwajibikaji, Kama Ameonewa Karma Itamfidia.

Uwajibikaji Enzi za Nyerere, Mwinyi Kujiuzulu na Kisa cha Baba Yangu Mzee Mayalla (RIP)


Huu uwajibikaji wa enzi za Mwalimu, umepotelea wapi?. Mahabusu wangapi siku hizi wanakufa mikononi mwa polisi na hakuna uchunguzi wowote wala hatua zozote zinazochukuliwa, na hakuna mtu yeyote anayewajibika?!

Msamaha wa Spika JYN Ulikuwa ni Msamaha Batili, Kajiuzulu Shingo Upande Kwa Shinikizo!

Kwenye Hotuba ya Rais, Kuna Kiongozi Ametajwa, Anasubiri Nini?

Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Sio Wote Walioachwa ni Wametumbuliwa, Wengine Ni...

Rais Mama Samia Sio Malaika, Naye Ni Binaadamu, Hivyo Anaweza Kukosea, Tumsaidie!

Angalia hapa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Hitimisho
Ni lini uwajibikaji kwa viongozi wa umma utarejeshwa kwa kiwango cha uwajibikaji wa enzi za Mwalimu?. Yaani kiwango cha uadilifu wa mke wa Kaisari?. Kiongozi wa umma ni mpaka afanye kosa kubwa kiasi gani ndipo awajibike?.
Wito kwa Viongozi Wetu
Viongozi wetu, cheo ni dhamana, ikitokea ukatuhumiwa tuu, tuhuma za wazi, hata bila uthibitisho, ama kanusha ama wajibija!, hata mkapishana tuu kauli na mamlaka yako ya uteuzi, ukiona tuu hamko wamoja, jikalie pembeni, usisubiri kuwekwa pembeni, msimponze bure mama yetu Samia kwa kumtwisha mzigo wa karma, kama mlivyomponza yule mwingine na karma ikafanya mambo yake!. Ukibebwa kwa mbeleko bebeka kwa kujiachia, lakini ikitokea mbeleko iliyokubeba imelegea, sasa wewe lazima ujibebe, danda na kushikilia kwa nguvu zako zote ili usianguke, na ikitokea wewe umeishiwa nguvu huwezi kushikilia tena, achia mwenyewe udondoke taratibu usiumie, hiyo maana yake ni umefikia kiwango chako cha mwisho cha kubebeka hivyo sasa wewe ni zigo, lisilobebeka tena, ni busara kuachia mwenyewe usipoachia, utabwagwa chini kama zigo na utaumia!, ukiumia karma inamrudia aliyekuumiza!, hivyo kujijuta mtatuponzea bure na huyu!, wajibikeni wenyewe msituponzee bure Mama yetu kwa mi karma yunu!.

Safari bado ni ndefu.
Jumapili njema.
Wasalaam,

Paskali.

Majaliwa anataka aondoke kwa kelele za kina Msukuma asubirie November 1, 2022.
 
Wanabodi,
Karibu, Nipashe ya leo
View attachment 2074235
Kufuatia Watanzania wengi kuwa ni waumini wa dini kuu mbili, Ukristo na Uislamu, hivyo sii wengi wanaijua "karma" ni nini, kwasababu "karma" ni neno la lugha ya ki Hindi "Hindu" na linafundishwa kwenye dini ya Hinduism na Buddhism, mimi nilijifunza kuhusu "karma" wakati nikiishi jiji la New Delhi nchini India.

Kwa vile mimi ni mtu wa mastory story, na sii watu wote ni wapenda mastory, wengine ni wavivu tuu wa kusoma vitu virefu, wanapenda vitu vifupi short and clear, wengine ni just wako too busy hawana muda kusoma vitu virefu, ili kuwatendea haki nisiwachoshe wengine, hii mada nimeikata vipande vipande with sub headings, ili wewe usome only what will interest you!, kwa kusoma kile tuu utakachokuwa na interest nacho.

Tuanze kwa Kuijua Karma, ni Nini na Inafanyaje Kazi
anzia hapa

Karma Kwenye Uongozi wa Umma
Njoo hapa Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

My True Story ya Kuzushiwa, Uongo, Fitna na Majungu na Karma Yake.

Karma Yangu, Karma Yao!.

Baada ya kutimuliwa kazi TVT, ndipo nikaenda shule UDSM kusomea fani nyingine kabisa ili niachane na uandishi wa habari na utangazaji!. Wale walionitenda, kila mmoja yalimkuta ya kwake, ila nikijifanyia tathmini ya life yangu ilivyo sasa na kama ningeendelea kuwa TBC, kiukweli majanga mengine ni a blessing in disguise!. Mwinyi alijiuzulu uwaziri tuu wa mambo ya ndani, akaja kuwa rais wa JMT!, hivyo kuna waliotemwa jana, Uspika au Uwaziri Mkuu, kumbe urais unawasubiri!. Japo kwa CCM, tayari tunaye mgombea wetu wa 2025 ila ... Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! ila pia kuna hii sauti kuhusu 2025, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, japo mambo ya voices from within, sio mambo ya kuzingatia sana, ila pia sio mambo ya kupuuzia!.

Kujiuzulu Kwa Spika Kama ni Kwa Haki, Ni Uwajibikaji, Kama Ameonewa Karma Itamfidia.

Uwajibikaji Enzi za Nyerere, Mwinyi Kujiuzulu na Kisa cha Baba Yangu Mzee Mayalla (RIP)


Huu uwajibikaji wa enzi za Mwalimu, umepotelea wapi?. Mahabusu wangapi siku hizi wanakufa mikononi mwa polisi na hakuna uchunguzi wowote wala hatua zozote zinazochukuliwa, na hakuna mtu yeyote anayewajibika?!

Msamaha wa Spika JYN Ulikuwa ni Msamaha Batili, Kajiuzulu Shingo Upande Kwa Shinikizo!

Kwenye Hotuba ya Rais, Kuna Kiongozi Ametajwa, Anasubiri Nini?

Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Sio Wote Walioachwa ni Wametumbuliwa, Wengine Ni...

Rais Mama Samia Sio Malaika, Naye Ni Binaadamu, Hivyo Anaweza Kukosea, Tumsaidie!

Angalia hapa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Hitimisho
Ni lini uwajibikaji kwa viongozi wa umma utarejeshwa kwa kiwango cha uwajibikaji wa enzi za Mwalimu?. Yaani kiwango cha uadilifu wa mke wa Kaisari?. Kiongozi wa umma ni mpaka afanye kosa kubwa kiasi gani ndipo awajibike?.
Wito kwa Viongozi Wetu
Viongozi wetu, cheo ni dhamana, ikitokea ukatuhumiwa tuu, tuhuma za wazi, hata bila uthibitisho, ama kanusha ama wajibija!, hata mkapishana tuu kauli na mamlaka yako ya uteuzi, ukiona tuu hamko wamoja, jikalie pembeni, usisubiri kuwekwa pembeni, msimponze bure mama yetu Samia kwa kumtwisha mzigo wa karma, kama mlivyomponza yule mwingine na karma ikafanya mambo yake!. Ukibebwa kwa mbeleko bebeka kwa kujiachia, lakini ikitokea mbeleko iliyokubeba imelegea, sasa wewe lazima ujibebe, danda na kushikilia kwa nguvu zako zote ili usianguke, na ikitokea wewe umeishiwa nguvu huwezi kushikilia tena, achia mwenyewe udondoke taratibu usiumie, hiyo maana yake ni umefikia kiwango chako cha mwisho cha kubebeka hivyo sasa wewe ni zigo, lisilobebeka tena, ni busara kuachia mwenyewe usipoachia, utabwagwa chini kama zigo na utaumia!, ukiumia karma inamrudia aliyekuumiza!, hivyo kujijuta mtatuponzea bure na huyu!, wajibikeni wenyewe msituponzee bure Mama yetu kwa mi karma yunu!.

Safari bado ni ndefu.
Jumapili njema.
Wasalaam,

Paskali.
Majaliwa anataka aondolewe kwa kelele nyingi kabisa. Mtu mzima akivuliwa nguo huchutama.
 
Kiongozi
Kwa nchi yetu somo la UWAJIBIKAJI kwa viongozi bado halieleweki.

Sababu kubwa ni ukosefu wa Uzalendo/uadilifu.

Baadhi ya Viongozi wetu wamejawa na Uchu na tamaa ya kujinufaisha wao wenyewe.

DHAMIRA yao kuu ni kujilimbikizia mali sio kuwatumikia wananchi, ndio maana huwa inakuwa vigumu sana kwao kuwajibika/kuachia madaraka maana hufikiria kuwa atapoteza/watapoteza manufaa yake/yao sio ya wananchi.

Ndio maana ktk nchi za Afrika Uongozi/Madraka hutafutwa kwa udi na uvumba, rushwa na ikibidi hata kumwaga damu yote hayo sio kwa uchungu wa kuwatumikia Wananchi bali kujinufaisha wao!

sasa kama viongozi wanapatikana kwa njia hizo...wanawezaje kuelewa somo la uwajibikaji?!!
Bado tunasafari ndefu ya kutengeneza viongozi wazalendo/waadilifu.
kiongozi kama Waziri Mkuu hupaswi kuwa na makandokando ya kutajwa kwenye Rushwa.

Hii imekuwa ni mazoea na wakati wote hutishia watu na wengine huagiza waitwe ofisini kwake.

Alitajwa na mfanyabiashara wa Pembejeo feki kuwa ni zake.

Alitajwa kwenye uuzaji wa magogo yaliyozuiwa Tabora.

Alitajwa kwenye ulanguzi wa Biashara ya korosho na kingpin wa ka ng’ombe.
Alitajwa kwenye Biashara ya Magendo ya vitenge.

Kwanini anatajwa yeye tu…???
 
Wanabodi,
Karibu, Nipashe ya leo
View attachment 2074235

Hitimisho
Ni lini uwajibikaji kwa viongozi wa umma utarejeshwa kwa kiwango cha uwajibikaji wa enzi za Mwalimu?. Yaani kiwango cha uadilifu wa mke wa Kaisari?. Kiongozi wa umma ni mpaka afanye kosa kubwa kiasi gani ndipo awajibike?.
Wito kwa Viongozi Wetu
Viongozi wetu, cheo ni dhamana, ikitokea ukatuhumiwa tuu, tuhuma za wazi, hata bila uthibitisho, ama kanusha ama wajibija!, hata mkapishana tuu kauli na mamlaka yako ya uteuzi, ukiona tuu hamko wamoja, jikalie pembeni, usisubiri kuwekwa pembeni, msimponze bure mama yetu Samia kwa kumtwisha mzigo wa karma, kama mlivyomponza yule mwingine na karma ikafanya mambo yake!. Ukibebwa kwa mbeleko bebeka kwa kujiachia, lakini ikitokea mbeleko iliyokubeba imelegea, sasa wewe lazima ujibebe, danda na kushikilia kwa nguvu zako zote ili usianguke, na ikitokea wewe umeishiwa nguvu huwezi kushikilia tena, achia mwenyewe udondoke taratibu usiumie, hiyo maana yake ni umefikia kiwango chako cha mwisho cha kubebeka hivyo sasa wewe ni zigo, lisilobebeka tena, ni busara kuachia mwenyewe usipoachia, utabwagwa chini kama zigo na utaumia!, ukiumia karma inamrudia aliyekuumiza!, hivyo kujijuta mtatuponzea bure na huyu!, wajibikeni wenyewe msituponzee bure Mama yetu kwa mi karma yunu!.

Safari bado ni ndefu.
Jumapili njema.
Wasalaam,

Paskali.
Suala hili la kujiuzulu haswa katika nyadhifa za utawala ndani ya sirikale ya CCM. Hili limekuwa ni mwiba mkali sana kwao maana kila linapotkea jambo lisilokuwa na mashiko na ikatokea shinikizo dhidi ya mhusika kutakiwa kujiuzulu linakuwa ni jambo zito mno haswa kwa viongozi wa sirikale.

Mfano halisi ni pale Ndugai alipotakiwa kujiuzulu ilichukuwa muda na hatimae baada ya shinikizo kutoka juu kule juu mnakokuita wenyewe ndio utamuona mwenye kutakiwa kujiuzulu ndio atatoka mbio kukurupuka na kutoa waraka wa kujiuzulu.

Ukitizama kwa ndani zaidi unagundua hakujiuzulu yeye kama yeye bali ni baada ya shinikizo kutoka juu. huu sii uungwana hatta kidogo.

Tujifunze kuchukua hatua kutoka kwa wenzetu huku wanavyoona kuwa wamekosea basi hawapotezi muda sana na hatimae wanachukua hatua maramoja bila kushinikizwa.




Mkuu MWALLA , Hiki ndicho nilichozungumzia hapa!.
P
 
Wanabodi,
Hitimisho
Ni lini uwajibikaji kwa viongozi wa umma utarejeshwa kwa kiwango cha uwajibikaji wa enzi za Mwalimu?. Yaani kiwango cha uadilifu wa mke wa Kaisari?. Kiongozi wa umma ni mpaka afanye kosa kubwa kiasi gani ndipo awajibike?.
Wito kwa Viongozi Wetu
Viongozi wetu, cheo ni dhamana, ikitokea ukatuhumiwa tuu, tuhuma za wazi, hata bila uthibitisho, ama kanusha ama wajibija!, hata mkapishana tuu kauli na mamlaka yako ya uteuzi, ukiona tuu hamko wamoja, jikalie pembeni, usisubiri kuwekwa pembeni, msimponze bure mama yetu Samia kwa kumtwisha mzigo wa karma, kama mlivyomponza yule mwingine na karma ikafanya mambo yake!. Ukibebwa kwa mbeleko bebeka kwa kujiachia, lakini ikitokea mbeleko iliyokubeba imelegea, sasa wewe lazima ujibebe, danda na kushikilia kwa nguvu zako zote ili usianguke, na ikitokea wewe umeishiwa nguvu huwezi kushikilia tena, achia mwenyewe udondoke taratibu usiumie, hiyo maana yake ni umefikia kiwango chako cha mwisho cha kubebeka hivyo sasa wewe ni zigo, lisilobebeka tena, ni busara kuachia mwenyewe usipoachia, utabwagwa chini kama zigo na utaumia!, ukiumia karma inamrudia aliyekuumiza!, hivyo kujijuta mtatuponzea bure na huyu!, wajibikeni wenyewe msituponzee bure Mama yetu kwa mi karma yunu!.

Safari bado ni ndefu.
Jumapili njema.
Wasalaam,

Paskali.
Bandiko hili liko valid, kumhusu huyu kiongozi fulani mwingine wa serikali anayutuhumiwa kutumia gari la serikali kwenye mambo yake binafsi na kusababisha ajali.

Kama tuhuma hizi zina ukweli wowote, mhusika awajibike mwenyewe tuu na asisubiri kuwajibishwa!.
P
 
Bandiko hili liko valid, kumhusu huyu kiongozi fulani mwingine wa serikali anayutuhumiwa kutumia gari la serikali kwenye mambo yake binafsi na kusababisha ajali.

Kama tuhuma hizi zina ukweli wowote, mhusika awajibike mwenyewe tuu na asisubiri kuwajibishwa!.
P
Watanzania kuwajibika ni shuguli

Ova
 
Mkuu Pascal mayalla heshma yako,maoni yako ni yapi ili kuweza kutibu swala zima la uadilifu na kuwajibika kwa viongozi wa umma?
Mkuu Emmanuel Mkwama , hili la uadilifu na uwajibikaji wa viongozi wa umma, niliisha shauri sana humu tangu kitambo mfano mzuri ni mabandiko haya matatu
  1. Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma
  2. Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere?
  3. TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Ukipata muda tembelea pia ujifunze jinsi awamu ya kwanza ya Mwalimu Nyerere ilipokuwa very seriously na issues za uadilifu na uwajibikaji.

P
 
Wanabodi,

Huu ni wito kwa viongozi wetu, unapokosea hata kwa kujikwaa tuu ulimi, tujenge tabia ya kuwajibika kwa makosa yetu, tujitokeze kuomba radhi, na ikibidi kuwajibika!.
Hitimisho
Ni lini uwajibikaji kwa viongozi wa umma utarejeshwa kwa kiwango cha uwajibikaji wa enzi za Mwalimu?. Yaani kiwango cha uadilifu wa mke wa Kaisari?. Kiongozi wa umma ni mpaka afanye kosa kubwa kiasi gani ndipo awajibike?.
Wito kwa Viongozi Wetu
Viongozi wetu, cheo ni dhamana, ikitokea ukatuhumiwa tuu, tuhuma za wazi, hata bila uthibitisho, ama kanusha ama wajibika, hata mkapishana tuu kauli na mamlaka yako ya uteuzi, ukiona tuu hamko wamoja, jikalie pembeni, usisubiri kuwekwa pembeni!, msimponze bure mama yetu Samia kwa kumtwisha mzigo wa karma zenu, kama mlivyomponza yule mwingine na karma ikafanya mambo yake!.

Ukibebwa kwa mbeleko bebeka kwa kujiachia, lakini ikitokea mbeleko iliyokubeba imelegea, sasa wewe lazima ujibebe mwenyewe, danda na kushikilia kwa nguvu zako zote ili usianguke, na ikitokea wewe umeishiwa nguvu huwezi kushikilia tena, achia mwenyewe udondoke taratibu usiumie, hiyo maana yake ni umefikia kiwango chako cha mwisho cha kubebeka hivyo sasa wewe ni zigo, lisilobebeka tena, ni busara kuachia mwenyewe usipoachia, utabwagwa chini kama zigo na utaumia!, ukiumia karma inamrudia aliyekuumiza!, hivyo kujijutia kwako na maumivu ya kubwebwa, mtatuponzea bure na huyu!, wajibikeni wenyewe msituponzee bure Mama yetu kwa mi karma yenu!.

Paskali.
Hoja hii ndio imejibiwa leo
P
 
Wanabodi,
Huu ni wito kwa viongozi wetu, unapokosea hata kwa kujikwaa tuu ulimi, tujenge tabia ya kuwajibika kwa makosa yetu, tujitokeze kuomba radhi, na ikibidi kuwajibika!.
Hitimisho
Ni lini uwajibikaji kwa viongozi wa umma utarejeshwa kwa kiwango cha uwajibikaji wa enzi za Mwalimu?. Yaani kiwango cha uadilifu wa mke wa Kaisari?. Kiongozi wa umma ni mpaka afanye kosa kubwa kiasi gani ndipo awajibike?.
Wito kwa Viongozi Wetu
Viongozi wetu, cheo ni dhamana, ikitokea ukatuhumiwa tuu, tuhuma za wazi, hata bila uthibitisho, ama kanusha ama wajibika, hata mkapishana tuu kauli na mamlaka yako ya uteuzi, ukiona tuu hamko wamoja, jikalie pembeni, usisubiri kuwekwa pembeni!.
Paskali.
Wanabodi,
Naanzisha updates ya feedback ya baadhi ya mabadiliko yangu, nilishauri nini na hatimaye ushauri huo umesikilizwa?, umefanyiwa kazi?, na matokeo ya ushauri huo.

Huu ni ushauri wa siku nyingi, lakini hatimaye leo angalau umepata sikio la kuusikia na sasa unakwenda kufanyiwa kazi
“Sasa hivi tufumbe macho anayevurunda kazini akae pembeni, hakuna haja ya kumpoza kumpeleka kwenye ubalozi.
Duh....!. Sasa leo ndio nimeelewa!. Kwa muda mrefu nimekuwa najiuliza, imekuwaje kwa mfano tuu ya mtu mwenye level ya DGIS, anateuliwa ubalozi na kupostiwa nchi insignificant tuu?!. Sasa nimeanza kupata majibu!.

Tuliwahi kushauri Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma

Kisha tukashauri tena, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere?

Sasa ushauri huu umepata sikio la kuusikia, sasa unakwenda kufanyiwa kazi, kiongozi anayevurunda mahali, hata awe nani, hakuna tena kupoozwa kwa kupewa ubalozi!, atupishe kazi iendelee!.

Ila Mama nae...!, ameanza kuwa mkweli wa type ya JPM, hakopeshi!. Kumbe kuna watu huwa wanavurunda, ila kwa vile post zao ni nyeti sana!, wanaondolewa hapo walipovurunda na kupoozwa kwa kutupwa ubalozini!.

Naunga mkono hoja, wanaovurunda, wasipoozwe na ubalozi, watupishe!.
P
 
Wanabodi,
Karibu, Nipashe ya leo
View attachment 2074235
Kufuatia Watanzania wengi kuwa ni waumini wa dini kuu mbili, Ukristo na Uislamu, hivyo sii wengi wanaijua "karma" ni nini, kwasababu "karma" ni neno la lugha ya ki Hindi "Hindu" na linafundishwa kwenye dini ya Hinduism na Buddhism, mimi nilijifunza kuhusu "karma" wakati nikiishi jiji la New Delhi nchini India.

Huu ni wito kwa viongozi wetu, unapokosea hata kwa kujikwaa tuu ulimi, tujenge tabia ya kuwajibika kwa makosa yetu, tujitokeze kuomba radhi, na ikibidi kuwajibika!.

Kwa vile mimi ni mtu wa mastory story, na sii watu wote ni wapenda mastory, wengine ni wavivu tuu wa kusoma vitu virefu, wanapenda vitu vifupi short and clear, wengine ni just wako too busy hawana muda kusoma vitu virefu, ili kuwatendea haki nisiwachoshe wengine, hii mada nimeikata vipande vipande with sub headings, ili wewe usome only what will interest you!, kwa kusoma kile tuu utakachokuwa na interest nacho.

Tuanze kwa Kuijua Karma, ni Nini na Inafanyaje Kazi
anzia hapa

Kuijua karma "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Karma Kwenye Uongozi wa Umma
Njoo hapa Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

My True Story ya Kuzushiwa, Uongo, Fitna na Majungu na Karma Yake.

Karma Yangu, Karma Yao!.
Baada ya kutimuliwa kazi TVT, ndipo nikaenda shule UDSM kusomea fani nyingine kabisa ili niachane na uandishi wa habari na utangazaji!. Wale walionitenda, kila mmoja yalimkuta ya kwake, ila nikijifanyia tathmini ya life yangu ilivyo sasa na kama ningeendelea kuwa TBC, kiukweli majanga mengine ni a blessing in disguise!. Mwinyi alijiuzulu uwaziri tuu wa mambo ya ndani, akaja kuwa rais wa JMT!, hivyo kuna waliotemwa jana, Uspika au Uwaziri tuu, kumbe urais unawasubiri!. Japo kwa CCM, tayari tunaye mgombea wetu wa 2025 ila ... Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! ila pia kuna hii sauti kuhusu 2025, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, japo mambo ya voices from within, sio mambo ya kuzingatia sana, ila pia sio mambo ya kupuuzia!.

Kujiuzulu Kwa Spika Kama ni Kwa Haki, Ni Uwajibikaji, Kama Ameonewa Karma Itamfidia.

Uwajibikaji Enzi za Nyerere, Mwinyi Kujiuzulu na Kisa cha Mzee Mayalla (RIP)

Huu uwajibikaji wa enzi za Mwalimu, umepotelea wapi?. Mahabusu wangapi siku hizi wanakufa mikononi mwa polisi na hakuna uchunguzi wowote wala hatua zozote zinazochukuliwa, na hakuna mtu yeyote anayewajibika?!

Msamaha wa Spika JYN Ulikuwa ni Msamaha Batili, Kajiuzulu Shingo Upande Kwa Shinikizo!

Kwenye Hotuba ya Rais, Kuna Kiongozi Ametajwa, Anasubiri Nini?

Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Sio Wote Walioachwa ni Wametumbuliwa, Wengine Ni...

Rais Mama Samia Sio Malaika, Naye Ni Binaadamu, Hivyo Anaweza Kukosea, Tumsaidie!
Angalia hapa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Hitimisho
Ni lini uwajibikaji kwa viongozi wa umma utarejeshwa kwa kiwango cha uwajibikaji wa enzi za Mwalimu?. Yaani kiwango cha uadilifu wa mke wa Kaisari?. Kiongozi wa umma ni mpaka afanye kosa kubwa kiasi gani ndipo awajibike?.
Wito kwa Viongozi Wetu
Viongozi wetu, cheo ni dhamana, ikitokea ukatuhumiwa tuu, tuhuma za wazi, hata bila uthibitisho, ama kanusha ama wajibika, hata mkapishana tuu kauli na mamlaka yako ya uteuzi, ukiona tuu hamko wamoja, jikalie pembeni, usisubiri kuwekwa pembeni!, msimponze bure mama yetu Samia kwa kumtwisha mzigo wa karma zenu, kama mlivyomponza yule mwingine na karma ikafanya mambo yake!.

Ukibebwa kwa mbeleko bebeka kwa kujiachia, lakini ikitokea mbeleko iliyokubeba imelegea, sasa wewe lazima ujibebe mwenyewe, danda na kushikilia kwa nguvu zako zote ili usianguke, na ikitokea wewe umeishiwa nguvu huwezi kushikilia tena, achia mwenyewe udondoke taratibu usiumie, hiyo maana yake ni umefikia kiwango chako cha mwisho cha kubebeka hivyo sasa wewe ni zigo, lisilobebeka tena, ni busara kuachia mwenyewe usipoachia, utabwagwa chini kama zigo na utaumia!, ukiumia karma inamrudia aliyekuumiza!, hivyo kujijutia kwako na maumivu ya kubwebwa, mtatuponzea bure na huyu!, wajibikeni wenyewe msituponzee bure Mama yetu kwa mi karma yenu!.

Safari bado ni ndefu.
Jumapili njema.
Wasalaam,

Paskali.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaomba radhi wananchi na wapenda demokrasia nchini kutokana na kauli aliyoitoa kuwa si lazima CCM ishinde kura kwenye boksi, bali kuna njia nyingine zikiwemo alizosema za haramu.

Akizungumza kupitia video aliyorekodi, leo Jumatano Julai 17, 2024 Nape ameomba radhi wote walikerwa na kauli yake.

“Nimeuona mjadala kwenye mitandao, lakini kama nilivyosema kauli ile ilikuwa utani lakini naona umekuwa mjadala mrefu wakati huu kwa sababu tunaelekea katikia uchaguzi. Nawapa pole ambao wamesumbuliwa na kuteseka na huu mjadala, nawapa pole na naomba radhi, nasisitiza haikuwa serious,”amesema Nape.

Nape aliyewahi kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, alitoa kauli hiyo iliyoibua mjadala juzi Julai 15, 2024 usiku alipotembelea soko la Kashai mkoani Kagera na kuzungumza na wananchi.

Muktadha wa kauli hiyo ilikuwa ni kuwahakikishia ushindi wa Mbunge wa Bukoba Mjini, Stephen Byabato katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2025, Nape ambaye kwa sasa ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye alisema:

“Unajua nyie sikilizeni, matokeo ya kura sio lazima yawe ya kwenye boksi, inategemea nani anahesabu na kutangaza. Na kuna mbinu nyingi kuna halali, nusu halali na kuna haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi tu mkishamaliza, unamwambia Mwenyezi Mungu nisamehe pale nilipokosea,” alisema.

Kauli hiyo ya Nape, ilipingwa jana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla ambaye alisema kauli hiyo haitokani na msimamo wa chama hicho.

“Kuna kiongozi nimemsikia huko mitandaoni anasema eti ushindi wa uchaguzi hautokani na kura za kwenye boksi, mimi nataka nimwambia hiyo kauli isitazamwe kuwa inatokana na CCM,” alisema Makalla.

Hii si mara ya kwanza kwa Nape kutoa kauli tata zenye kuzua mjadala katika kipindi cha kuelekea uchaguzi, hata Juni 2015, akiwa ziarani Sengerema alisema “CCM ingeshinda uchaguzi mwaka huo hata kwa bao la mkono.”

Pia soma
  1. Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
  2. Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Ni katika kikumbushana tuu!.
Hukuna jinsi, ni kuwajibika tuu!.
P
 
Ni katika kikumbushana tuu!.
Hukuna jinsi, ni kuwajibika tuu!.
P
Tulishauri, haikusaidia, sasa jana Mama ametumbua!.
Wanabodi,.

Kwa vile Rais Samia ameisha onyesha njia kwa kutuhisania, tuwe watu wa shukrani kwanza kwa kumshukuru kwa hiyo hisani tuu kwanza, kisa sasa tumuombe atupe na haki ya kupata taarifa, asiishie kwenye kutupatia taarifa za uteuzi tuu, tupatiwe na taarifa za sababu za utenguzi kwasababu maofisa hao ni watumishi wa umma, wanaolipwa na fedha za umma, hivyo umma una haki zote za kujua kuhusu utendaji wa wateule hao, na sababu za kutenguliwa kwao na kutumbuliwa.

Kama ilivyo sifa njema kuteuliwa, mtumishi wa umma akiboronga, the public ielezwe kama nilivyo shauri hapa - Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Nimalizie kwa kumpongeza tena Rais Samia kwa kutuhisania openness and transparency kwenye teuzi zake, openness hii na transparency hii tuifanye na haki na sio hisani.

Wasalaam
Paskali
Watanzania tufike mahali tu demand the right to information wakati wa utumbuzi, mfano mpaka leo, sijawahigi kujua, kwanini Balozi Liberata Mulamula alitumbuliwa, sasa January Makamba nae ametumbuliwa, natamani kujua sababu. Sihitaji kujua sababu ya Nape kutumbuliwa itakuwa ni mdomo umemponza kwa ile kauli ya Waswahili ya "mzaha mzaha, hutumbua usaha", lakini kwa Byabato ana kosa gani?.

Nashauri tumsaidie Rais Samia, asifanye kitu kinachoitwa " bad karma accumulation" bila kujijua, japo uteuzi na utenguzi is at the pleasure of the appointing authority, ukimtumbua mtu bila haki, kwa namna inayomdhalilisha, huyo mtumbuliwa akiumia, ana develop bad karma ya maumivu yake, hiyo bad karma inahifadhiwa katika akiba ya karma accumulation ya aliyesababisha maumivu hayo!, hivyo hii accumulation ina pile up, ikifikia kuwa the pile is big enough hadi furushi hilo la karma likawa halibebeki, then hilo zigo la karma, litamuelemea mbebaji sometimes linaweza kumponza na ... ndio maana nimewashauri viongozi wetu wateuliwa Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma
P
 
Wanabodi,

Ni lini uwajibikaji kwa viongozi wa umma utarejeshwa kwa kiwango cha uwajibikaji wa enzi za Mwalimu?. Yaani kiwango cha uadilifu wa mke wa Kaisari?. Kiongozi wa umma ni mpaka afanye kosa kubwa kiasi gani ndipo awajibike?.
Wito kwa Viongozi Wetu
Viongozi wetu, cheo ni dhamana, ikitokea ukatuhumiwa tuu, tuhuma za wazi, hata bila uthibitisho, ama kanusha ama wajibika, hata mkapishana tuu kauli na mamlaka yako ya uteuzi, ukiona tuu hamko wamoja, jikalie pembeni, usisubiri kuwekwa pembeni!, msimponze bure mama yetu Samia kwa kumtwisha mzigo wa karma zenu, kama mlivyomponza yule mwingine na karma ikafanya mambo yake!.

Ukibebwa kwa mbeleko bebeka kwa kujiachia, lakini ikitokea mbeleko iliyokubeba imelegea, sasa wewe lazima ujibebe mwenyewe, danda na kushikilia kwa nguvu zako zote ili usianguke, na ikitokea wewe umeishiwa nguvu huwezi kushikilia tena, achia mwenyewe udondoke taratibu usiumie, hiyo maana yake ni umefikia kiwango chako cha mwisho cha kubebeka hivyo sasa wewe ni zigo, lisilobebeka tena, ni busara kuachia mwenyewe usipoachia, utabwagwa chini kama zigo na utaumia!, ukiumia karma inamrudia aliyekuumiza!, hivyo kujijutia kwako na maumivu ya kubwagwa, mtatuponzea bure na huyu!, wajibikeni wenyewe msituponzee bure Mama yetu kwa mi karma yenu!.

Safari bado ni ndefu.
Jumapili njema.
Wasalaam,

Paskali.
Nashauri kwa negligence iliyofanywa na Jeshi letu la polisi kuhusu kadhia hii ya kifo cha Mzee Ali Mohamed Kibao, Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu , kukutwa ameuwawa na mwili wake kutupwa eneo la Kunduchi Ununio,
watu wanne wawajibike!.
1. Waziri - kwa ajali kazini
2. IGP - kwa negligence ya RPC wake
3. RPC -DSM - negligence
4. OCD Kinondoni - negligence, na hawa wawili wa mwisho RPC na OCD wanaweza kufikishwa kwa Pilato!.
Ni wakati sasa Rais Samia kukasirika kama enzi za Nyerere!.
P
 
Back
Top Bottom