Pre GE2025 Wito kwa wanachama wa CCM wote humu jukwaani kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Pre GE2025 Wito kwa wanachama wa CCM wote humu jukwaani kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Comrades,
ladies and gentlemen..

CCM hoyeee ✊

Ndugu zangu wanachama, mabalozi, viongozi wa mashina na matawi popote mlipo.
tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji baadae mwaka huu.

Uchaguzi huu ni muhimu sana kwetu kama chama tawala, lakini pia lengo la chama ni kupata ushindi mkubwa katika kila mtaa na kijiji, kwani huo ndio utakua msingi na chachu ya ushindi wa kishindo, katika uchaguzi mkuu ujao kwa madiwani, wabunge na Rais wa CCM, 2025.

Maelekezo muhimu ya chama yameshatolewa kote nchini. shukrani za kipekee sana ziwaendee makatibu kata wa CCM na makatibu wa matawi yote ya CCM kwa kazi nzuri sana ya kuwahamasisha na kuwasimamia mabalozi kuhakikisha wanachama wote wa CCM wanajiandikisha kwenye madaftari maalumu ya chama na panapohusika kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada mwaka huu..

Lakini pia wanachama wote wa CCM kama ilivyo ada yetu, tuhamasishane kwa nguvu zetu zote, tuhuishe taarifa zetu za mpiga kura ikiwa kuna ulazima wa kufanya hivyo kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, wakati muafaka mazoezi haya yote haya mawili muhimu sana yatakapoanza kwenye maeneo yenu...

Hatuna sababu ya kupoteza hata mtaa moja kwenye uchaguzi huu. Chama Cha Mapinduzi na serikali sikivu ya CCM, iliyopo madarakani chini ya mwenyekiti wa CCM taifa, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, iliahidi waTanzania kwa maneno, na hivi sasa inatekeleza ahadi kwa vitendo..
Mungu atupatie nini tena ndrugo zangu waTanzania?

Dr. Samia Suluhu Hassan,
anakubalika, anapendwa, anaaminika na wananchi wote, kitaifa na kimataifa. kama wanachama tuna haki na wajibu wakujivunia mama huyu shupavu na madhubuti kipenzi cha waTanzania.

Dr. Samia Suluhu Hassan ndio pekee turufu muhimu na hakikisho la ushindi wa kishindo kwa CCM uchaguzi mkuu ujao.

Wakati muafaka ukifika tuungane na wanachama wengine nchi nzima kwenye kampeni ya "MITANO TENA NA DR. SAMIA SULUHU HASSAN"

Katibu wetu mkuu wa chama Taifa comrade Dr. Emanuel Nchimbi, alituelekeza mchana kweupe kwamba mwanachama wa CCM popote nchini, hahitaji kupata kibali kutoka popote kuinadi, kuielezea itikadi, sera, uelekeo na uwajibikaji wa Chama Cha Mapinduzi kwa wananchi iwe ni kijamii, kisiasa na kiuchmi...

Mwana CCM hapaswi kua mnyonge bali jasiri asie na woga, aibu wala haya kuhubiri habari njema za CCM, kwasababu mambo makubwa yanayofanywa na CCM kwa maslahi mapana ya waTanzania wote yako wazi na bayana kabisaa, hata usitumie nguvu kuyaeleza. Ukiona vyaelea, ujue vimeundwa.

Mwisho na muhimu zaidi, wale wana CCM, wenye sifa stahiki, uwezo na vigezo muafaka vinavyokidhi masharti ya kisheria na kikatiba ya kua viongozi, basi wasisite kujitokeza kugombea nafasi hizo muhimu sana serikali za mitaa na serikali za vijiji kwanmustakabali mwema wa Taifa letu..

Aidha tuendelee kumuunga mkono mh. Rais na mwenyekiti wetu wa CCM taifa kwa kazi kubwa na nzuri sana anayoendelea kuifanya ya kuwaletea waTanzania maendeleo endelevu..

Kidumu Chama Cha Mapinduzi ✊
 
Ulichosema ni kweli kabisa,ingawa inahitajika akili kubwa ya kuondoa simtofahamu ya namna ya uhesabuji wa kura kwa kuwa wananchi tayari wamefahamu namna ya kura zao zisivyo za muhimu kupata mshindi.
Tukishindwa kufanya hivyo tuwe tayari kwa yanaoendelea Kwa wenzetu.
Yawezekana kabisa migomo na maandamano kwa Nchi yetu yakatokea nyakati za uchaguzi hasa katika kuhesabu kura.
Nina hakika wenye mamlaka watafanzia Kazi.
 
Comrades,
ladies and gentlemen..

CCM hoyeee ✊

ndugu zangu wanachama, mabalozi, viongozi wa mashina na matawi popote mlipo.
tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji baadae mwaka huu.

uchaguzi huu ni muhimu sana kwetu kama chama tawala, lakini pia lengo la chama ni kupata ushindi mkubwa katika kila mtaa na kijiji, kwani huo ndio utakua msingi na chachu ya ushindi wa kishindo, katika uchaguzi mkuu ujao kwa madiwani, wabunge na Rais wa CCM, 2025.

maelekezo muhimu ya chama yameshatolewa kote nchini. shukrani za kipekee sana ziwaendee makatibu kata wa CCM na makatibu wa matawi yote ya CCM kwa kaz nzuri sana ya kuwahamasisha na kuwasimamia mabalozi kuhakikisha wanachama wote wa CCM wanajiandikisha kwenye madaftari maalumu ya chama na panapohusika kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada mwaka huu..

lakini pia wanachama wote wa CCM kama ilivyo ada yetu, tuhamasishane kwa nguvu zetu zote, tuhuishe taarifa zetu za mpiga kura ikiwa kuna ulazima wa kufanya hivyo kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, wakati muafaka mazoezi haya yote haya mawili muhimu sana yatakapoanza kwenye maeneo yenu...

hatuna sababu ya kupoteza hata mtaa moja kwenye uchaguzi huu. Chama Cha Mapinduzi na serikali sikivu ya CCM, iliyopo madarakani chini ya mwenyekiti wa CCM taifa, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, iliahidi waTanzania kwa maneno, na hivi sasa inatekeleza ahadi kwa vitendo..
Mungu atupatie nini tena ndrugo zangu waTanzania?

Dr.Samia Suluhu Hassan,
anakubalika, anapendwa, anaaminika na wananchi wote, kitaifa na kimataifa. kama wanachama tuna haki na wajibu wakujivunia mama huyu shupavu na madhubuti kipenzi cha waTanzania.


Dr.Samia Suluhu Hassan ndio pekee turufu muhimu na hakikisho la ushindi wa kishindo kwa CCM uchaguzi mkuu ujao.
wakati muafaka ukifika tuungane na wanachama wengine nchi nzima kwenye kampeni ya "MITANO TENA NA DR. SAMIA SULUHU HASSAN"

katibu wetu mkuu wa chama Taifa comrade Dr. Emanuel Nchimbi, alituelekeza mchana kweupe kwamba mwanachama wa CCM popote nchini, hahitaji kupata kibali kutoka popote kuinadi, kuielezea itikadi, sera, uelekeo na uwajibikaji wa Chama Cha Mapinduzi kwa wananchi iwe ni kijamii, kisiasa na kiuchmi...

mwana CCM hapaswi kua mnyonge bali jasiri asie na woga, aibu wala haya kuhubiri habari njema za CCM, kwasababu mambo makubwa yanayofanywa na CCM kwa maslahi mapana ya waTanzania wote yako wazi na bayana kabisaa, hata usitumie nguvu kuyaeleza.
ukiona vya elea, ujue vimeundwa..

mwisho na muhimu zaidi,
wale wana CCM, wenye sifa stahiki, uwezo na vigezo muafaka vinavyokidhi masharti ya kisheria na kikatiba ya kua viongozi, basi wasisite kujitokeza kugombea nafasi hizo muhimu sana serikali za mitaa na serikali za vijiji kwanmustakabali mwema wa Taifa letu..

aidha tuendelee kumuunga mkono mh. Rais na mwenyekiti wetu wa CCM taifa kwa kazi kubwa na nzuri sana anayoendelea kuifanya ya kuwaletea waTanzania maendeleo endelevu..

Kidumu Chama Cha Mapinduzi ✊

Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa sijui mnahasishana kwenye nini, wakati mnategemea mbeleko ya vyombo vya dola kutangazwa washindi. Watu wajinga tu ndio watajitokeza kushiriki hizi chaguzi za kishenzi.
 
Kidumu chama Tawala. Kwa hakika umeongea maneno mazuri sana ,,ambayo natamani kila mwana CCM ayasome na kuyashika vyema sana.kwa hakika wana CCM tuna kila sababu ya kutembea kifua mbele na kujiamini. Na kwa hakika Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi anastahili kupewa miaka mingine mitano kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima mpaka kwa Kamala Haris kule Whitehouse Marekani.
 
Kuna kitu unaogopa?

Mbona kama kuna kinachokutisha unajaribu kupima upepo?

Kama anakubalika na anapendwa huna haja kuogopa mkuu. Just relax and enjoy the show muda ukifika
nyinyi ambao sio wana CCM tunamshukuru kwa kutuunga mkono na kumuunga mkono Dr Samia Suluhu Hassan 🐒
 
Tukishindwa kufanya hivyo tuwe tayari kwa yanaoendelea Kwa wenzetu.
Yawezekana kabisa migomo na maandamano kwa Nchi yetu yakatokea nyakati za uchaguzi hasa katika kuhesabu kura.
Nina hakika wenye mamlaka watafanzia Kazi.
Hawa unao waita "wenye mamlaka" hawaelewi chochote, au wanajifanya hawaoni na wala hawasikii chochote. Wao wapo kwenye dunia yao pekee yao, wakiamini '"watadumu" milele kama anavyo jitangazia mleta mada hapa.

Kuhusu "migomo na maandamano" hao viongozi unao wazungumzia wanajuwa wana polisi, wana jeshi na takataka zote zitakazo walinda, kama ilivyokuwa miaka yote ya nyuma; hawa wanasahau kuwa hakuna dola iliyo zaidi ya wananchi wenyewe wakiamua kuwashughulikia.
 
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa sijui mnahasishana kwenye nini, wakati mnategemea mbeleko ya vyombo vya dola kutangazwa washindi. Watu wajinga tu ndio watajitokeza kushiriki hizi chaguzi za kishenzi.
kwenye box la kula.
 
Subiri kura za maoni mkishaibiana kura mtabaki vipande vipande

Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kupigia kura ccm.
shukrani sana kwa kuchukua muda wako kufuatilia kwa karibu sana mambo ya CCM,

asanti sana kuiunga mkono CCM, asant sana kwa kumuunga mkono Dr Samia Suluhu Hassan katika jitihada za makusudi kuwaletea maendeleo waTanzania 🐒
 
nyinyi ambao sio wana CCM tunamshukuru kwa kutuunga mkono na kumuunga mkono Dr Samia Suluhu Hassan 🐒
Ukishaleta na kuweka taka zozote hapa ukumbini, huna uwezo tena wa kuzuia watu kuzitupilia mbali taka hizo.
Kama unataka kuanzisha ukumbi wenu wenyewe, nenda kaombe kwa wahusika JF wakutengenezee ukumbi huo peke yenu. Siyo hapa.
 
Ulichosema ni kweli kabisa,ingawa inahitajika akili kubwa ya kuondoa simtofahamu ya namna ya uhesabuji wa kura kwa kuwa wananchi tayari wamefahamu namna ya kura zao zisivyo za muhimu kupata mshindi.
Tukishindwa kufanya hivyo tuwe tayari kwa yanaoendelea Kwa wenzetu.
Yawezekana kabisa migomo na maandamano kwa Nchi yetu yakatokea nyakati za uchaguzi hasa katika kuhesabu kura.
Nina hakika wenye mamlaka watafanzia Kazi.
ni muhimu kuachana na kuepuka imani potofu za kizamani..

uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka na uchaguzi mkuu mwaka ujao, ni miongoni mwa chaguzi bora na za kipekee sana ulimwenguni...

zitakua huru, za wazi na za haki kupindukia.
4Rs theory ya Dr Samia Suluhu Hassan, sio mzaha ni kweli tena ni ukweli matupu...

usipange kukosa kushiriki uchaguzi huu muhimu na wa kihistiria Tanzania.
Maandalizi ya ushindi wa kishindo kwa CCM yanaanzia kwenye chama kama nilivyoeleza hapo juu 🐒

asanti kumuunga mkono Dr Samia Suluhu Hassan wa CCM 👊
 
Comrades,
ladies and gentlemen..

CCM hoyeee ✊

Ndugu zangu wanachama, mabalozi, viongozi wa mashina na matawi popote mlipo.
tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji baadae mwaka huu.

Uchaguzi huu ni muhimu sana kwetu kama chama tawala, lakini pia lengo la chama ni kupata ushindi mkubwa katika kila mtaa na kijiji, kwani huo ndio utakua msingi na chachu ya ushindi wa kishindo, katika uchaguzi mkuu ujao kwa madiwani, wabunge na Rais wa CCM, 2025.

Maelekezo muhimu ya chama yameshatolewa kote nchini. shukrani za kipekee sana ziwaendee makatibu kata wa CCM na makatibu wa matawi yote ya CCM kwa kazi nzuri sana ya kuwahamasisha na kuwasimamia mabalozi kuhakikisha wanachama wote wa CCM wanajiandikisha kwenye madaftari maalumu ya chama na panapohusika kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada mwaka huu..

Lakini pia wanachama wote wa CCM kama ilivyo ada yetu, tuhamasishane kwa nguvu zetu zote, tuhuishe taarifa zetu za mpiga kura ikiwa kuna ulazima wa kufanya hivyo kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, wakati muafaka mazoezi haya yote haya mawili muhimu sana yatakapoanza kwenye maeneo yenu...

Hatuna sababu ya kupoteza hata mtaa moja kwenye uchaguzi huu. Chama Cha Mapinduzi na serikali sikivu ya CCM, iliyopo madarakani chini ya mwenyekiti wa CCM taifa, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, iliahidi waTanzania kwa maneno, na hivi sasa inatekeleza ahadi kwa vitendo..
Mungu atupatie nini tena ndrugo zangu waTanzania?

Dr. Samia Suluhu Hassan,
anakubalika, anapendwa, anaaminika na wananchi wote, kitaifa na kimataifa. kama wanachama tuna haki na wajibu wakujivunia mama huyu shupavu na madhubuti kipenzi cha waTanzania.

Dr. Samia Suluhu Hassan ndio pekee turufu muhimu na hakikisho la ushindi wa kishindo kwa CCM uchaguzi mkuu ujao.

Wakati muafaka ukifika tuungane na wanachama wengine nchi nzima kwenye kampeni ya "MITANO TENA NA DR. SAMIA SULUHU HASSAN"

Katibu wetu mkuu wa chama Taifa comrade Dr. Emanuel Nchimbi, alituelekeza mchana kweupe kwamba mwanachama wa CCM popote nchini, hahitaji kupata kibali kutoka popote kuinadi, kuielezea itikadi, sera, uelekeo na uwajibikaji wa Chama Cha Mapinduzi kwa wananchi iwe ni kijamii, kisiasa na kiuchmi...

Mwana CCM hapaswi kua mnyonge bali jasiri asie na woga, aibu wala haya kuhubiri habari njema za CCM, kwasababu mambo makubwa yanayofanywa na CCM kwa maslahi mapana ya waTanzania wote yako wazi na bayana kabisaa, hata usitumie nguvu kuyaeleza. Ukiona vyaelea, ujue vimeundwa.

Mwisho na muhimu zaidi, wale wana CCM, wenye sifa stahiki, uwezo na vigezo muafaka vinavyokidhi masharti ya kisheria na kikatiba ya kua viongozi, basi wasisite kujitokeza kugombea nafasi hizo muhimu sana serikali za mitaa na serikali za vijiji kwanmustakabali mwema wa Taifa letu..

Aidha tuendelee kumuunga mkono mh. Rais na mwenyekiti wetu wa CCM taifa kwa kazi kubwa na nzuri sana anayoendelea kuifanya ya kuwaletea waTanzania maendeleo endelevu..

Kidumu Chama Cha Mapinduzi ✊
MAJIZI YA KURA NYINYI, WEZI WA RASILIMALI ZA WADANGANYIKA
 
Tukishindwa kufanya hivyo tuwe tayari kwa yanaoendelea Kwa wenzetu.
kama kweli wewe ni mwana CCM, kama unavyo jieleza hapa mwenyewe, utakuwa kati ya wanachama wachache sana wa chama hicho ambao bado akili zao zinafanya kazi kidogo.
Ni wajibu wa watu wachache kama wewe sasa kukiepusha na janga chama chenu hiki kilcho tekwa na majangili.
 
Back
Top Bottom