Pre GE2025 Wito kwa wanachama wa CCM wote humu jukwaani kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Pre GE2025 Wito kwa wanachama wa CCM wote humu jukwaani kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yale yale ya "lugha yenye staha"; wakati huo huo mnajitangaza nyinyi ni 'Vyura Kiziwi'. Mtashindwa vipi kuona mkanganyiko hapo!
sasa mimi kua na mawazo au maoni tofauti na yako ndio upate mihemko hasira na ghadabu? itasaidia nini sasa kama sio kujitambulisha kua umefikia ukomo wa mawazo mapya na huna fikra mbadala dhidi ya mawazo ya mwingine 🐒
 
sasa mimi kua na mawazo au maoni tofauti na yako ndio upate mihemko hasira na ghadabu? itasaidia nini sasa kama sio kujitambulisha kua umefikia ukomo wa mawazo mapya na huna fikra mbadala dhidi ya mawazo ya mwingine 🐒
Siyo swala la "kuwa na mawazo tofauti"; ni ujinga wa mawazo yenyewe na jinsi unavyo ng'ang'aniza hayo mawazo yako.

Kwani kuna wangapi humu walio na mawazo tofauti, lakini tunajadiliana vizuri juu ya hayo mawazo!
Haya ya kwako ni ya kipumbavu, ndiyo maana.
 
Siyo swala la "kuwa na mawazo tofauti"; ni ujinga wa mawazo yenyewe na jinsi unavyo ng'ang'aniza hayo mawazo yako.

Kwani kuna wangapi humu walio na mawazo tofauti, lakini tunajadiliana vizuri juu ya hayo mawazo!
Haya ya kwako ni ya kipumbavu, ndiyo maana.
sasa kama mawazo na mtazamo wangu uko hivyo,

mbona ni rahisi tu,
weka maoni na mtazamo wako ulio bora zaidi ya wakwangu na mambo yasonge...

sasa mihemko, hasira na ghadabu ndio mbadala wa maoni na mtazamo wangu?🤣

hiyo ni useless na ni nonsense gentleman 🐒
 
sasa kama mawazo na mtazamo wangu uko hivyo,

mbona ni rahisi tu,
weka maoni na mtazamo wako ulio bora zaidi ya wakwangu na mambo yasonge...

sasa mihemko, hasira na ghadabu ndio mbadala wa maoni na mtazamo wangu?🤣

hiyo ni useless na ni nonsense gentleman 🐒
EEEeeeenHEEEeeeee!
Hiyo 'nonsense' inanikumbusha yule profesa wa kilimo wakati ule kuhusu swala la sukari, eeeenHeeeee!

Sina sababu ya kuweka chochote, nilikwisha kueleza wewe bayana humu toka mwanzo nilipo tambua ajenda yako ni nini hapa; kuwa sitaacha uendeleze ujuha humu bila kujibiwa.
Na ni kazi hiyo hiyo ninayofanya sasa hivi.

Ukinionyesha dalili za kuwa na akili tofauti na hiyo, sina sababu hata moja ya kuendelea na wewe. Lakini unapokuja hapa na kupotosha watu, na kuwadhihaki waTanzania, kamwe siachani nawe.

Nimekukumbusha, kama ulikuwa umesahau.
 
tatizo lako ni dogo sana,

Imani potofu..

ukiachana na hiyo wewe ni miongoni mwa wananchi makini sana, rekebisha hiyo hali tafadhali ili urudi katika hali yako ya kawaida gentleman 🐒
Nasisitiza, uchaguzi Tanzania ni sehemu ya kuanika ujinga wa watu. Ushiriki miaka zaidi ya 30 huku chama kimoja kikiwa ni wasimamizi wahesabu kura, na huku wakifanya uhuni wa wazi. Uchaguzi wa 2020 ulikuja kuweka mpaka wa kutoendelea kushiriki chaguzi za kishenzi.
 
Nasisitiza, uchaguzi Tanzania ni sehemu ya kuanika ujinga wa watu. Ushiriki miaka zaidi ya 30 huku chama kimoja kikiwa ni wasimamizi wahesabu kura, na huku wakifanya uhuni wa wazi. Uchaguzi wa 2020 ulikuja kuweka mpaka wa kutoendelea kushiriki chaguzi za kishenzi.
hasara na majuto ni Juu yako mwenyewe ukisusa 🐒
 
Comrades,
ladies and gentlemen..

CCM hoyeee ✊

Ndugu zangu wanachama, mabalozi, viongozi wa mashina na matawi popote mlipo.
tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji baadae mwaka huu.

Uchaguzi huu ni muhimu sana kwetu kama chama tawala, lakini pia lengo la chama ni kupata ushindi mkubwa katika kila mtaa na kijiji, kwani huo ndio utakua msingi na chachu ya ushindi wa kishindo, katika uchaguzi mkuu ujao kwa madiwani, wabunge na Rais wa CCM, 2025.

Maelekezo muhimu ya chama yameshatolewa kote nchini. shukrani za kipekee sana ziwaendee makatibu kata wa CCM na makatibu wa matawi yote ya CCM kwa kazi nzuri sana ya kuwahamasisha na kuwasimamia mabalozi kuhakikisha wanachama wote wa CCM wanajiandikisha kwenye madaftari maalumu ya chama na panapohusika kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada mwaka huu..

Lakini pia wanachama wote wa CCM kama ilivyo ada yetu, tuhamasishane kwa nguvu zetu zote, tuhuishe taarifa zetu za mpiga kura ikiwa kuna ulazima wa kufanya hivyo kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, wakati muafaka mazoezi haya yote haya mawili muhimu sana yatakapoanza kwenye maeneo yenu...

Hatuna sababu ya kupoteza hata mtaa moja kwenye uchaguzi huu. Chama Cha Mapinduzi na serikali sikivu ya CCM, iliyopo madarakani chini ya mwenyekiti wa CCM taifa, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, iliahidi waTanzania kwa maneno, na hivi sasa inatekeleza ahadi kwa vitendo..
Mungu atupatie nini tena ndrugo zangu waTanzania?

Dr. Samia Suluhu Hassan,
anakubalika, anapendwa, anaaminika na wananchi wote, kitaifa na kimataifa. kama wanachama tuna haki na wajibu wakujivunia mama huyu shupavu na madhubuti kipenzi cha waTanzania.

Dr. Samia Suluhu Hassan ndio pekee turufu muhimu na hakikisho la ushindi wa kishindo kwa CCM uchaguzi mkuu ujao.

Wakati muafaka ukifika tuungane na wanachama wengine nchi nzima kwenye kampeni ya "MITANO TENA NA DR. SAMIA SULUHU HASSAN"

Katibu wetu mkuu wa chama Taifa comrade Dr. Emanuel Nchimbi, alituelekeza mchana kweupe kwamba mwanachama wa CCM popote nchini, hahitaji kupata kibali kutoka popote kuinadi, kuielezea itikadi, sera, uelekeo na uwajibikaji wa Chama Cha Mapinduzi kwa wananchi iwe ni kijamii, kisiasa na kiuchmi...

Mwana CCM hapaswi kua mnyonge bali jasiri asie na woga, aibu wala haya kuhubiri habari njema za CCM, kwasababu mambo makubwa yanayofanywa na CCM kwa maslahi mapana ya waTanzania wote yako wazi na bayana kabisaa, hata usitumie nguvu kuyaeleza. Ukiona vyaelea, ujue vimeundwa.

Mwisho na muhimu zaidi, wale wana CCM, wenye sifa stahiki, uwezo na vigezo muafaka vinavyokidhi masharti ya kisheria na kikatiba ya kua viongozi, basi wasisite kujitokeza kugombea nafasi hizo muhimu sana serikali za mitaa na serikali za vijiji kwanmustakabali mwema wa Taifa letu..

Aidha tuendelee kumuunga mkono mh. Rais na mwenyekiti wetu wa CCM taifa kwa kazi kubwa na nzuri sana anayoendelea kuifanya ya kuwaletea waTanzania maendeleo endelevu..

Kidumu Chama Cha Mapinduzi ✊
Wazalendo Bado tunahitaji kurudisha bandari zetu zilizouzwa na CCM!!
 
Hilo halina shaka hatuna tume huru wala katiba itakayofanya upinzani ushinde..
 

Attachments

  • IMG-20240830-WA0025.jpg
    IMG-20240830-WA0025.jpg
    404.8 KB · Views: 2
Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika hapo juu

Wekeni kumbukumbu ya Uzi huu
Niwatakie sabato njema
Sasa mbona hilo liko wazi! Hata ikitaka kushinda kwa 200% inaweza tu.

Kama Mwenyekiti na mkurugenzi wa tume inayotangaza matokeo, pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye anasimamia huo uchaguzi; wote kwa pamoja wanateuliwa na Rais mwenye kofia ya Mwenyekiti wa chama tawala! Hivi inawezekana kweli wakaenda kinyume na matakwa ya Bosi wao!!

Tuache utani bhana! Kwenye hii nchi hakuna uchaguzi.
 
Mbona hilo tunalijua?
Kwa hii Tume Fake ya uchaguzi,Vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa nini CCM isipite?
Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe,CCM haijawahi kushinda kwenye sanduku la kura.
 
Comrades,
ladies and gentlemen..

CCM hoyeee ✊

Ndugu zangu wanachama, mabalozi, viongozi wa mashina na matawi popote mlipo.
tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji baadae mwaka huu.

Uchaguzi huu ni muhimu sana kwetu kama chama tawala, lakini pia lengo la chama ni kupata ushindi mkubwa katika kila mtaa na kijiji, kwani huo ndio utakua msingi na chachu ya ushindi wa kishindo, katika uchaguzi mkuu ujao kwa madiwani, wabunge na Rais wa CCM, 2025.

Maelekezo muhimu ya chama yameshatolewa kote nchini. shukrani za kipekee sana ziwaendee makatibu kata wa CCM na makatibu wa matawi yote ya CCM kwa kazi nzuri sana ya kuwahamasisha na kuwasimamia mabalozi kuhakikisha wanachama wote wa CCM wanajiandikisha kwenye madaftari maalumu ya chama na panapohusika kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada mwaka huu..

Lakini pia wanachama wote wa CCM kama ilivyo ada yetu, tuhamasishane kwa nguvu zetu zote, tuhuishe taarifa zetu za mpiga kura ikiwa kuna ulazima wa kufanya hivyo kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, wakati muafaka mazoezi haya yote haya mawili muhimu sana yatakapoanza kwenye maeneo yenu...

Hatuna sababu ya kupoteza hata mtaa moja kwenye uchaguzi huu. Chama Cha Mapinduzi na serikali sikivu ya CCM, iliyopo madarakani chini ya mwenyekiti wa CCM taifa, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, iliahidi waTanzania kwa maneno, na hivi sasa inatekeleza ahadi kwa vitendo..
Mungu atupatie nini tena ndrugo zangu waTanzania?

Dr. Samia Suluhu Hassan,
anakubalika, anapendwa, anaaminika na wananchi wote, kitaifa na kimataifa. kama wanachama tuna haki na wajibu wakujivunia mama huyu shupavu na madhubuti kipenzi cha waTanzania.

Dr. Samia Suluhu Hassan ndio pekee turufu muhimu na hakikisho la ushindi wa kishindo kwa CCM uchaguzi mkuu ujao.

Wakati muafaka ukifika tuungane na wanachama wengine nchi nzima kwenye kampeni ya "MITANO TENA NA DR. SAMIA SULUHU HASSAN"

Katibu wetu mkuu wa chama Taifa comrade Dr. Emanuel Nchimbi, alituelekeza mchana kweupe kwamba mwanachama wa CCM popote nchini, hahitaji kupata kibali kutoka popote kuinadi, kuielezea itikadi, sera, uelekeo na uwajibikaji wa Chama Cha Mapinduzi kwa wananchi iwe ni kijamii, kisiasa na kiuchmi...

Mwana CCM hapaswi kua mnyonge bali jasiri asie na woga, aibu wala haya kuhubiri habari njema za CCM, kwasababu mambo makubwa yanayofanywa na CCM kwa maslahi mapana ya waTanzania wote yako wazi na bayana kabisaa, hata usitumie nguvu kuyaeleza. Ukiona vyaelea, ujue vimeundwa.

Mwisho na muhimu zaidi, wale wana CCM, wenye sifa stahiki, uwezo na vigezo muafaka vinavyokidhi masharti ya kisheria na kikatiba ya kua viongozi, basi wasisite kujitokeza kugombea nafasi hizo muhimu sana serikali za mitaa na serikali za vijiji kwanmustakabali mwema wa Taifa letu..

Aidha tuendelee kumuunga mkono mh. Rais na mwenyekiti wetu wa CCM taifa kwa kazi kubwa na nzuri sana anayoendelea kuifanya ya kuwaletea waTanzania maendeleo endelevu..

Kidumu Chama Cha Mapinduzi ✊

Udumu umasikini na ujinga! ndiyo unasema. Kama uchaguzi ni wa Polisi na Usalama wa taifa badala ya wananchi hata 100% INAWEZEKANA maana ni uchaguzi kama wa 2020 ilikuwa maigizo tu hata data huwezi kuzijumlisha.

Tupende nchi kuliko huu ujinga ujinga wa vyama ambavyo wanufaika ni wachache wakina Kikwete, Samia na hizo familia za Mwinyi na sio nchi. Nchi inahitaji katiba mpya
 
Comrades,
ladies and gentlemen..

CCM hoyeee ✊

Ndugu zangu wanachama, mabalozi, viongozi wa mashina na matawi popote mlipo.
tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji baadae mwaka huu.

Uchaguzi huu ni muhimu sana kwetu kama chama tawala, lakini pia lengo la chama ni kupata ushindi mkubwa katika kila mtaa na kijiji, kwani huo ndio utakua msingi na chachu ya ushindi wa kishindo, katika uchaguzi mkuu ujao kwa madiwani, wabunge na Rais wa CCM, 2025.

Maelekezo muhimu ya chama yameshatolewa kote nchini. shukrani za kipekee sana ziwaendee makatibu kata wa CCM na makatibu wa matawi yote ya CCM kwa kazi nzuri sana ya kuwahamasisha na kuwasimamia mabalozi kuhakikisha wanachama wote wa CCM wanajiandikisha kwenye madaftari maalumu ya chama na panapohusika kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada mwaka huu..

Lakini pia wanachama wote wa CCM kama ilivyo ada yetu, tuhamasishane kwa nguvu zetu zote, tuhuishe taarifa zetu za mpiga kura ikiwa kuna ulazima wa kufanya hivyo kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, wakati muafaka mazoezi haya yote haya mawili muhimu sana yatakapoanza kwenye maeneo yenu...

Hatuna sababu ya kupoteza hata mtaa moja kwenye uchaguzi huu. Chama Cha Mapinduzi na serikali sikivu ya CCM, iliyopo madarakani chini ya mwenyekiti wa CCM taifa, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, iliahidi waTanzania kwa maneno, na hivi sasa inatekeleza ahadi kwa vitendo..
Mungu atupatie nini tena ndrugo zangu waTanzania?

Dr. Samia Suluhu Hassan,
anakubalika, anapendwa, anaaminika na wananchi wote, kitaifa na kimataifa. kama wanachama tuna haki na wajibu wakujivunia mama huyu shupavu na madhubuti kipenzi cha waTanzania.

Dr. Samia Suluhu Hassan ndio pekee turufu muhimu na hakikisho la ushindi wa kishindo kwa CCM uchaguzi mkuu ujao.

Wakati muafaka ukifika tuungane na wanachama wengine nchi nzima kwenye kampeni ya "MITANO TENA NA DR. SAMIA SULUHU HASSAN"

Katibu wetu mkuu wa chama Taifa comrade Dr. Emanuel Nchimbi, alituelekeza mchana kweupe kwamba mwanachama wa CCM popote nchini, hahitaji kupata kibali kutoka popote kuinadi, kuielezea itikadi, sera, uelekeo na uwajibikaji wa Chama Cha Mapinduzi kwa wananchi iwe ni kijamii, kisiasa na kiuchmi...

Mwana CCM hapaswi kua mnyonge bali jasiri asie na woga, aibu wala haya kuhubiri habari njema za CCM, kwasababu mambo makubwa yanayofanywa na CCM kwa maslahi mapana ya waTanzania wote yako wazi na bayana kabisaa, hata usitumie nguvu kuyaeleza. Ukiona vyaelea, ujue vimeundwa.

Mwisho na muhimu zaidi, wale wana CCM, wenye sifa stahiki, uwezo na vigezo muafaka vinavyokidhi masharti ya kisheria na kikatiba ya kua viongozi, basi wasisite kujitokeza kugombea nafasi hizo muhimu sana serikali za mitaa na serikali za vijiji kwanmustakabali mwema wa Taifa letu..

Aidha tuendelee kumuunga mkono mh. Rais na mwenyekiti wetu wa CCM taifa kwa kazi kubwa na nzuri sana anayoendelea kuifanya ya kuwaletea waTanzania maendeleo endelevu..

Kidumu Chama Cha Mapinduzi ✊
Ila wengine lazima kibali na kinafutwa au kuzuiliwa tukio lililoombewa kibali bila sababu wala maelezo toshelezi.
 
Back
Top Bottom