Pre GE2025 Wito kwa wanachama wa CCM wote humu jukwaani kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Pre GE2025 Wito kwa wanachama wa CCM wote humu jukwaani kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Narudia tena, chaguzi zetu ni ushenzi kama ushenzi mwingine, wenye muda wa kupoteza ndio watajitokeza kushiriki chaguzi hizo. Rejea kura sio issue, bali issue ni muhesabu kura.
tatizo lako ni dogo sana,

Imani potofu..

ukiachana na hiyo wewe ni miongoni mwa wananchi makini sana, rekebisha hiyo hali tafadhali ili urudi katika hali yako ya kawaida gentleman 🐒
 
k
era yake ila asilimia za nani anapendwa zinaenda kwa mtu aliekufa
kama nilivyosema kwenye jibu langu la msingi kwamba three years a go uko sahihi sana, otherwise unafeli 🐒
 
Ambaye ni 'mungu' kwako kama inavyoonyesha katika maandiko yako yote humu JF!
Bila huyu huna maisha kabisa?
Hii ni zaidi ya kujidhalilisha.
Mungu ni Mungu tu,
hafananishwi na chochote...

Ni kwa Neema na Baraka za Mungu Dr Samia Suluhu Hassan analiongoza taifa kwa upendo mkubwa sana...


Ni kwa Neema na Baraka za Mungu mimi na wewe tunajadiliana haya yote kwa upendo...

Nafurahi,
Kwa Neema na Baraka za Mungu waTanzania wote kwa Umoja wao wanamuunga mkono kwa dhati sana uongozi makini wa Dr.Samia Suluhu Hassan 🐒
 
Mungu ni Mungu tu,
hafananishwi na chochote...

Ni kwa Neema na Baraka za Mungu Dr Samia Suluhu Hassan analiongoza taifa kwa upendo mkubwa sana...


Ni kwa Neema na Baraka za Mungu mimi na wewe tunajadiliana haya yote kwa upendo...

Nafurahi,
Kwa Neema na Baraka za Mungu waTanzania wote kwa Umoja wao wanamuunga mkono kwa dhati sana uongozi makini wa Dr.Samia Suluhu Hassan 🐒
Huyu 'mungu' wenu ni kama hana uwezo wa kuona unafiki mwingi ulio wajaa rohoni na vichwani mwenu.

Huyu ni 'mungu' wa ajabu sana. Mnafanya mauchafu yote, halafu mnakimbilia kumweka huyo 'mungu' mbele!
 
Huyu 'mungu' wenu ni kama hana uwezo wa kuona unafiki mwingi ulio wajaa rohoni na vichwani mwenu.

Huyu ni 'mungu' wa ajabu sana. Mnafanya mauchafu yote, halafu mnakimbilia kumweka huyo 'mungu' mbele!
by the way sisi ni wa Mungu,

huyo 'mungu' wenu bakini nae tu maana hirizi wengine hatuziwezi...


Neema na Baraka za Mungu zinatosha kwa Dr Samia Suluhu Hassan kuongeza taifa kwa weledi na amani,

na sisi wasaidizi wake Neema na Baraka za Mungu zinakusaidia katika kutekeleza malekezo na mipango yake kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
 
by the way sisi ni wa Mungu,

huyo 'mungu' wenu bakini nae tu maana hirizi wengine hatuziwezi...


Neema na Baraka za Mungu zinatosha kwa Dr Samia Suluhu Hassan kuongeza taifa kwa weledi na amani,

na sisi wasaidizi wake Neema na Baraka za Mungu zinakusaidia katika kutekeleza malekezo na mipango yake kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
Utaimba sana hizi nyimb safari hii,; lakini hata huyo 'mungu' kachoka kusikiliza upumbavu.
 
haya mbona ndiyo haya haya mfanyayo kila sehemu, hadi humu JF. Mfano mzuri ni wewe.
sure mimi ni miongoni mwa mifano bora sana ya kuigwa na makundi yote ya kijamii,

ni msema ukweli, muwazi, muungwana, mkarimu mwenye bidii, asie choka wala kukata tamaa...

mnyonge mwenye upendo, msikivu mstahimilivu sana.

na hayo ni kwa uchache tu,
Na ni kwa Neema na Baraka za Mungu naweza kuyaishi yote haya 🐒
 
Utaimba sana hizi nyimb safari hii,; lakini hata huyo 'mungu' kachoka kusikiliza upumbavu.
Mungu ni wa wote, si mwepesi wa hasira ni mwingi wa rehema...

wenye dhamana ya kwa umma daima tutamtumaini yeye usiku na mchana ili kusudi yale tuliwaahidi waTanzania kama Taifa, tuyatimize kwa wakati muafaka, sawa sawa na mapenzi yake...

Mungu Ibariki Tanzania,
Mbariki kiongozi wetu wa kitaifa Dr.Samia Suluhu Hassan afya njema na maisha marefu 🐒
 
sure mimi ni miongoni mwa mifano bora sana ya kuigwa na makundi yote ya kijamii,

ni msema ukweli, muwazi, muungwana, mkarimu mwenye bidii, asie choka wala kukata tamaa...

mnyonge mwenye upendo, msikivu mstahimilivu sana.

na hayo ni kwa uchache tu,
Na ni kwa Neema na Baraka za Mungu naweza kuyaishi yote haya 🐒
Kiyama kitakapo wasili utaulizwa uchafu ulio changia kuwaumiza waTanzania.

Ni binaadam mwenye kichaa pekee ndiye anayeweza kujitwisha hayo uliyojielezea hapo juu. Akili yako haipo sawa.
 
Mungu ni wa wote, si mwepesi wa hasira ni mwingi wa rehema...

wenye dhamana ya kwa umma daima tutamtumaini yeye usiku na mchana ili kusudi yale tuliwaahidi waTanzania kama Taifa, tuyatimize kwa wakati muafaka, sawa sawa na mapenzi yake...

Mungu Ibariki Tanzania,
Mbariki kiongozi wetu wa kitaifa Dr.Samia Suluhu Hassan afya njema na maisha marefu 🐒
Hakuna huyo Mungu asiyeipenda Tanzania, kiasi cha yeye kuwapa kiongozi mbovu kama huyo. Huyo unaye mzungumzia ni huyo aliyeko akilini mwako, akili ambayo ni dhahiri haipo sawasawa kama inavyoonyesha kila sehemu ya maandishi yako.
 
Kiyama kitakapo wasili utaulizwa uchafu ulio changia kuwaumiza waTanzania.

Ni binaadam mwenye kichaa pekee ndiye anayeweza kujitwisha hayo uliyojielezea hapo juu. Akili yako haipo sawa.
kwamba wew ndio sasa utakua 'mungu' na ushirikina wako?🐒

sisi tunaotegemea Neema na Baraka za Mungu kutekeleza kazi na majukumu muhimu ya umma, hatutishwagwi na washirikina gentleman 🐒
 
m
Hakuna huyo Mungu asiyeipenda Tanzania, kiasi cha yeye kuwapa kiongozi mbovu kama huyo. Huyo unaye mzungumzia ni huyo aliyeko akilini mwako, akili ambayo ni dhahiri haipo sawasawa kama inavyoonyesha kila sehemu ya maandishi yako.
mwenye akili sawa mbona sasa unababaika tu, ni 'mungu' au Mungu?🤣
 
Back
Top Bottom