Wito kwa watanzania wote: Ili CCM na serikali zake wajue hatuwataki, 2025 wote tususie uchaguzi bila tume huru ya uchaguzi

Wito kwa watanzania wote: Ili CCM na serikali zake wajue hatuwataki, 2025 wote tususie uchaguzi bila tume huru ya uchaguzi

Susa wewe na wenzako....

Mimi sitosusa na nitakuwa na wenzangu.....

Mlisusa uchaguzi wa serikali za mitaa....kilichobadilika ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]


Like proverb says ,NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY AS IT IS UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE [emoji120]

Wenye "knowledge" hatutoususa uchaguzi/chaguzi....

#Si Watanzania Wote Wanaifahamu Vyema Katiba Iliyopo[emoji120]

#Katiba Iliyopo Ina Mazuri Mengi Yanayoangaliwa Kibubusa[emoji120]

#Katiba Iliyopo Ndiyo Inayolinda STABILITY ya Taifa Hili[emoji120][emoji120][emoji120]
Msimamizi ni Mkurugenzi,huwezi ku-challenge matokeo mpaka mshindi atangazwe,wewe unakwenda kuchagua,aren't you stupid really.Hivi Mkurugenzi anaweza kwenda kinyume na Mwajiri wake kweli.Wewe ni li-CCM,unapotosha watu.
 
Huna takwimu za kisomi....

Takwimu mtambuka umefanyia wapi ?!!!

Research methodology" yako ni ipi ?!! [emoji15][emoji15]
CCM hawazidi 8 million mkuu.Tena sio wote ni active members.Figure hii nimepata kwa kiongozi wa CCM.
 
CCM hawazidi 8 million mkuu.Tena sio wote Ni active members.Figure hii nimepata kwa kiongozi wa CCM.
[emoji15][emoji15][emoji1787]

Unajidanganya mkuu...

CCM ina wanachama zaidi ya hao...

Na wasio na vyama wengi huichagua CCM....

Wana sababu nyingi mtambuka....

CCM imeweza kuituliza nchi...

Wananchi wana UTULIVU...

Wananchi wana AMANI....

Wananchi wana USALAMA...

Hata kama wengi wao hawana ELIMU kubwa....ila wale walio wafuatiliaji wa mambo husikiliza VIPINDI vya IDHAA YA KISWAHILI YA BBC ,IDHAA YA KISWAHILI YA UJERUMANI DW ,IDHAA YA KISWAHILI YA MAREKANI NA JAPAN...

Humo wanaelewa yaendeleayo JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO....

Ugaidi uliopo SOMALIA...

Ugaidi wa BOKO HARAMU kule Kaskazini mwa Nigeria.....

Vita vya Sudan.....uroho wa madaraka wa akina Hemeti na wenzake....

Vita vya kikabila vilivyotokea ETHIOPIA ya ubaguzi wa KIMAJIMBO.....

Watanzania wanajua vyema kuwa WANASIASA huyataka maslahi yao hata kuweza kutumia DAMU ZAO....

Watanzania si WAJINGA si WAPUMBAVU....

Mathanzua bwanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanasisiemu walio wengi wanaenda kupiga kura, wasiokuwa wanasisiemu wengi wanahudhuria mikutano ya kampeni siku ya kupiga kura hawaendi kupiga kura.

Kama kweli watanzania tunataka kuiondoa sisiemu madarakani ni lazima tabia hii tuiache bila kujali ni lini matokeo tunayoyataka yatapatikana.

Serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar haikuja tu kwa kushuka toka mbinguni, ilikuwa ni hatua kwa hatua bila kuchoka. Wengi ambao sio wanasisiemu walihakikisha wanaenda kupiga kura kiasi ambacho kiliwabana hata hao wanasisiemu kushindwa kuiba kura kwakuwa hazikuibika tena.......stepu inayofuata ipo siku sisiemu itang'olewa pale Zanzibar.

Kuna suala la uimara wa wagombea wa vyama vinavyokinzana na sisiemu ni la msingi sana na muhimu. Hii tabia ya wagombea wa vyama mbadala kununulika kirahisi na sisiemu linawakatisha sana tamaa watanzania wenye nia thabiti ya kutaka mabadiliko. Mgombea ni lazima awe na misimamo inayoeleweka na isiyoyumba Wala kuyumbishwa.

Mabadiliko ya kiuongozi ni mchakato wa hatua kwa hatua na yanahitaji uvumilivu na kutokata tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika [emoji2956]
 
Ni miaka 63 sasa CCM ipo madarakani. Kimsingi hakuna maendeleo ya msingi waliyotuletea, isipokuwa kuturudisha nyuma kimaendeleo.

Kila serikali iliyoingia madarakani ilileta usanii wa kisiasa na kiuchumi na hatimaye kuturudisha nyuma decades.Wanayojisifia kwamba ni maendeleo si lolote kabisa ukilinganisha na rasilimali nyingi tulizo nazo. Tuamke Watanzania.

Comrade Magufuli katika awamu yake moja alijitahitahidi kubadilisha taswira ya Tanzania kwa kutuletea maendeleo, lakini juhudi zake zilifishwa prematurely, inasikitisha sana.

Kwa jinsi hali ilivyo ya kisiasa nchini mwetu, hatuna jinsi yeyote ambayo kama Watanzania tunaweza kujinasua kwenye mkwamo tulio nao sasa.Katiba haiheshimiwi kabisa na sioni uwezekano wa Bunge au hata wana siasa kutusaidia.

Mwito wangu kama Mtanzania ni huu, kama mpaka 2025 tusipokuwa na Katiba mpya, wala Tume Huru ya Uchaguzi, siku ya uchaguzi wote tubaki nyumbani.Sisi wananchi ndio tunaowapa wanasiasa legitimacy ya kutawala, kama wasipotupa Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi tubaki nyumbani,simply tuwanyime legitimacy ya kututawala.It is now or never, tushirikiane wote.
Kupata vichekesho kama hivi tunatumia website gani? 😂😂
 
Sina agenda na mtu yeyote,labda umuweke wewe.Mimi huwa najali issues sio mtu.Samia ameshindwa kazi aliyopewa,wananchi lazima tuonyeshe kwamba we want change,we want a more competent President.Na kwa kuwa hakuna abayeweza kutusaidia,tuonyeshe kutokuridhishwa nae kwa kukaa nyumbani siku ya uchaguzi bila Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.
Taja kazi aliyoshindwa tuanzie hapo bwana issue
 
Sina sababu ya ya ku-doubt takwimu za CCM zinazoka kwa kiongozi wa ngazi ya juu ya CCM.
Za CCM zitoke kwa viongozi wao...tusiziamini ?!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Zako zitoke kwako tuziamini ?!! [emoji15][emoji15]

Umetumia METHODOLOGY ipi ??!!

TOOLS zipi kusema kuwa watanzania hawaitaki CCM ?!!!![emoji15][emoji1787]
 
Kupata vichekesho kama hivi tunatumia website gani? 😂😂
Hamna jema,ukigogwa usoni unadai link,ukiletewa link,ume-copy na ku-paste.Ninyi nikuwa-ignore tu,mwenye akili anaina logic,mbona ujinga wa CCM upo wazi.
 
Za CCM zitoke kwa viongozi wao...tusiziamini ?!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Zako zitoke kwako tuziamini ?!! [emoji15][emoji15]

Umetumia METHODOLOGY ipi ??!!

TOOLS zipi kusema kuwa watanzania hawaitaki CCM ?!!!![emoji15][emoji1787]
Nonsense.
 
Kiukweli CCM imeturudisha nyuma sana hasa kielimu.

1.Iliufaidi Elimu yako lazima ujipendekeze kwa CCM hata kama ni professor
2.Ili ufanye tafti zenye manufaa kwa Jamii hakikisha haugusi CCM
3.Hata kama ni professor lazima ujitoe ufahamu kwenye mambo ambayo CCM haitaki , case study COVID 19
4.Waliko kwenye nafasi za uongozi na utawala kama Afisa Elimu ,MADAKTARI wa wilaya na MKOA siyo Kwa ufanisi wa kazi wala Elimu .Kwa vimemo kutoka UVCCM

Nakumbuka wakati fulani MUHAS kulikuwa na vilaza wa CCM tulivyo maliza wote wakapewa uganga ukuu wa wilaya mbalimbali.

6.Mganga mkuu wa Halmashauri fulani aliingia Kwa sms ya Baba yake kumuandikia Katibu Mkuu wa CCM taifa.
Haya yote ni kweli kabisa mkuu,no wonder mambo hayaendi kwa sababu ya upuuzi wa namna hii.Sasa tuungane basi,ili hatimaye tuwaondoe CCM madarakani.
 
Ni miaka 63 sasa CCM ipo madarakani. Kimsingi hakuna maendeleo ya msingi waliyotuletea, isipokuwa kuturudisha nyuma kimaendeleo.

Kila serikali iliyoingia madarakani ilileta usanii wa kisiasa na kiuchumi na hatimaye kuturudisha nyuma decades.Wanayojisifia kwamba ni maendeleo si lolote kabisa ukilinganisha na rasilimali nyingi tulizo nazo. Tuamke Watanzania.

Comrade Magufuli katika awamu yake moja alijitahitahidi kubadilisha taswira ya Tanzania kwa kutuletea maendeleo, lakini juhudi zake zilifishwa prematurely, inasikitisha sana.

Kwa jinsi hali ilivyo ya kisiasa nchini mwetu, hatuna jinsi yeyote ambayo kama Watanzania tunaweza kujinasua kwenye mkwamo tulio nao sasa.Katiba haiheshimiwi kabisa na sioni uwezekano wa Bunge au hata wana siasa kutusaidia.

Mwito wangu kama Mtanzania ni huu, kama mpaka 2025 tusipokuwa na Katiba mpya, wala Tume Huru ya Uchaguzi, siku ya uchaguzi wote tubaki nyumbani.Sisi wananchi ndio tunaowapa wanasiasa legitimacy ya kutawala, kama wasipotupa Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi tubaki nyumbani,simply tuwanyime legitimacy ya kututawala.It is now or never, tushirikiane wote.
Unawajua ccm unawasikia, nakwambia watapiga kura hata za maruhani na wataweka wagombea hata majini, usiwachukulie poa kabisa
 
Unawajua ccm unawasikia, nakwambia watapiga kura hata za maruhani na wataweka wagombea hata majini, usiwachukulie poa kabisa
Sawa,sisi tukae nyumbani,mbona maruhani hayaonekani?Tusipokwenda watajistukia mkuu,na uovu wao utakuwa dhahiri.
 
Mtashangaaa kura zenu mmepigiwa
Mnawajuwa chichiem nyie [emoji1]

Ova
 
Back
Top Bottom