Uchaguzi 2020 Wito: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na timu yake yote wajiuzulu

Uchaguzi 2020 Wito: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na timu yake yote wajiuzulu

Umeng’ng’ania Mkapa Mkapa! Huyo Mkapa
Huyo Mkapa wako angekuwa kweli ni muona mbali kwa nini hakutumia ‘bully pulpit’ kuleta hayo mabadiliko pindi akiwa Rais?

Hakujua umuhimu wa tume huru?

Better late than never but never late is better.

He had a great chance to do it but didn’t do it.

He doesn’t deserve the credit you’re affording him.

Bado sijaona mbadala wa kususia chaguzi za maigizo.

Ni moja ya njia bora kabisa za kutilia shinikizo la mabadiliko.

Ni hoja yenye mashiko na inasimama kwa ubora wake.
Hilo lijamaa tangu lijiunge na JF enzi zilee bado tu linaongea bla blah hadi leo. Sijui lini litabadilika kuendana na muda, manaake miaka inakwenda na mambo yanabadilika.
 
Umeng’ng’ania Mkapa Mkapa!

Huyo Mkapa wako angekuwa kweli ni muona mbali kwa nini hakutumia ‘bully pulpit’ kuleta hayo mabadiliko pindi akiwa Rais?

Hakujua umuhimu wa tume huru?

Better late than never but never late is better.

He had a great chance to do it but didn’t do it.

He doesn’t deserve the credit you’re affording him.

Bado sijaona mbadala wa kususia chaguzi za maigizo.

Ni moja ya njia bora kabisa za kutilia shinikizo la mabadiliko.

Ni hoja yenye mashiko na inasimama kwa ubora wake.
Hahahahaaaaaa....
 
Hahahahaaaaaa....
Unacheka mkuu?

Kwa nini? Nimeongea pumba ama?

Ni kweli Mkapa alikuwa Rais. Tena kwa mihula miwili.

Alinufaika na mfumo huu uliopo sasa hivi.

Mwaka jana au sijui mwaka juzi eti akadai kuwa tunahitaji tume huru ya uchaguzi.

Sasa swali ibuka ni: alikuja kutambua lini kuwa tunahitaji tume huru ya uchaguzi?

Angetuachia taasisi huru kama hiyo hakika angekumbukwa vizuri sana na watu walio wengi....

Sijui ni nini tu kilichomshinda kutuachia hiyo taasisi....
 
Kususia Uchaguzi haiwezi kuwatisha CCM hata kidogo.

Wamesajili vyama vingi bandia vya upinzani kama mbadala endapo CHADEMA wataleta mambo ya kususa na kukacha.

CHADEMA ndio tegemeo pekee la wananchi kwa sasa.

Ni juu ya wananchi wenyewe kupambana na hawa maharamia wa kijani, la sivyo CHADEMA itakufa na ndio utakuwa mwisho wa demokrasia nchini. Tutabaki na maigizo ya hawa makachero uchwara wenye wafuasi watano.

Bila wananchi kuamka na kuchukua mamlaka yao, naona giza kubwa sana mbele. CCM itatawala miaka mia hamsini ijayo.
Kweli kabisa mkuu, asilimia 99 vyama vilivyobaki ni mapandikizi labda mzee Rungwe tu ndio unaweza ukamuona muona ni mpinzani. Ndio sababu ukiacha chadema na act wengine wote walikuwa wanaunga mkono kauli ya "ukishapiga kura rudi nyumbani". Angalia malalalimiko kwa Lissu hadi nec kumsimamisha Lissu kufanya kampeni yaliwekwa na mgombea wa ccm na yule Leopold Mahona, sasa huyu Mahona atakuwa ni mpinzani kweli?
 
Screenshot-2020-10-28-at-15.54.29-660x400.png

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema Tume hiyo haijapokea taarifa za uwepo wa kura feki katika majimbo ya Kawe, Pangani na Kigoma.

Amewataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura katika muda huu mchache.

Chanzo: Millard Ayo.

Sasa kama tume ndo iliyotoa hizo karatasi za kura kwa CCM unadhani itasemaje itasema ni kweli karatasi za kura zimekamatwa sasa kwanini tuhangaike kusikiliza wakosaji waliotifikisha hapa tulipo. Ni vema wakajihuzulu kwa hiyari yao kuliko kusubiri vurugu kwanza la nguvu za wananchi.
 
Hajapiga, haya ni maajabu, mimi sijawahi kusikia kwamba Mgombea Uraisi hajipigii kura halafu anawaambia wengine wajitokeze kumpigia kura? Huyu jamaa tundu kichwani hazimtoshi aisee, ...

Mbona mnakuwa wajinga hivo kama hufuatilii habari ni bora kukaa kimya hajapiga vipi alioneshwa tangu akiwa airport kwenda singida na akaoneshwa Twitter akipiga kura na akaongea na vyombo vya habari na ITV kwenye taarifa ya habari wamemuonesha akiongea baada ya kupiga kura, mtakuwa mnaangalia TBC ndiyo maana
 
Unacheka mkuu?

Kwa nini? Nimeongea pumba ama?

Ni kweli Mkapa alikuwa Rais. Tena kwa mihula miwili.

Alinufaika na mfumo huu uliopo sasa hivi.

Mwaka jana au sijui mwaka juzi eti akadai kuwa tunahitaji tume huru ya uchaguzi.

Sasa swali ibuka ni: alikuja kutambua lini kuwa tunahitaji tume huru ya uchaguzi?

Angetuachia taasisi huru kama hiyo hakika angekumbukwa vizuri sana na watu walio wengi....

Sijui ni nini tu kilichomshinda kutuachia hiyo taasisi....
Samahani kwa jibu la kuchelewa. Sijui haya maoni yako yalifichwa? Sikuyaona.

Huyo mkapa hana tofauti na marais wengine. Nadhani ndio alikuwa Rais fisadi kuliko wote waliomtangulia.

Hata hako kakitabu chake cha maungamo alichokaandika ni vile dhamiri ilikuwa inamsuta tu kwa madhambi aliyoyafanya dhidi ya watanzania.

Wakiwa kwenye mfumo wa mamlaka huwa wanalewa sana na wanazungukwa na genge la mafisi ambao wako tayari kufanya lolote kulinda utawala.

Wakishaondoka madarakani ndio akili zinarudi kichwani.

Mkapa hastahili sifa yoyote, na maungamo yake hayana msaada wowote.

Alikuwa fisi kama mafisi wenzake waliomfuatia.

Lakini sishangai, maana kuna watu wanamsifu Kikwete leo hii. Hata magufuli akiondoka watamsifu pia.

Tutakuwa tunazunguka pale pale bila kujua tatizo ni nini.
 
Mkuu awajibikaji wa staili hiyo bado haujafika huko bara Giza labla 2080 hukooo hawa wakiwa marehemu. Tuombe Mungu
 
Kupitia akaunti ya twitter ya Tundu Lissu,nimeona video (bila shaka ni huko Kawe, Dar-es-salaam) inayoonyesha rundo la kura zinazidaiwa kuwa ni feki huku Polisi wakishirikishwa kuzitambua/ kushuhudia karatasi hizo za kura ambazo zimepigiwa kura mgombea wa CCM.

Video hii ni tofauti na ile inayoonyesha wananchi wakichoma moto kura walizozikamata.

Ukiacha huko Kawe, kuna video nyingine mtandaoni(twitter), inaonyesha wananchi(mkoani Kigoma) wakivamia kituo cha kupigia kura baada ya kubaini uwepo wa kura feki kwenye mfuko huku mwenye mfuko akigoma kuutoa /kukaguliwa na kusababisha vurugu kituoni hapo.

Kwakuwa hali hii inaripotiwa katika maeneo mengi nchini, ni wazi Tume ya Uchaguzi imeshindwa kutimiza wajibu wake na hivyo inapaswa kujiuzulu yote kuanzia mwenyekiti, mkurugenzi na watendaji wengine wote waliohusika kusimamia huu uchaguzi unless watuthibitishie kuwa madai haya ni ya uongo.

Mwisho, uchaguzi huu wote ufutwe iwapo tuhuma/ madai haya yathibitika kuwa ni ya kweli.
Mashujaa wa election 2020, masaa 9 tuu majibu Jimbo la Hai tayari.
 
Dawa ni kususia chaguzi zote.

Kususia huko ndio kuta highlight upumbavu uliopo.

Kuendelea kushiriki chaguzi ambazo mnajua kabisa hazina mazingira yaliyo sawa kwa washiriki wote, ni uwendawazimu.

Anywho, endeleeni kushiriki na endeleeni kuwapa uhalali CCM.

Pia, endeleeni kulialia kuwa hakuna tume huru ilhali mnajua kabisa hatma yenu.

Huyo Mkapa angeyasema hayo ya tume huru ya uchaguzi kabla ya 1995, basi ningemwona wa maana sana.

Lakini kusema hivyo 2019 baada ya yeye kunufaika na hiyo hiyo tume isiyo huru, ni unafiki tu. 1995 na 2000 hakujua kuwa tume yetu ya uchaguzi si huru?
Chui leo umevaa ngozi ya Mbuzi na ujichanganya na Mbuzi kwenye zizi lao ili uwatafune kwa raha yako.
 
Back
Top Bottom