Wito wa Kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea Mwaka 2024. Kazi kwenu!

Wito wa Kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea Mwaka 2024. Kazi kwenu!

Hivi umri wa kijana mwisho miaka mingapi maana hawa mafala (ashakum sio matusi) hawachelewi kusema umri ni miaka 18-23 au 18-25 kwa hio kuanzia miaka 26 kuendelea ni wazee?
 
Team jakarta, vijana mkapambane, mkalitumikie taifa
Umri wa kijana unaishia miaka mingapi wanaandika tu vijana vijana wasema na umri huo wa vijana wanaowahitaji mimi nijuavyo kijana umri unagota miaka 45 hapo ndio mwisho wa kijana, sasa wapo tayari kupokea wakulugwa wenye umri huo?
 
Umri wa kijana unaishia miaka mingapi wanaandika tu vijana vijana wasema na umri huo wa vijana wanaowahitaji mimi nijuavyo kijana umri unagota miaka 45 hapo ndio mwisho wa kijana, sasa wapo tayari kupokea wakulugwa wenye umri huo?
Majeshi ya wenzetu hata mpaka 42 wanaweza kukuchukua if uko fiti. Lakin ifike mahali ujue kuwa kila nchi ina vigezo vyake. we all know vijana wanao hitajika jeshini.
Proud nilipita huko nikiwa a very young man
 
Bungeni wakubwa walisema kigezo cha kupitia JKT kiondolewe katika vigezo vya kuajiriwa majeshini target yao kubwa ili iwe rahisi kupitisha watoto wao kwahiyo sisi tutakaojitolea kwenda JKT huenda tukaambulia kwenda kulima tu
 
ukihitajika utaitwa... familia ya mama kizimkazi na hapa ipo... vijana nendeni mkalime tena nyie wenye diploma sjui degree ngoja mwende af mrudi mnalia kwamba hamjaajiriwa.... subirini wanaorudi mwaka huu mjionee
Hizo saa hapo bunju hazijambo?
 
Bungeni wakubwa walisema kigezo cha kupitia JKT kiondolewe katika vigezo vya kuajiriwa majeshini target yao kubwa ili iwe rahisi kupitisha watoto wao kwahiyo sisi tutakaojitolea kwenda JKT huenda tukaambulia kwenda kulima tu
Bado jkt ni advantages, kisirisiri. application za wengi waliopota jkt zilikubaliwa zaidi polisi kuliko za wale waliopita kiraia
 
Bado jkt ni advantages, kisirisiri. application za wengi waliopota jkt zilikubaliwa zaidi polisi kuliko za wale waliopita kiraia
Hii ni kweri japo nashauri tu kama mtu unamchongo wako mtaani endelea tu kupambana usiende JKT maan kule unakaa tu kama mskule hujui ni lini watakuja kufanya usaili upo tu na kama wakija hujui kama utapata japo umewalimia mashamba yao USIENDE jkt kama huna mtu mkubwa nyuma yako anaekushika mkono utajilaumu sana baadae ni bora ukomae na ajiraportal huku huenda ukapiga interview siku ukatoboa
 
Hii ni kweri japo nashauri tu kama mtu unamchongo wako mtaani endelea tu kupambana usiende JKT maan kule unakaa tu kama mskule hujui ni lini watakuja kufanya usaili upo tu na kama wakija hujui kama utapata japo umewalimia mashamba yao USIENDE jkt kama huna mtu mkubwa nyuma yako anaekushika mkono utajilaumu sana baadae ni bora ukomae na ajiraportal huku huenda ukapiga interview siku ukatoboa
Kule hawakai kama msukule. Once again unatakiwa ujue jukumu la jkt ni nini? Ajira hata mtaani hazitabiriki so mazingira yako neutral

Kwenda jkt sio uhakika wa ajira, but inakupa advantages zaidi
 
Bro ni heri kama mtu anaweza fanya chochote mtaani cha kumuingizia hela ni heri akaendelea nacho nasio kwenda kule.

Niliwahi kuwa kule miaka ya nyuma hali ni mbaya sana haswa kama hauna taaluma iliyoshiba na Mkubwa nyuma yako.

Nakumbuka kambi yetu walikujaga wakawabeba watu wawili tu kwenye interview moja ya mambo ya urubani na sio kama hawakuwepo watu wenye kisomo upande huo.. (Walimchukua mtoto wa kiongozi mmoja hivi pamoja na rafiki yake tu.)

Nina ndugu na jamaa kadhaa walienda na waliporudi walikuwa kwenye majuto.

Posho ya kuke haitakiwi kukulevya
Kule hawakai kama msukule. Once again unatakiwa ujue jukumu la jkt ni nini? Ajira hata mtaani hazitabiriki so mazingira yako neutral

Kwenda jkt sio uhakika wa ajira, but inakupa advantages zaidi
 
Back
Top Bottom