Wito wa Kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea Mwaka 2024. Kazi kwenu!

Wito wa Kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea Mwaka 2024. Kazi kwenu!

Kuna mate wa primary, yeye aliishiaga 4m 4, akaenda huko JKT.
kakaa huko kambiniii miaka 4, karudi kitaa hana jipyaa wala ramani.

Afu kwao ni apeche alolo, walitegemea yeye atusue awe mkomboz
Sahivi ni Dereva Bajaji, ila ukikaa nae unaona hayuko sawa km mwanzo.

Hasira, chuki, jazba, ndo zimejaa hapo. Namsikitikia kwa kwelii.
Kakata tamaa kabisa. Lol
Vipi kwenye bajaji kajipata au bado anawaza majeshi
 
Mbona sijaelewa barua inaonesha muda wakuripoti kambini baada ya usahili lakini muda wausahili haukuainishwa au mm ndio sijaelewa ? Please naomba kueleweshwa
Usahili unaanza leo tarehe 1 October na watakaopata wataenda kuanza vikosin tarehe 1-3 mwez wa 11
 
Hivi JWTZ, Magereza, Uhamiaji, Police Tanzania, GSO na TISS bado wanachukua vijana JKT kama kipaumbele au siku hizi wanaenda uraiani moja kwa moja??​
 
Mimi nilikwenda kule but miaka hiyo, full course walikuja wakabeba almost wote. Ni wachache sana walirudi kitaa
Mostly walichukua wenye elimu, i remember dimplomas wengi na degrees waliondoka
Sasa wewe mbona ukaachwa kwa mataa. Maisha yakakutandika ukachakaa wenzio Leo hii ni ma-Luteni
 
Kuna madogo wanajitolea pale job nawaangalia mpaka nachoka, sasa mtu unajitolea ili upate Nini! Kuna dogo wa kike alijitolea miaka kama mitatu ikafika kipindi mshikaji mmoja pale job alikua anamtania yule Binti " You are the permanent unpensionable", yule Binti alikua inaishia ku-smile ingawa binafsi nilikua najisikia vibaya..

Sasa wewe kijana badala ya kwenda kuwalimia jkt nakushauri usiende ila Lima shamba lako mwenyewe boya wewe!
 
nashauri tu kama una elimu au ujuzi fulani unaotambulika maybe diploma au degree ya kitu fulani komaa tu mtaani tafuta visehem ujishikize muda huo unausoma mtaa.. kujitolea nikama kufata odds 15 za ugenini kwa laki mbili.. vijana wengi bado wanaamini ukienda huko una asilimia kubwa kuajiriwa majeshini kumbe uhalisia sio kweri leo nimekutana na ndugu yangu mmoja sikujua kama alikua JKT kumbe kamaliza mkataba siku sio nyingi amerudi mtaani hana ramani yoyote hii sio stori ni ukweri kabisa jamaa anasema kama kuna kosa aliwahi kufanya ni kwenda kujitolea amepoteza kila kitu muda na fursa kibao zimempita mtaani... serikali pia iliangalie ili swala kwa upana mkubwa sana imagine 2 years sometimes above unajitolea kulima mashamba ya watu kisha unarudishwa nyumbani inauma sana
 
nashauri tu kama una elimu au ujuzi fulani unaotambulika maybe diploma au degree ya kitu fulani komaa tu mtaani tafuta visehem ujishikize muda huo unausoma mtaa.. kujitolea nikama kufata odds 15 za ugenini kwa laki mbili.. vijana wengi bado wanaamini ukienda huko una asilimia kubwa kuajiriwa majeshini kumbe uhalisia sio kweri leo nimekutana na ndugu yangu mmoja sikujua kama alikua JKT kumbe kamaliza mkataba siku sio nyingi amerudi mtaani hana ramani yoyote hii sio stori ni ukweri kabisa jamaa anasema kama kuna kosa aliwahi kufanya ni kwenda kujitolea amepoteza kila kitu muda na fursa kibao zimempita mtaani... serikali pia iliangalie ili swala kwa upana mkubwa sana imagine 2 years sometimes above unajitolea kulima mashamba ya watu kisha unarudishwa nyumbani inauma sana
WALAU WANGEKUWA WANAWAPATIA HATA MITAJI
 
Back
Top Bottom