Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe bado nimo
Jamaa alikuwa anazingua mtu akiwa kwenye hali ile mpe moyo.kutangulia si kufika.Kuna madogo wanajitolea pale job nawaangalia mpaka nachoka, sasa mtu unajitolea ili upate Nini! Kuna dogo wa kike alijitolea miaka kama mitatu ikafika kipindi mshikaji mmoja pale job alikua anamtania yule Binti " You are the permanent unpensionable", yule Binti alikua inaishia ku-smile ingawa binafsi nilikua najisikia vibaya..
Sasa wewe kijana badala ya kwenda kuwalimia jkt nakushauri usiende ila Lima shamba lako mwenyewe boya wewe!
Changamkia fursa😄Kumbe bado nimo
Kila kipindi kiwe na kikomo. Huwez kujitolea mpaka mwisho mana maisha mengine inabid yaendelee. Niliwah kufanya fanya kikaz flani hiv hotel zanzibar nikakutana na kadada kamejitolea kule wanaitwaga "trainee" kanapiga kazi.Jamaa alikuwa anazingua mtu akiwa kwenye hali ile mpe moyo.kutangulia si kufika.