Wito wa Kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea Mwaka 2024. Kazi kwenu!

Jamaa alikuwa anazingua mtu akiwa kwenye hali ile mpe moyo.kutangulia si kufika.
 
Jamaa alikuwa anazingua mtu akiwa kwenye hali ile mpe moyo.kutangulia si kufika.
Kila kipindi kiwe na kikomo. Huwez kujitolea mpaka mwisho mana maisha mengine inabid yaendelee. Niliwah kufanya fanya kikaz flani hiv hotel zanzibar nikakutana na kadada kamejitolea kule wanaitwaga "trainee" kanapiga kazi.

Kakaniambia mm hpa ndo nimefika mchawi nile tu.. nikamuangalia nikaona uwezo wake wa ufikiri upo chini sana na ule ulikuwa mwaka wake wa pili pale yupo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…