Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Liongo likubwa. Inawezekana haupo Tanzania. Kwa ufupi nikudokeze, Mama Samia anachukiwa sana tena sana tena hapendwi mno na makundi yenye ushawishi ya watanzania. Sababu kubwa ni viashiria vya kukandia misingi ya Dkt Magufuli. Mfano kuruhusu mgambo kupora bidhaa za machinga, na kuwarudisha kwenye nafasi wenye madoa ya uadilifu na pia kuonekana wazi wazi kuajiri watu nafasi za serikali kwa misingi ya dini
Mkuu kuna mtu alikuwa mkabila na mdini kuliko Jiwe? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Nafasi zote nyeti nadhani unajua ni kabila gani walikuwa wanawekwa hapo. Emezungumzia makundi yenye ushawishi, naomba unitajie mawili katika hayo makundi unayosema yana ushawishi.
Angalizo, machinga siyo kundi lenye ushawishi bali ni kundi la masikini/wanyonge wanaopenda kuona tajiri akikomolewa kwani wanaamini umasikini wao unasababishwa na tajiri.
 
Mliua wote?

Sasa swali gani hili? Swali hili ni sawa na mtu anayeuliza kama unasema jiwe alikuwa muuaji je ulimuona akimpiga mtu risasi au kumchoma kisu?
Anyway hapa mjadala umefungwa kwa kusema tu kuwa Mange hajafanya kitu sahihi kwa Pro J.
 
Mkuu kuna mtu alikuwa mkabila na mdini kuliko Jiwe? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Nafasi zote nyeti nadhani unajua ni kabila gani walikuwa wanawekwa hapo. Emezungumzia makundi yenye ushawishi, naomba unitajie mawili katika hayo makundi unayosema yana ushawishi.
Angalizo, machinga siyo kundi lenye ushawishi bali ni kundi la masikini/wanyonge wanaopenda kuona tajiri akikomolewa kwani wanaamini umasikini wao unasababishwa na tajiri.
Mkuu iko hivi, watu wengi vetting zilikuwa zina goma. Na uliza, hakuna kipindi ambacho watu wa vetting walifanya kazi kama cha Dkt Magufuli na kumbuka Dkt Magufuli alituma hadi team tatu au nne kwa ajili ya vetting, na hata yeye mwenyewe alipiga simu wakati mwingine kijiridhisha. Kwa hiyo aliangalia watu bila kujali kabila. Ila kundi la msoga ndilo liliamua kutengeneza hayo maneno. Angalia kwa Mama, anaajiri watu bila interview mradi uwe muislamu, inawezekana Mama hajui ila nafasi nyingi waislamu just wanapewa bila interview.
 
Hivi tusi ndo kitu gani au ni maneno gani? tusi ni kutokana na tafsiri yako.
Je wapi uliona wakishabikia alipopost video inayoonesha ugonjwa wa mtu? au mtu aliepo ICU?

Umejawa na chukina nongwa tu...mtu akitenda kosa anatakiwa kupingwa na kila mtu siyo kwasababu ametenda Sasa au akitenda kabla hakupingwa.
 
alipokuwa anatukanwa makifuli mpaka amekufa anashambuliwa mbona hujalalamika makonda anashambuliwa hulalamiki
Akifa jambazi lazima watu watashangilia tu, na wala kwenye jamii hawataonekana kukosea kwa kitendo hicho. Lakini kitendo hicho chicho kikifanywa kwa mtu mwema/wakawaida lazima jamii ishangae kwani inaona mtu huyo hakustahili kutendwa hayo. Swali jingine
 
Atamkataaje wakati ni msemaji wao? Kama utakumbuka mange aliibika wakati gani?

Mange ni kundi la akina kigogo. Humo huwezi kumkosa handsome wa taifa na mwanawe, mkata umeme na wanaojufanya wenye ccm.

Mange aliweza kupata barua iliyowataka maafisa usalama wamkamate na akatoroka nchi. Unadhani ni suala dogo? Probably ni sehemu yao au ana watu ndani ya mfumo ambao wanampa kila kitu cha nchi hii.

Video ya makonda ameipata wapi? Maanake kuna informer wake anayemtumia matukio haya. Naye ni nani basi maanake habari anazopost mange huwa wa kwanza kabla ya wengine.

Kikwete aliiharibu sana nchi kwa kuendekeza makundi ambayo yameendelwa kuwa shubiri kwa viongozi wanaomfuatia.

Mama naye hayuko salama. Ni jambo la kusubiri kwa muda tu.
Anatishia kuwa wanaotaka afungiwe App yake, wanataka arudi huko Insta kuinanga serikali. Ni kama vile anawatisha TCRA kuwa, wakifunga hiyo App yake, atarudia ile tabia yake ya zamani, ya KUTUKANA SERIKALI!
20220311_121237.jpg
Screenshot_20220311-121259.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220311-121309.jpg
    Screenshot_20220311-121309.jpg
    34.6 KB · Views: 18
  • 20220311_121237.jpg
    20220311_121237.jpg
    60 KB · Views: 18
  • 20220311_121244.jpg
    20220311_121244.jpg
    105.8 KB · Views: 17
Sasa swali gani hili? Swali hili ni sawa na mtu anayeuliza kama unasema jiwe alikuwa muuaji je ulimuona akimpiga mtu risasi au kumchoma kisu?
Anyway hapa mjadala umefungwa kwa kusema tu kuwa Mange hajafanya kitu sahihi kwa Pro J.
Unavyo ongea mtazani mlikuwa mnaua wote?

Mbona swali la kawaida kupanic kwako. Kwani Mange kutokufanya vitu sahihi alianza leo!! Mbona tokea zamani, ila mlisifia enzi za jiwe now anayafanya yaleyale kama enzi za jiwe mnamuona hana maana,mvumilieni tu huyo hata mkifunga App yake bado ana account Instagram.
 
Acheni afanye atakavyo msimlaani wala kumchukia ni mtu wenu.Amedhalilisha watu wangapi chadema mkiwa mnsmsifu na kufurahi?
Tunamuombea Joseph Haule nafuu ipatikane kutoka kwa Allah.Juzi tu mlimsifu alipomdhalilisha lecturer wa chuo cha Arusha,alimdhalilisha Hayati Raisi Magufuli Mara ngapi?Did you shout or cry?
Who is Joseph Haule by the way compared to Magufuli?Alidhalilisha Mufti did u say anything?
Juzi mlipomkutanisha na Ssh mkajisifu humu kwamba shujaa wenu ameibuka,au sio nyinyi?Fuckin idiots,
Please let her be!
 
Mpuuzi umeandika kwa urefu Wala hakuna chenye maana hata kimoja zaidi kumsifia marehemu tu kwendaaa
 
Mkuu iko hivi, watu wengi vetting zilikuwa zina goma. Na uliza, hakuna kipindi ambacho watu wa vetting walifanya kazi kama cha Dkt Magufuli na kumbuka Dkt Magufuli alituma hadi team tatu au nne kwa ajili ya vetting, na hata yeye mwenyewe alipiga simu wakati mwingine kijiridhisha. Kwa hiyo aliangalia watu bila kujali kabila. Ila kundi la msoga ndilo liliamua kutengeneza hayo maneno. Angalia kwa Mama, anaajiri watu bila interview mradi uwe muislamu, inawezekana Mama hajui ila nafasi nyingi waislamu just wanapewa bila interview.

Ok,
1: Kwanza hujanitajia hayo makundi yenye ushawishi kama ulivyosema.
2: So unataka kusema vetting zilikuwa zinagoma kwenye kanda zingine lakini kwa wasukuma/kanda ya ziwa zinakubali? Hii haina tofauti na ile ya wapinzani kukosea kujaza form lakini hakuna mwana fisemu hata mmoja aliyekosea. Ajabu sana hii
3: Vetting zilizoleta watu kama Bashite, Saambaya na Gimbo ndiyo unaita vetting zilizofanya kazi kwelikweli?
4: Waislamu pia ni Raia wa Tanzania. Nashauri tusitangulize jicho la udini kwenye mambo ya msingi.
 
Mkuu iko hivi, watu wengi vetting zilikuwa zina goma. Na uliza, hakuna kipindi ambacho watu wa vetting walifanya kazi kama cha Dkt Magufuli na kumbuka Dkt Magufuli alituma hadi team tatu au nne kwa ajili ya vetting, na hata yeye mwenyewe alipiga simu wakati mwingine kijiridhisha. Kwa hiyo aliangalia watu bila kujali kabila. Ila kundi la msoga ndilo liliamua kutengeneza hayo maneno. Angalia kwa Mama, anaajiri watu bila interview mradi uwe muislamu, inawezekana Mama hajui ila nafasi nyingi waislamu just wanapewa bila interview.
Aisee...
Una gubu kubwa mno....
pole ndio maisha hayo, yamekuchagua kuwa masikini na udini.
 
Mzazi wako akikosea anastahili kutukanwa? wewe ukikosea unastahili kutukanwa? JPM alimchukia nani? ufanye ujanja ujanja hutaki kulipa kodi ukiulizwa useme unachukiwa na rais? Ukiwa umenyooka katika haki hakuna rais au kiongozi yeyote atakayekuchukia bila sababu
Hakuna anayestahili kutukanwa kwa sababu yeyote ile. Kama unakumbukumbu yeyote ya tusi kutoka kwa Mange kwenda kwa Jiwe nikumbushe. Jiwe mwenyewe swala la 1.5 tr mpaka leo ni kizungumkuti ambacho kilimtoa mpaka CAG. Akauliza kuhusu manunuzi ya kivuko akakimbila kukiweka chini ya Jeshi ili mtu yeyote asihoji tena, unajua shirika la ndege liko chini ya ofisi gani? Na sababu za kuhamishiwa huko unazijua?
Kwa hayo machache mtu afanyayo hayo ana haki ya kuwanyooshea wengine kidole? Siungi mkono ufisadi lakini jua fisadi kuu alikuwa huyo mwendazake chini ya kivuli cha uzalendo. Angalia wateule wake wawili kama reference, Bashite na Saambaya.
 
Back
Top Bottom