Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inauma sana! To yeyeMkuu. Achana nao. Wala usipigizane nao kelele. We umewahi ona mwalimu anatetewa sehemu? Likitokea jambo mnaachwa peke yenu. Tofauti na askari hata akiua huwa anatetewa. Na mtamwona uraiani.
Hamna hali ngumu wala mahangaiko.Tumewaoa na tunawatunza vema.Changamoto zenu walimu,hasa wa kike ni wivu na gubu.Msidunde watoto.😜😜😜😜Siku hizi dj wa jf hayupo, jf imebaki bila dj walimu si tungesindikizwa na kibao cha wagosi wa kaya.... BAK hivi ulienda wapi.
Wakipata F watawafanya nini watawafuta kazi nchi nzima na hata ufundishaje daraja F uwezi kulikwepa kwa wanafunzi hawa . hila timiza majukumu fundisha wanaotaka kusoma watasoma tu lakini kulazimisha watoto wafate vile maadili yanataka itakua changamoto naona wazazi na wenye nchi awapo upande wa mwalimu kweli likikifika jambo utashughulikiwa kwa kebei na dharauMkuu Walimu nchi nzima tumesainishwa mikataba ya kufuta daraja F...
Serikali imetusainisha tufute F utadhani imeleta watoto waliofaulu kumbe imewavusha..
Sasa ukisema tuwaache tu si balaa...
Una point kubwa , siku hizi habari za mtoto wa mwenzio ni wako ilishaisha ! Usichape mtoto wa mtu ! Muelekeze tu akikaza fuvu achana nae kikubwa asikuvunjie heshima !! Pia zama za fimbo ziko ukingoni walimu msipokua makini utapata shida ! Malezi ni kuanzia ngazi ya familia wewe kazi yako umjaze maarifa dogo ! Mengine achia wazazi !! Halafu madogo muwaonee huruma wamekaa kinyonge sana 😂😂😂 wana mishono kila sehemu ! Unaweza ukasema utamchapa bakora moja kumbe unapiga kwenye mshono !!! Sio zama zetu uko below 40 walimu wanapanga msitari kama 15 unapita kila mmoja unakula fimbo 3 za ujazo mpaka ufike wa mwisho dadeki , mkimaliza mnaenda kong'oa visiki na kupasua kuni !!!Mmeajiriwa kufundisha. Nendeni mkafundishe. Hilo ndilo jambo linalowapa mshahara. Acheni kujifanya mna uchungu sana na watoto wa wenzenu.
Huo ni wendawazimu. Nyie fundisheni tu masomo. Tabia si kazi yenu ku deal nazo. Kama mtoto ameamua kutokuja shule mwachieni hilo jukumu mzazi wake kuhangaika naye.
Kama mtoto hafanyi home work wewe mwalimu unapungukiwa na nini? Mshahara wako hulipwi? Mnajipa majukumu ambayo si yenu. Sisi wazazi hawa watoto wameshatushinda tunawaleta shule waje wakue. Pia tunalazimishwa tu na serikali sometimes.
Sasa jichanganye vibaya litokee jambo. Utajibeba. Achaneni na habari ya kusema Walimu ni wito au kujifanya mna uchungu sana na watoto wa wenzenu. Narudi nyie mkafundishe masomo. Msitoe adhabu hata kidogo. Achaneni na huo ujinga.
Yakitokea majanga mnabaki peke yenu hakuna wa kuwatetea. Mnabaki kuwa waathirika. Ni sababu ya Ujinga wenu kudhani mtawanyoosha watoto wa wenzenu ambao wameshapinda.
Mimi ningekuwa mwalimu ningekuwa naingia darasani nafundisha natoa zoezi. Watakaoleta ndiyo nitakaowasahishia. Watakaokuja shule ndiyo nitakao deal nao wasiokuwepo ni suala la wazazi husika. Nsingeshika kiboko hata siku moja. Ningewa saidia wanaotaka kusaidika. Mnashindwaje kufanya hivi?
Watoto wanapokuwa watoro,watukutu wanunulieni ice cream au cake wale.siyo kuwachapa.kama hawaandiki wanunulieni burger,sambusa,kachori n.k watapenda shule.
Lakini pia kama wengi hawafanyi kazi mnazowapa.si ndo mshukuru zoezi la kusahisha linakuwa jepesi?
Acheni ujinga wa kudhani ninyi mnaweza badilisha tabia ya mtoto ambaye wazazi wake wanaona zipo sawa. Tusije laumiana huko mbeleni.
Adhabu zizingatie sheria na viwango.Kuna adhabu nyingine unapaswa kutumia akili zaidi kuliko vipigo.Si kwamba watoto wasiadhibiwe,laa hasha!Msiwapige mangumi,viboko sehemu mbaya,mara vichwa na yafananayo na hayo.Kwani wakiadhibiwa kisheria kuna shida gani?Unataka umchape mtoto fimbo za kwenye ulimi ili iweje sasa?
Usichape mtoto shule , kama anazingua bifu lirudishe kitaa ukampe vitasa huko nje ya shule mkaupange mkono huko huko , usimwachie jeraha😂😂😂 akirudi shule atasambaza taarifa kwa madogo wenzie !!Kwa hali ya sasa ilivyo, ualimu hasa sekondari ni hatari ya danger! Usipowapiga wao wanakupiga! Ukiwapiga ndivyo tulivyoyasikia
Utafungwa jelaUsichape mtoto shule , kama anazingua bifu lirudishe kitaa ukampe vitasa huko nje ya shule mkaupange mkono huko huko , usimwachie jeraha😂😂😂 akirudi shule atasambaza taarifa kwa madogo wenzie !!
Nakazia hapa...Acheni ujinga wa kudhani ninyi mnaweza badilisha tabia ya mtoto ambaye wazazi wake wanaona zipo sawa. Tusije laumiana huko mbeleni
Sie mbona tupo bize na vishkwambi tu sahivi 😁Hamna hali ngumu wala mahangaiko.Tumewaoa na tunawatunza vema.Changamoto zenu walimu,hasa wa kike ni wivu na gubu.Msidunde watoto.😜😜😜😜
Wekeni series mkimaliza vipndi kuleni maishaSie mbona tupo bize na vishkwambi tu sahivi [emoji16]