Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Taja kibaka angalau mmoja basi ili kifanya hoja yako iwe relevant, vinginevyo utakuwa unaupa mdomo kazi ya kuupanua halafu kinachotoka ni taka.Lisu siasa hauwezi anaweza uharakati tu.CHADEMA ya sasa imejaa vibaka na matapeli wa kisiasa
Hivyo vyote ulivyoviandika, ni kipi ambacho CCM tangu kuzaliwa kwake imekipatia solution!!??Nje ya tuvifungu twa sheria, Lissu ni mweupe kabisa.. Mwambie aache kuongelea katiba, ajadili uchumi, structure ya utumishi wa umma, kilimo, pension, solution ya tatizo LA ajira, uvuvi, solution ya tatizo LA machinga, madini, ustawi wa jamii, hapo utamuona anapuyanga tu
Kama una akili na ufahamu ulio sawasawa hebu eleza tofauti kati ya SIASA & HARAKATI..Lisu siasa hauwezi anaweza uharakati tu.CHADEMA ya sasa imejaa vibaka na matapeli wa kisiasa
...ki kwetu tunaita Wivu!TAL ndiye Mwenyekiti wa sasa wa Chadema na wewe ni wewe..40 years ijayo hutakuwa na legacy nzuri kutokana na kuitizama nchi kwa jicho hili..huoni shida yoyote kwenye Katiba ya nchi yetu...Nje ya tuvifungu twa sheria, Lissu ni mweupe kabisa.. Mwambie aache kuongelea katiba, ajadili uchumi, structure ya utumishi wa umma, kilimo, pension, solution ya tatizo LA ajira, uvuvi, solution ya tatizo LA machinga, madini, ustawi wa jamii, hapo utamuona anapuyanga tu
Kabisa
Chadema wakiamua kwenda kwenye uchaguzi kwa sheria za tume hii watakuwa wasindikizaji tu na watakachoambulia ni kutambiwa na masisiyemu kwamba tumewashinda kwa kishindo .Kama watawala hawataki mabadiliko ni bora wawaachie wajishindieNimeshauri mara kadhaa,CHADEMA waende kwenye uchaguzi. Utekelezaji wa NO REFORM NO ELECTION haupo kabisa. CHADEMA haiwezi kuzuia uchaguzi.. ni vioja tu vya kitoto,waende wakapambane kwenye box,na wakalinde kura. Vinginevyo baada ya uchaguzi,CHADEMA itapotea mazima
Nimeona wasanii pia wanazitafuta fursa za pesa walivyo na akili hizi fursa kumbe zinapatikana wakati wa uchaguzi, wamegundua ndiyo wakati wa mavuno, wajinga Ndiyo waliwaohivi mnapewaga hela ngapi huko fisiem kujizima data na hizo pesa zinamaliza matatizo au zinapooza njaa tu tafuteni mashamba mulime kilimo kinalipa na utaheshimika.
Kesi ya Buthelezi ni tofauti. Mongosutu alikuwa Waziri wa mambo ya ndani na kukaimu Urais wa Nchi.Buthelezi, na Inkatha Freedom Party kilipigana sana na ANC. Buthelezi alichukuliwa kama kibaraka wa makaburu. Lakini Mandela alimfanya Waziri wa Mambo ya Ndani, Mbeki alimpa cheo hicho hicho. Buthelezi alikaimu urais mara 11 Mandela aliweza kumuamini Buthelezi ni dhambi gani ambayo Ntobi amefanya kiasi cha kuwa " beyond the pale"?. Kuna usemi kuwa akufuzae hakwambii nenda.
TAL angepoteza uchaguzi Mbowe angemweka pembeni. In fact kumweka Wenje ilikuwa ni mbinu.Mbona yeye alitumia lugha ya kumdhalilisha Mbowe? Kiongozi hapaswi ku personalise kila pingamizi. Hii ni kwa sababu hata hao anaodhani kuwa wako upande wake wanaweza kumgeuka kama ilivyokuwa kati yake na Mbowe. Mara nyingi ukimuonyesha mtu aliyekukosea magnanimity anakuwa loyal sana. Kwa wakristu, mfano ni Mtume Paul aliyekuwa anaitwa Saul.
No! kama alisema ni makosa. Aida Kenan amefanya kazi katika mazingira magumu sana. Nilimsikia sakata la DP na ndiye aliyetuwekea wazi ziara za Wabunge huko nyumbani kwa DP World.Alisema hajawahi kuchangia chochote toka aingie Bungeni. Kwangu mimi ni ishara ya alivyo petty. Nadhani hajamsamehe kwa kusimamia uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bawacha ambapo chaguo lake lilishindwa pamoja na kuwa aliwaomba wazi wajumbe wampigie kura.
Hee! huko Duniani Urais na Ugombea ni vitu viwili tofauti. Mkapa alifanya debateAtamdhalilishwa vipi? Hivi seriously anategemea Mwenyekiti mwenzake ambai ni Rais afanye debate nae?
Nawashauri Waandamizi wa TAL wafanyE debate kuonyesha madhaifu, TAL amsubiri Mwenyekiti waoMimi ningemshauri afanye nae debate na atumie nafasi hiyo kuonyesha weakness za washindani wake kwa vile atakuwa ana debate na CCM, sio Wassira. Aidha, itaonyesha kuwa yeye hajikwazi na kujiona bora kuliko wengine ambao ni ugonjwq wa wanasiasa wengi.
Please! Mbowe kashindwa kule HAI tena kabla ya uchaguzi. OC-CID wa Hai kamweleza wazi '' Wewe huwezi kumshinda wa CCM''. Huu ni mfano tu. Nitajie kiongozi mmoja wa CDM aliyejiandaa na kushinda 2020Wajiandae kwa kujikita zaidi kwenye grassroot na kuchagua wagombea ambao kweli watawakilisha matumaini ya watakaompigia kura. Watumie nafasi hiyo kuonyesha mapungufu ya CCM on the ground.
Kwanini CCM wasikubali kuahirisha uchaguziNi kuwa pragmatic tu kuwa hamna namna CCM itakubali Katiba Mpya kabla ya uchaguzi wa Mwaka huu.
Please JK alishindwa kumbuka hilo. CCM survival yao ni kupitia hii Katiba ndio maana hawataki kusikia chochote. Kwanini wasikubali kukaa chini na Wapinzani na kufanya hizo ''minimal reforms''Uchaguzi ukipitq, Mwenyekiti wa CCM anaweza kuwa na nia ya kuhakikisha anakumbukwa kama kiongozi aliyeleta mabadiliko makubwa ya kisiasa nchini. Na hata kama atasita, patakuwa na muda wa kutosha wa kufanya mass mobilization iliyo effective. Of course kuna risk ya kuwa ataona hana haja ya kujipendekeza kwa sababu muda wake umeisha.
Mchome hana tatizo la kuhoji. Tatizo ni pale anapopeleka suala hili kwa Msajili wa Vyama.Mimi nadhani ni sign ya frustration baada ya kutosikilizwa na wenzake. Mchome hajasema hana imani na uongozi bali anataka taratibu zifuatwe. Ni hilo tu na ni rahisi ku sahihisha.
Hivi hili suala ni la kufika kwa Msajili wa Vyama tukijua Historia ya Taasisi hiyoAmekikaanga vipi kwa kusema akidi ya kupitisha wateule haikutimia?
Nimeandika mara nyingi sana, Mchome ana haki ya Kuhoji, lakini kupeleka suala dogo kama hili kwa Msajili ni kuitafutia CDM matatizo ! hili litasimamiwa vema( wametoa taarifa ya kupokea barua) wala si viroja vya Mkutano Mkuu wa Dodoma. Kesho utasikia watu wanavyo toa maonyo na kufoka! subiriHii ni nafasi nzuri ya uongozi kuonyesha kuwa kila mwanachama ana haki ya kukisoa bila kuhofia repercussions.
Wanahitajika lakini si kwa kuuza Chama! kulitoa suala hili nje ya Taasisi ni kuialika CCM na vyombo vyake kuwaondoa CDM katika agenda zao. Ni jambo la hovyo sana! kiongozi kama Mchome alipaswa kuona madhara yake unless ametumwa kama inavyosemwaWatu kama Mchome waanahitajika zaidi kuliko chaa waliojitokeza kwa kutaka kumuingiza Mbowe katika ishu nzima.
Amandla...
Zakayo.Kwa mazingira ya sasa Lissu hafai anaenda kuiua chadema. Situational Leadership kwa muktadha wa kisiasa walau uzingatie mambo manne, mosi nguvu ya chama chako kipindi hicho (hali ndani na nje ya chama). pili, nguvu ya chama tawala (ndani na nje ya chama). Tatu, hali ya ushawishi wenu kwa watendaji wa serikali (vyombo vya ulinzi na usalama na watumishi wa umma). Nne, ushawishi wenu kwenye jamii (mf viongozi wa dini, michezo, sanaa). Kwa maoni yangu chadema vitus hivyo kwa sasa hawana na Lissu hana. Uongozi mpya wa chadema ungejikita kwanza katika kazi za ndani ya chama i.e. kuunganisha chama na kisha kitafute kuwa na ushawishi na makundi tajwa hapo juu. Kitu ambacho Mwenyekiti Lissu hakiwezi, kwa kuwa hajawahi kufanya siasa na upatanishi na ushawishi. Mtu sahihi kwa kazi hiyo walau angeweza kuwa Mwenyekiti John Heche.
MWANASIASA NI MWANAHARAKATI KWENYE SEKTA YA SIASA. WAPO WENGINE KWENYE SEKTA NYINGINE MFANO JAMII AFYA N.K. Kwa hiyo haijalishi, muhimu zaidi kule alichosimamia kina mantiki????Wanabodi
Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x
Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana baadhi ya madhaifu ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika na kuachana nayo, abadilike kutoka TAL mwanaharakati awe transformed into TAL mwenye statemanship!.
TAL has always been mwanaharakati wa uchechemuzi, sasa TAL kama kingozi mkuu wa Chadema ni
lazime abadilike kuachana na TAL mwanaharakati, into TAL mwenye leadeship and president in waiting!.
Hakuna binadamu yoyote ni mkamilifu, hivyo hata TAL sio mkamilifu, moja ya weakness yake kubwa, he is not a good team player, as a result he is a bad liability as the top leader, uthibitisho ni huu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Ila mtu ukiwa na udhaifu fulani, unaweza kuutumia for your advantage. TAL is a liability ambayo hiyo liability can be transformed into an asset kama nilivyo shauri hapa Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
Hivyo hivi vibwagizo vya uanaharakati, no reforms no election ni utopian politics, Chadema lazima ijikite into real politics , siasa za mikakati, politics of engegement, vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.
Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.
Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.
Japo wengi humu tunafahamiana kutokana na post za humu, sio members wengi wako real, hivyo sio vibaya from time to time mtu kujitambulisha tena na tena, mimi japo kazi yangu ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitemea kwa kujitolea, pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, kazi inayoniweka mjini, sio kazi ya uandishi, utangazaji au uwakili, hivi vyote nafanya bure kwa kujitolea tuu kutokana na mapenzi yangu kwa uandish wa habari, utangazaji na uwakili, kazi inayoniweka mjini ni kazi nyingine kabisa, tena mimi ni kada wa chama cha siasa na sio Chadema, lakini nimeguswa kujitokeza kumsaidia TAL na Chadema kwasababu ya uzalendo wangu kwa nchi yangu, TAL na Chadema ni fursa kwa adhimu na adimu kwa uchaguzi wa 2025. Mwanzo niliwashauri wapinzani Pre GE2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030! lakini sasa kama zali tuu, fursa imeibuka kupitia TAL, kama ile fursa ya uchaguzi wa 2015 kupitia ENL, imejirudia 2025!
meisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,
Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.
- Nilimshauri Lissu aache uanaharakati aonyeshe statemamship JPM, CCM wakishinda, Freeman Aikaeli Mbowe ni lazima ajiuzulu, amwachie Tundu Lissu. Lissu aache Uanaharakati, aonyeshe Statesmanship
- 2015 Chadema ilikuwa waingie ikulu lakini kuna makosa waliyafanya, Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ... sasa Chadema wana fursa tena ambayo imejotokeza kama zali, wasiridie makosa!
- Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. CHADEMA inakaribia kufa, hii ndio njia yenu pekee ya kujinasua hapa niliwashauri Chadema namna ya kujinasua, ushauri wangu umefuatwa ndio Chadema hii inayoiona sasa, umeutambua uchaguzi na sio uchavuzi, imelitambua Bunge, imemtambua rais, sasa Chadema inalamba ruzuku ndio hii ipo!.
- Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. CHADEMA wana macho? Je, wawasamehe Wabunge 19 wabarikiwe, au wakomae nao walaaniwe?
- Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane! hapa Chadema walikuwa hawamtambui mbunge wake, baada ya ushauri huu, sasa wanamtambua!.
- Ushauri wa bure: CHADEMA iachane na issue ya Wabunge wake 19, iwasamehe waendelee na Ubunge wao. Kwa muda uliobakia kuwatengua hakuna maslahi yoyote! hapa nimewaombea msamaha hawa wabunge, Chadema haina wanawake wowote wa calibre ya Halima Mdee, Ester Bulaya na Esta Matiko!.
- Uchaguzi 2020 - Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...
- Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini hapa niliilaumu Chadema hawajui wanataka nini na watapataje, hata sasa Chadema chini ya Lissu, bado hawajitambui!.
- CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena! hapa niliwalaumu Chadema hawajipangi!, hadi sasa chini ya TAL, Chadema haijajipanga na isiposaidiwa, haijipangi!. Huu ni mwaka wa uchaguzi, TAL anazungumzia no reforms no election, amepanga kusimamisha uchaguzi kwa maandamano!. Uchaguzi mkuu wa 2025 ni fursa kwa TAL na Chadema, badala ya kupanga mikakati ya kuchangamkia fursa, watu wanapanga kususia!.
- Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition? hili lilikuwa swali la 2020, hata hii 2025 Chadema hawajabadilika!, 2025 Chadema ina fursa, isipobadilika na kuchangamkia fursa, 2025 ni CCM tena!.
- Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! Kama JPM alikuwa Dikiteta... TAL ni zaidi ya JPM!.
- Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu! hii ni hoja ya udikiteta Chadema, TAL ni kama JPM, hivyo TAL akipewa nchi 2025, Keko, Ukonga na Segerea kutafurika!.
- Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA hii ni moja ya Sifa njema za TAL
- Lissu apunguze hasira na malipizi, atapendwa na wengi
TAL na Chadema Wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.
Pask
ANC na IFP walichinjana sana kabla ya uchaguzi. Kwazulu Natal ilikuwa ni war zone. Ndio maana watu walimshangaa Mandela alipompa uwaziri kiongozi wa IFP (ingawa hakuwajibika kwa sababu IFP haikupata kura nyingi nchini isipokuwa tu Kwazulu Natal) mtu aliyekuwa mortal enemy wa chama chake. Aidha, pamoja na hizo guard rails waziri wa mambo ya ndani na acting president angeweza kufanya fujo sana.Kesi ya Buthelezi ni tofauti. Mongosutu alikuwa Waziri wa mambo ya ndani na kukaimu Urais wa Nchi.
Mandela alipoulizwa kwanini anamwachia Buthelezi madaraka alijibu '' Tatizo liko wapi! Mimi ndiye Rais wa S.Africa, na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Taifa. Maana yake ni kuwa kulikuwa na 'guard rails''
''State organs'' zote zilikuwa chini ya Mandela
Kwa hiyo alikuwa anaamini kuwa FAM alikuwa na mpango wa kumpiga risasi? Ndio maana alikuwa anavaa bullet proof vest akiwa katika maeneo ya Chadema? Hao uliowataja hamna aliyedhuru unywele wa kiongozi wa CDM. Cha ajabu, rafiki yake ambae haujamtaja anashutumiwa kuwa alihusika katika yaliyompata mmoja wa viongozi wa Chadema.TAL kwanza ni Mhanga wa Risasi 32 , lazima uelewe saikolojia kwamba anaishi kwa hofu, rightly so!
TAL anataka watu anaowaamini si kwasababu ya hofu bali pia Historia.
Yuko wapi Petrobas Katambi, Cecil Mwambe, Silinde ! Wako wapi COVID 19.
Ukizingatia ''state organs' ndizo zinafanya madudu tunayojua, nani amwamini mtu aliyesimama na kusema '' huyu ni mropokaji hafai'' akamdhalilisha sana!
Narudia madhila yaliyomkuta TAL na Historia havitoi nafasi kwa Ntobi kukaa meza moja kama viongozi. Wanaweza kukaa pamoja kama Wanachama
TAL angeshindwa angesema uchaguzi haukuwa wa haki na angelianzisha. Na tayari alishaanza kuweka mazingira ya kudai kuwa kaibiwa uchaguzi. Mimi hiyo straight shooting ya TAL siioni. Yeye anatumia sana surrogates na insinuations ili kukwepa lawama. Na sasa hivi ameanza kuweka mazingira ya kumuangushia jumba bovu FAM kama hatafanikiwa. Tumeona chawa wake wanavyojitahidi kumuunganisha Mbowe na barua ya Mchome. Na yeye mwenyewe kuongea kwa mafumbo kuhusu hali mbaya ya kifedha aliyoikuta CDM. Mbowe ni ruthless kwenye afya ya chama chake. Alimstukia Msigwa akamshughulikia. Matendo ya Msigwa baada ya kukosa alichotaka ni uthibitisho kuwa alikuwa sahihi.TAL angepoteza uchaguzi Mbowe angemweka pembeni. In fact kumweka Wenje ilikuwa ni mbinu.
Lema kasema, Msigwa ni Mhanga n.k. Tofuati ya FAM na TAL ni moja, TAL ni 'straight shooter' FAM ni '' silent killer''
Sio kama. Alisema in public. Hautaki kukubali lakini ni ushahidi wa vindictiveness yake. Hajamsamehe kwa kumruhusu mtu ambae hakumtaka ashinde uchaguzi wa BAWACHA. Na utaona jinsi BAWACHA watakavyokuwa sidelined ukilinganisha na BAVICHA. Aidan, sio tu suala la DP bali alikuwa anaibua kila wakati suala la kesi ya FAM. Amekuwa pia akipambana na Lijualikali bila uoga wowote. Yote hayo Lissu hakuyaona? Hata mapambano ya Aisha wa Dodoma nayo hayaoni? Yeye anawaona wakina Rehema na Hilda tuu!No! kama alisema ni makosa. Aida Kenan amefanya kazi katika mazingira magumu sana. Nilimsikia sakata la DP na ndiye aliyetuwekea wazi ziara za Wabunge huko nyumbani kwa DP World.
Kasimamia uchaguzi wa BAWACHA vizuri. Ukimtazama ni kiongozi anayekua kifikra na kiungozi.
Hapo ndipo mnapokosea. Debate na Wassira ni nafasi ya kipekee ya kuweka wazi mapungufu ya chama chake. Hawatakiwi kupuuza nafasi yeyote ya kufanya hivyo. Kungojea mpaka debate ya wagombea urais ni kupoteza muda. CDM hawana luxury ya muda na resources.Hee! huko Duniani Urais na Ugombea ni vitu viwili tofauti. Mkapa alifanya debate
Aliyeua debate ni Kikwete kwasababu ya udhaifu wake wa kujenga hoja.
Tunapaswa kurudisha utamaduni huo. Kwamba TAL aka debate nA Wassira ni kupoteza muda
Hamna mjadala utakaoangaliwa na watu wengi kama wa TAL na kiongozi yeyote wa CDM. Heche ni debator mzuri lakini hatakuwa na impact kama Lissu.Nawashauri Waandamizi wa TAL wafanyE debate kuonyesha madhaifu, TAL amsubiri Mwenyekiti wao
CDM wanahitaji pesa. Na njia mojawapo ni kupitia kura watakazopata katika uchaguzi hata kama watadhulumiwa. Pesa hizo pamoja na kampeni zao zitawaweka vizuri kwa ajili ya 2029 ambapo kutakuwa na mpambano mkubwa ndani ya CCM.Please! Mbowe kashindwa kule HAI tena kabla ya uchaguzi. OC-CID wa Hai kamweleza wazi '' Wewe huwezi kumshinda wa CCM''. Huu ni mfano tu. Nitajie kiongozi mmoja wa CDM aliyejiandaa na kushinda 2020
Wakurugenzi wanakimbia Ofisi ili wasipokee Fomu!. Maboksi ya kura feki yanakamatwa Polisi wanasema hawana mamlaka ya kuchukua hatua! Akina Mawazo wanacharangwa mapanga. Leo unataka wajiandae !
Sielewi unataka kusema nini hapa.Hivi kuandika fundi mchundo badala ya Fundi Mchundo kuna tatizo gani kisheria na wapi imeonyeshwa
Pamoja na kuuawa na kuonea bado wamo kwenye serikali ya GNU ya Zanzibar. Wao ni pragmatic na walijifunza kutokana na yaliyowakuta waliposusia uchaguzi. Mimi ni realist. Ni kujidanganya kudhani kuwa CCM watatishwa na slogans.Zitto Kabwe na ACT wameshiriki chaguzi zote ndogo! mwisho wa siku wametoa kilio cha mbwa koko.
umesahau ya Jecha ! Please unaweza kuisadia CCM kujenga hoja si kiwango hiki, you're better than this
Sijaaona bado faida ya kuahirisha. Hivi mnadhani mkiwapa muda zaidi Bunge pamoja na serikali ya CCM ndio kutakuwa na mabadiliko yeyote. Njia bora ni kuwa na uchaguzi in the hope kuwa kutakuwa na mabadiliko bungeni ambayo yatawapa momentum katika madai ya Katiba Mpya. Ukweli ni kuwa hakuna Mwenyekiti wa CCM atakayekubali kuwa Rais wa kwanza ambae hakumaliza term mbili.Kwanini CCM wasikubali kuahirisha uchaguzi
Nashangaa jinsi ulivyo na imani na CCM. Mmedai Tume Huru wao wakaongeza neno "Huru" bila kufanya mabadiliko yeyote. Watashindwa nini kuwaletea Katiba Hii hii na kuiita Katiba Mpya ambayo itapitishwa na hili bunge ambalo wamekalia zaidi ya asilimia 90 ya viti. Mbunge wa CUF akiwaunga mkono watasema kuwa ina bi partisan support.Please JK alishindwa kumbuka hilo. CCM survival yao ni kupitia hii Katiba ndio maana hawataki kusikia chochote. Kwanini wasikubali kukaa chini na Wapinzani na kufanya hizo ''minimal reforms''
Mchome amepeleka nakala kwa Msajili baada kugonga ukuta kwenye chama chake. Mchome hataki Mapinduzi na hajaomba Msajili abatilishe uchaguzi wa uongozi wa juu. Ni arrogance ya uongozi mpya ndio uliomfikisha pale. Au mngefurahi mtu angeliibua hili suala karibu kabisa na uchaguzi? Sasa hivi muda wa kumjibu upo. Kama Lissu alivyokuwa anawaambia wakina FAM kuhusu tuhuma za Msigwa, jibuni tuhuma zake.Mchome hana tatizo la kuhoji. Tatizo ni pale anapopeleka suala hili kwa Msajili wa Vyama.
Mbona hunielewi nikikupa mifano ya CUF na NCCR.
Mbatia hahusiki hapa. Lakini wote Hao context ilikuwa ni tofauti. Hebu niambie Msajili anaweza kukidhuru vipi CDM kutokana na nakala ya barua aliyopewa. Kumbuka Mchome amesema wazi kuwa ana imani kabisa na walioteuliwa, shida yake ni ukiukwaji wa taratibu. Mjibuni hoja zake badala ya kushinda mkimtafuta puppet master.Niambie kulikuwa na sababu gani za Mbatia kuondolewa uongozi kwa hoja za Selasini. Nani alikuwa nyuma ya hilo. Unakumbuka Maalim Seif na Mahakama! na Msajili pia
Uoga wenu tu. Chama kitavurugwa kama kitaendeleza arrogance na visasi. Hamtaki kuwwasikiliza wanao washauri lakini wakikaq kimya mnasema wamesusa kwa sababu mtu wao ameshindwa. Kuna thread humu ikimsema Boni Yai kuwa ushiriki wake sio kama zamani! Chama kinatakiwa kuonyesha maturity kwenye hili. Unfortunately, ni Makamu Mwenyekiti peke yake ndie anayeonekana kujitahidi kupoza moto na kujenga daraja. Akimzungumzia Mbowe, anamzungumzia kwa heshima. Na ana Sisilia kuwa hakuna atakayeonewa au kupendelewa kutokana na kambi aliyokuwemo wakati wa uchaguzi. CDM inatakiwa ifuate uongozi wake.CCM ni Chama dola kina Taasisi zote za Umma kinaweza kuzi abuse kadri kinavyotaka.
Hao Majaji 'data base' yao iko Ikulu wakisubiri kuteuliwa. Msajili anateuliwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais
Mchome ni kama anatoa fursa ya kuvurugwa chama
Mchome amesema hapakuwa na akidi. Katibu Mkuu akithibitisha kuwa akidi ilikuwepo hamna kitu ambacho Msajili anaweza kufanya. Hata kama hapakuwa na akidi, CDM inawezs kuita kikao haraka chenye akidi na kuliweka sawa jambo hilo.Hivi hili suala ni la kufika kwa Msajili wa Vyama tukijua Historia ya Taasisi hiyo
Nimeandika mara nyingi sana, Mchome ana haki ya Kuhoji, lakini kupeleka suala dogo kama hili kwa Msajili ni kuitafutia CDM matatizo ! hili litasimamiwa vema( wametoa taarifa ya kupokea barua) wala si viroja vya Mkutano Mkuu wa Dodoma. Kesho utasikia watu wanavyo toa maonyo na kufoka! subiri
Mlitake afanye nini kama hamkutaka kumsikiliza? Kuna kama mmoja wa CDM ambae amedai kuwa hata wazo la upatanishi lilipuuzwa. Makosa hapa ni ya uongozi, sio Mchome.Wanahitajika lakini si kwa kuuza Chama! kulitoa suala hili nje ya Taasisi ni kuialika CCM na vyombo vyake kuwaondoa CDM katika agenda zao. Ni jambo la hovyo sana! kiongozi kama Mchome alipaswa kuona madhara yake unless ametumwa kama inavyosemwa
Naona umemtaja Mag3. Kwa taarifa ni kuwa sitaweza kusoma majibu yake kama ataongezea jambo maana nimemuweka kwenye orodha yangu ya watu ninao wa ignore. Aidha, sitaweza kuchangia kwenye chochote atakacho changia.
Mayala kwa kisukuma ni NjaaWanabodi
Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x
Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana baadhi ya madhaifu ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika na kuachana nayo, abadilike kutoka TAL mwanaharakati awe transformed into TAL mwenye statemanship!.
TAL has always been mwanaharakati wa uchechemuzi, sasa TAL kama kingozi mkuu wa Chadema ni
lazime abadilike kuachana na TAL mwanaharakati, into TAL mwenye leadeship and president in waiting!.
Hakuna binadamu yoyote ni mkamilifu, hivyo hata TAL sio mkamilifu, moja ya weakness yake kubwa, he is not a good team player, as a result he is a bad liability as the top leader, uthibitisho ni huu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Ila mtu ukiwa na udhaifu fulani, unaweza kuutumia for your advantage. TAL is a liability ambayo hiyo liability can be transformed into an asset kama nilivyo shauri hapa Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
Hivyo hivi vibwagizo vya uanaharakati, no reforms no election ni utopian politics, Chadema lazima ijikite into real politics , siasa za mikakati, politics of engegement, vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.
Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.
Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.
Japo wengi humu tunafahamiana kutokana na post za humu, sio members wengi wako real, hivyo sio vibaya from time to time mtu kujitambulisha tena na tena, mimi japo kazi yangu ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitemea kwa kujitolea, pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, kazi inayoniweka mjini, sio kazi ya uandishi, utangazaji au uwakili, hivi vyote nafanya bure kwa kujitolea tuu kutokana na mapenzi yangu kwa uandish wa habari, utangazaji na uwakili, kazi inayoniweka mjini ni kazi nyingine kabisa, tena mimi ni kada wa chama cha siasa na sio Chadema, lakini nimeguswa kujitokeza kumsaidia TAL na Chadema kwasababu ya uzalendo wangu kwa nchi yangu, TAL na Chadema ni fursa kwa adhimu na adimu kwa uchaguzi wa 2025. Mwanzo niliwashauri wapinzani Pre GE2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030! lakini sasa kama zali tuu, fursa imeibuka kupitia TAL, kama ile fursa ya uchaguzi wa 2015 kupitia ENL, imejirudia 2025!
meisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,
Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.
- Nilimshauri Lissu aache uanaharakati aonyeshe statemamship JPM, CCM wakishinda, Freeman Aikaeli Mbowe ni lazima ajiuzulu, amwachie Tundu Lissu. Lissu aache Uanaharakati, aonyeshe Statesmanship
- 2015 Chadema ilikuwa waingie ikulu lakini kuna makosa waliyafanya, Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ... sasa Chadema wana fursa tena ambayo imejotokeza kama zali, wasiridie makosa!
- Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. CHADEMA inakaribia kufa, hii ndio njia yenu pekee ya kujinasua hapa niliwashauri Chadema namna ya kujinasua, ushauri wangu umefuatwa ndio Chadema hii inayoiona sasa, umeutambua uchaguzi na sio uchavuzi, imelitambua Bunge, imemtambua rais, sasa Chadema inalamba ruzuku ndio hii ipo!.
- Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. CHADEMA wana macho? Je, wawasamehe Wabunge 19 wabarikiwe, au wakomae nao walaaniwe?
- Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane! hapa Chadema walikuwa hawamtambui mbunge wake, baada ya ushauri huu, sasa wanamtambua!.
- Ushauri wa bure: CHADEMA iachane na issue ya Wabunge wake 19, iwasamehe waendelee na Ubunge wao. Kwa muda uliobakia kuwatengua hakuna maslahi yoyote! hapa nimewaombea msamaha hawa wabunge, Chadema haina wanawake wowote wa calibre ya Halima Mdee, Ester Bulaya na Esta Matiko!.
- Uchaguzi 2020 - Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...
- Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini hapa niliilaumu Chadema hawajui wanataka nini na watapataje, hata sasa Chadema chini ya Lissu, bado hawajitambui!.
- CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena! hapa niliwalaumu Chadema hawajipangi!, hadi sasa chini ya TAL, Chadema haijajipanga na isiposaidiwa, haijipangi!. Huu ni mwaka wa uchaguzi, TAL anazungumzia no reforms no election, amepanga kusimamisha uchaguzi kwa maandamano!. Uchaguzi mkuu wa 2025 ni fursa kwa TAL na Chadema, badala ya kupanga mikakati ya kuchangamkia fursa, watu wanapanga kususia!.
- Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition? hili lilikuwa swali la 2020, hata hii 2025 Chadema hawajabadilika!, 2025 Chadema ina fursa, isipobadilika na kuchangamkia fursa, 2025 ni CCM tena!.
- Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! Kama JPM alikuwa Dikiteta... TAL ni zaidi ya JPM!.
- Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu! hii ni hoja ya udikiteta Chadema, TAL ni kama JPM, hivyo TAL akipewa nchi 2025, Keko, Ukonga na Segerea kutafurika!.
- Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA hii ni moja ya Sifa njema za TAL
- Lissu apunguze hasira na malipizi, atapendwa na wengi
TAL na Chadema Wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.
Paskali
Mimi sijui mambo mengi ya Siasa lakini kuwashauri wapinzani waingie kwenye uchaguzi Kwa taratibu zilizopo Sasa niNO REFORM NO ELECTION, kwa sababu hizo reform hazitafanyika, uchaguzi 2025 utapoa na utakuwa peaceful sana.