Hehehe kisa cha kupenda nyekundu?!?Huwezi amini, pamoja na maelezo yoooooooooooote hayo, mi nimepapenda zaidi hapo kwenye red.
:focus:
Ila sometimes kuridhika nako kunasaidia kuondokana na wivu usio wa lazima.
Ahaaa ahaaa wewe Hus huo ni utabiri kutoka wapi mara hii umeishakuwa Sheikh Yahya au ulienda Loliondo kama alivyosema DC.ukiona una kama vinywele nywele juu ya macho yako yote mawili ujue hiyo ni dalili ya wivu.
Dah! Mi niliwahi kushikwa na wivu mkali nilipokuwa O level, kuna dogo huyo A zote alikuwa anapata yeye. Hata kutuachia na wenzie!
Advance tukachaguliwa tena shule moja, uzuri yeye alichagua kombi tofauti na yangu. Nilishukuru kweli maana dogo alizidi!!!
Miakili kama kachanjiwa....Hahaha!
Weee Lizzy wewe ngoja nifanye hilo zoezi leo kesho nitakupa majibuJiangalie ukiwa unamfikiria mtu ambae unadhani ana zaidi yako...ukikunja ndita bila kukusudia au ukibinua midomo BADILIKA!
Pole sana. Kuna jamaa tulikuwa naye O-level, yeye alikuwa ni mkali saaana ila alikuwa hataki kutufundisha. Tulimkalia tukamtukana hadi akabadilika. Tulimweleza kuwa yeye akipata A na mimi nikapata F hawezi kufaidi lolote. Ila akitumia nguvu kidogo wakati anafanya mazoezi yake ya kawaida akatusaidia kupata B itakuwa bora kwetu na hatapungukiwa kitu. Huwezi kuamini, timu yetu sote tulifaulu vizuri.
Ila watu wengi huwa tunafikiria kwamba tukiwasaidia wenzetu basi tunapoteza. Ni upuuzi wa hali ya juu. Kama mtu ameumbwa kukupita basi atakupita tu, hata kama hutamsaidia!
Ahaaa ahaaa wewe Hus huo ni utabiri kutoka wapi mara hii umeishakuwa Sheikh Yahya au ulienda Loliondo kama alivyosema DC.
nimeoteshwa na mwalimu wangu wa chuo. Mwambie babu DC naye asiwe na wasiwasi na utabiri wangu. Nafanya mpango nipate venyu nitoe haka kahuduma.
Hiyo ni kwasababu sio kila mtu ana kipaji cha kufundisha!huyo dogo pia alikuwa mchoyo wa matirio. Lol!
Halafu halikuwa hawezi kufundisha mtu hata kama kitu anakiweza vipi. Anaweza akakuelekeza kitu usimwelewe hata kidogo ila mwingine unamwelewa.
Hiyo ni kwasababu sio kila mtu ana kipaji cha kufundisha!
Mbona naanza kukuonea wivu au ndio outcome yenyewe hii inaanza kuonekana:lol::lol:Mpaka kesho?Unataka kucheat ehh? Jishtukize bila maandalizi ndo nzuri!
Hilo jina DC hataki kulisikia kabisanimeoteshwa na mwalimu wangu wa chuo. Mwambie babu DC naye asiwe na wasiwasi na utabiri wangu. Nafanya mpango nipate venyu nitoe haka kahuduma.
Hilo jina DC hataki kulisikia kabisa
Hahahaha!Si bora akatae tu?Ila hiyo ni roho ngumu kupitiliza!Mi ilikua mtu akiniomba nimueleweshe hesabu nafanya ubaoni maana wenyewe wananiomba ili kila ambae hakuelewa hilo swali afaidike.Hata kama ningetaka kuwadanganya ningeishia kutolewa nishai maana anaejua angenirekebisha/kosoa!Lizzy,
Kuna wengine alikuwa anakudanganya na kukupa majibu yasiyo sahihi makusudi. Yaani kukusaidia hataki ila sasa anaamua kukufelisha!
Anataka umite DC tu na sio BABU DC maana anasema yule babu wa Loliondo ameharibu image ya jina la Babu anamuita mloziCD Je? Anataka liweje?
Anataka umite DC tu na sio BABU DC maana anasema yule babu wa Loliondo ameharibu image ya jina la Babu anamuita mlozi
Yule mshikaji mtaa wa pili pale anapenda sana kuja kushinda kwenu sasa sielewi intentions zake ni niniHehehe niambie kwanini ili nikwambie kama unaruhusiwa kuendelea au uache haraka!