Wivu!!

Huwezi amini, pamoja na maelezo yoooooooooooote hayo, mi nimepapenda zaidi hapo kwenye red.

:focus:
Ila sometimes kuridhika nako kunasaidia kuondokana na wivu usio wa lazima.
Hehehe kisa cha kupenda nyekundu?!?

Back to topic..nakubaliana na wewe.Mara nyingi wivu hua unasababisha na kutoridhishwa na mambo binafsi..kitu ambacho ni kizuri kwasababu kinaweza kumfanya mtu ajitahidi kuongeza juhudi kwenye mambo yake
 
Sijui nina wivu ngoja nikajicheki kwenye kioo vizuri leo.
Jiangalie ukiwa unamfikiria mtu ambae unadhani ana zaidi yako...ukikunja ndita bila kukusudia au ukibinua midomo BADILIKA!
 
ukiona una kama vinywele nywele juu ya macho yako yote mawili ujue hiyo ni dalili ya wivu.
Ahaaa ahaaa wewe Hus huo ni utabiri kutoka wapi mara hii umeishakuwa Sheikh Yahya au ulienda Loliondo kama alivyosema DC.
 


Pole sana. Kuna jamaa tulikuwa naye O-level, yeye alikuwa ni mkali saaana ila alikuwa hataki kutufundisha. Tulimkalia tukamtukana hadi akabadilika. Tulimweleza kuwa yeye akipata A na mimi nikapata F hawezi kufaidi lolote. Ila akitumia nguvu kidogo wakati anafanya mazoezi yake ya kawaida akatusaidia kupata B itakuwa bora kwetu na hatapungukiwa kitu. Huwezi kuamini, timu yetu sote tulifaulu vizuri.

Ila watu wengi huwa tunafikiria kwamba tukiwasaidia wenzetu basi tunapoteza. Ni upuuzi wa hali ya juu. Kama mtu ameumbwa kukupita basi atakupita tu, hata kama hutamsaidia!
 
Reactions: CPU
Jiangalie ukiwa unamfikiria mtu ambae unadhani ana zaidi yako...ukikunja ndita bila kukusudia au ukibinua midomo BADILIKA!
Weee Lizzy wewe ngoja nifanye hilo zoezi leo kesho nitakupa majibu
 

huyo dogo pia alikuwa mchoyo wa matirio. Lol!
Halafu halikuwa hawezi kufundisha mtu hata kama kitu anakiweza vipi. Anaweza akakuelekeza kitu usimwelewe hata kidogo ila mwingine unamwelewa.
 
Ahaaa ahaaa wewe Hus huo ni utabiri kutoka wapi mara hii umeishakuwa Sheikh Yahya au ulienda Loliondo kama alivyosema DC.

nimeoteshwa na mwalimu wangu wa chuo. Mwambie babu DC naye asiwe na wasiwasi na utabiri wangu. Nafanya mpango nipate venyu nitoe haka kahuduma.
 
nimeoteshwa na mwalimu wangu wa chuo. Mwambie babu DC naye asiwe na wasiwasi na utabiri wangu. Nafanya mpango nipate venyu nitoe haka kahuduma.

Mhhh,

Mwaka huu serikali yenu itapumua. Watoa huduma mkiwa wengi maana yake hata watu wa kulalamika hawatakuwepo!!


DC
 
huyo dogo pia alikuwa mchoyo wa matirio. Lol!
Halafu halikuwa hawezi kufundisha mtu hata kama kitu anakiweza vipi. Anaweza akakuelekeza kitu usimwelewe hata kidogo ila mwingine unamwelewa.
Hiyo ni kwasababu sio kila mtu ana kipaji cha kufundisha!
 
Hiyo ni kwasababu sio kila mtu ana kipaji cha kufundisha!

Lizzy,

Kuna wengine alikuwa anakudanganya na kukupa majibu yasiyo sahihi makusudi. Yaani kukusaidia hataki ila sasa anaamua kukufelisha!
 
nimeoteshwa na mwalimu wangu wa chuo. Mwambie babu DC naye asiwe na wasiwasi na utabiri wangu. Nafanya mpango nipate venyu nitoe haka kahuduma.
Hilo jina DC hataki kulisikia kabisa
 
Lizzy,

Kuna wengine alikuwa anakudanganya na kukupa majibu yasiyo sahihi makusudi. Yaani kukusaidia hataki ila sasa anaamua kukufelisha!
Hahahaha!Si bora akatae tu?Ila hiyo ni roho ngumu kupitiliza!Mi ilikua mtu akiniomba nimueleweshe hesabu nafanya ubaoni maana wenyewe wananiomba ili kila ambae hakuelewa hilo swali afaidike.Hata kama ningetaka kuwadanganya ningeishia kutolewa nishai maana anaejua angenirekebisha/kosoa!
 
Mbona naanza kukuonea wivu au ndio outcome yenyewe hii inaanza kuonekana:lol::lol:
Hehehe niambie kwanini ili nikwambie kama unaruhusiwa kuendelea au uache haraka!
 
Anataka umite DC tu na sio BABU DC maana anasema yule babu wa Loliondo ameharibu image ya jina la Babu anamuita mlozi

hahahahaha! Hataki kuonekana na yeye mgawa vikombe. Mmh,! Haya.
 
Hehehe niambie kwanini ili nikwambie kama unaruhusiwa kuendelea au uache haraka!
Yule mshikaji mtaa wa pili pale anapenda sana kuja kushinda kwenu sasa sielewi intentions zake ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…