Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

Nakwambia ww kilaza kuwa mm nilikuwa mashariki wa muda sana pale ,nimesali kama wanavyosali wengine

USSR
Kilaza wewe unaekubali kudanganya watu waende kwa mkongo kukesha Christmas wapigwe pesa ?????
 
Kilaza wewe unaekubali kudanganya watu waende kwa mkongo kukesha Christmas wapigwe pesa ?????
Tumekesha sana pale hata jana nilikuwepo ila nyoka kama nyoka furaha umeshalipwa lakini pesa yako au unakamata maspika

USSR
 
Tumekesha sana pale hata jana nilikuwepo ila nyoka kama nyoka furaha umeshalipwa lakini pesa yako au unakamata maspika

USSR
Jana mlikesha wapi kama si uongo?
Mimi ndo nalipwa na Kiboko au wewe?
 
Jana mlikesha wapi kama si uongo?
Mimi ndo nalipwa na Kiboko au wewe?
Jana tulikuwa na vikao vya kufunga kanisa , nasikia unamdai pesa zako za media ndio ujanja kuanzisha uzi hapa

USSR
 
Yeah of course money is everything I like

USSR
Hapa sasa naweka nukta sitaendelea ,umeweka nukta pazuri,But kua makini utakuja kupasuliwa yai siku Moja kwa mahaba Yako na pesa
 

Jamaa alikuwa ananifurahisha sana na Comedy Zake Times FM πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ ,anamponyesha Mgonjwa aliyekuwa ICU anapumulia mashine na mwingine alimponyesha cancer ya koo walivyompigia simu tu akawaombea wakapona ,aiseee watu wana kufuru sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…