Wizara ya Afya chukueni ushauri huu kuhusu madakatari wenye maslahi binafsi

Wizara ya Afya chukueni ushauri huu kuhusu madakatari wenye maslahi binafsi

Yaani daktari akilipwa 50,000 kwa Siku au milion 1 kwa mwezi inaonekana ni pesa nyingi, daah tubafilikeni jamani...
Kuna taasisi za kimataifa daktari analipwa milion 108 kwa mwaka, part time ni 98 milion.... na hapo wanamwomba.
Embu tuheshimu tasnia za watu jamani

Sent from my SM-J415F using JamiiForums mobile app
You're missing the point entirely.
Ni mTanzania gani huko vijijini mwenye uwezo wa kugharimia pesa kama hizo unazoandika hapo?

Swala si daktari kulipwa kiasi kikubwa cha pesa na mashirika ya kimataifa, ni waTanzania kutokuwa na uwezo wa kulipia gharama kama hizo wanapotafuta huduma za matibabu.
 
Back
Top Bottom