Wizara ya Afya chukueni ushauri huu kuhusu madakatari wenye maslahi binafsi

You're missing the point entirely.
Ni mTanzania gani huko vijijini mwenye uwezo wa kugharimia pesa kama hizo unazoandika hapo?

Swala si daktari kulipwa kiasi kikubwa cha pesa na mashirika ya kimataifa, ni waTanzania kutokuwa na uwezo wa kulipia gharama kama hizo wanapotafuta huduma za matibabu.
 
Sahv kila kitu maslahi kwanza

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…