#COVID19 Wizara ya Afya: Hadi Agosti 7, 2021, watu 105,745 walikuwa wamepatiwa chanjo ya UVIKO-19

#COVID19 Wizara ya Afya: Hadi Agosti 7, 2021, watu 105,745 walikuwa wamepatiwa chanjo ya UVIKO-19

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
639f5526-d8a0-4c28-a8ff-84a14561c66a.jpg

21950466-0af2-4843-8572-21f80bae79b7.jpg
 
Uandishi gani huu umejaa bold nyingi hivyo?

Siku 11, wamechanja watu 105,000, maana yake kwa siku wanachanja watu 9,535. Kwa mikoa 26 maana yake kila mkoa kwa siku unachanja watu 367. Hilo la kwanza.

La pili, kama kwa siku wanachanja wastani wa watu 9,535, iwao watanzania 50% watatakiwa kuchanjwa, yaani watu milioni 30 itahitajika siku 3,146 ama miaka 9 kuwachanja wote. Hilo halitoshi bado birth rate ni kubwa sana Tanzania maana yake hii chanjo haitaisha, itakua ni kuchanja for life.

Tukumbuke kabla ya kumaliza hata 1% ya watanzania, yaani 600,000 imeanza chanjo nyingine inaitwa booster shot ya kuipa nguvu hii chanjo iliyopo. Kwa maana kwamba kamaumechanjwa, utahitaji kuchanjwa tena hiyo booster vaccine.

Kwaa hiyo iwapo tutahitai kumaliza hizi zilizopo halafu tuanze booster ama tunaenda nazo concurrently itakua shughuli pevu.

Mimi nitakua wa mwisho kuchanja.
 
Wapo watakaopinga hii utadhani wao wana data zao, hatua nzuri, naamini hiyo idadi itakuwa kama catalyst ya kuwashawishi wengine nao wakachanje tuondokane na imani za kishirikina.
Siku hizi hawapiki tena data au hizi data zinafurahisha?
 
Uandishi gani huu umejaa bold nyingi hivyo?

Siku 11, wamechanja watu 105,000, maana yake kwa siku wanachanja watu 9,535. Kwa mikoa 26 maana yake kila mkoa kwa siku unachanja watu 367. Hilo la kwanza.

La pili, kama kwa siku wanachanja wastani wa watu 9,535, iwao watanzania 50% watatakiwa kuchanjwa, yaani watu milioni 30 itahitajika siku 3,146 ama miaka 9 kuwachanja wote. Hilo halitoshi bado birth rate ni kubwa sana Tanzania maana yake hii chanjo haitaisha, itakua ni kuchanja for life.

Tukumbuke kabla ya kumaliza hata 1% ya watanzania, yaani 600,000 imeanza chanjo nyingine inaitwa booster shot ya kuipa nguvu hii chanjo iliyopo. Kwa maana kwamba kamaumechanjwa, utahitaji kuchanjwa tena hiyo booster vaccine.

Kwaa hiyo iwapo tutahitai kumaliza hizi zilizopo halafu tuanze booster ama tunaenda nazo concurrently itakua shughuli pevu.

Mimi nitakua wa mwisho kuchanja.
Umeandika vizuri sana...[emoji1666]
Dunia mpaka sasa haijielewi kwenye COVID-19.
 
Hahahaha eti mwitikio mkubwa
Ni Haki yako kuamini unachokiamini, Ila nionavyo taifa letu Lina wasomi wengi Ila wengi hawajaelimika, mfano ni huyu mfuasi mtiifu wa Mwendazake.
 
Mbona wachache sana? inakuwaje wengine ni under 40 ,sio kada ya afya,sio viongozi serikalini lakini wametuonyesha picha wakipata chanjo:? au connection?
 
Uandishi gani huu umejaa bold nyingi hivyo?

Siku 11, wamechanja watu 105,000, maana yake kwa siku wanachanja watu 9,535. Kwa mikoa 26 maana yake kila mkoa kwa siku unachanja watu 367. Hilo la kwanza.

La pili, kama kwa siku wanachanja wastani wa watu 9,535, iwao watanzania 50% watatakiwa kuchanjwa, yaani watu milioni 30 itahitajika siku 3,146 ama miaka 9 kuwachanja wote. Hilo halitoshi bado birth rate ni kubwa sana Tanzania maana yake hii chanjo haitaisha, itakua ni kuchanja for life.

Tukumbuke kabla ya kumaliza hata 1% ya watanzania, yaani 600,000 imeanza chanjo nyingine inaitwa booster shot ya kuipa nguvu hii chanjo iliyopo. Kwa maana kwamba kamaumechanjwa, utahitaji kuchanjwa tena hiyo booster vaccine.

Kwaa hiyo iwapo tutahitai kumaliza hizi zilizopo halafu tuanze booster ama tunaenda nazo concurrently itakua shughuli pevu.

Mimi nitakua wa mwisho kuchanja.
Na hao waliochanjwa ni wale ambao waliisubiria chanjo kwa muda mrefu na kwa hamu zote, kifupi ni wale viherehere
Sasa hio Kasi itapungua zaidi maana waliobaki ni wale walio katikati na wengine wasiotaka kabisa kusikia habari za chanjo na ndio ambao wapo wengi
 
Ni mwanzo mzuri ,zoezi limeanza rasmi tarehe 3 August 2021.Tarehe 28July 2021 ilikuwa uzinduzi tu na tarehe 2August kwa wake wa viongozi.Kwa hiyo ni siku 4
hao waliochanjwa ni wale ambao waliisubiria chanjo kwa muda mrefu na kwa hamu zote, kifupi ni wale viherehere
Sasa hio Kasi itapungua zaidi maana waliobaki ni wale walio katikati na wengine wasiotaka kabisa kusikia habari za chanjo na ndio ambao wapo wengi
 
Uandishi gani huu umejaa bold nyingi hivyo?

Siku 11, wamechanja watu 105,000, maana yake kwa siku wanachanja watu 9,535. Kwa mikoa 26 maana yake kila mkoa kwa siku unachanja watu 367. Hilo la kwanza.

La pili, kama kwa siku wanachanja wastani wa watu 9,535, iwao watanzania 50% watatakiwa kuchanjwa, yaani watu milioni 30 itahitajika siku 3,146 ama miaka 9 kuwachanja wote. Hilo halitoshi bado birth rate ni kubwa sana Tanzania maana yake hii chanjo haitaisha, itakua ni kuchanja for life.

Tukumbuke kabla ya kumaliza hata 1% ya watanzania, yaani 600,000 imeanza chanjo nyingine inaitwa booster shot ya kuipa nguvu hii chanjo iliyopo. Kwa maana kwamba kamaumechanjwa, utahitaji kuchanjwa tena hiyo booster vaccine.

Kwaa hiyo iwapo tutahitai kumaliza hizi zilizopo halafu tuanze booster ama tunaenda nazo concurrently itakua shughuli pevu.

Mimi nitakua wa mwisho kuchanja.
Mimi ntakuwa wa mwisho ukitoka wewe
 
Back
Top Bottom