#COVID19 Wizara ya Afya: Hadi Agosti 7, 2021, watu 105,745 walikuwa wamepatiwa chanjo ya UVIKO-19

#COVID19 Wizara ya Afya: Hadi Agosti 7, 2021, watu 105,745 walikuwa wamepatiwa chanjo ya UVIKO-19

Ni zaidi ya hao, labda kwa hizi chanjo za serikali, ila kwa kuchanja kama kuchanja wamechanja wengi sana, mfano ni taasisi za wa asia karibu wote wamechanja tangia mwezi wa pili, pia taasisi za kimataifa, pia watu binafsi walioenda kuchanja nje ya nchi so idadi inazidi hiyo
Sema ukusanyaji wa data tu ni uko slow au hawafuatilii
 
Umeandika vizuri sana...[emoji1666]
Dunia mpaka sasa haijielewi kwenye COVID-19.
Sema wewe ndiye hujielewi siyo dunia. Dunia imeshagundua chanjo kadhaa na iko kwemye hatua ya kuchanja watu na kulegeza masharti ya kujikinga na Corona.
 
Du! Kwa hiyo Kuna approximately chanjo 900,000 zimebaki hadi sasa! Na siku zinavyoenda mwitikio unapungua, mzigo utaisha kweli?
Sasa hapo ndio penye kazi kubwa.
Maana wanao chanja wanaweza kupata CORONA na uambukizi wawo ni wahatari.
Akija kumuambukiza ambaye haku chanja ndipo anapata corona kali sana na mwisho kifo.

Kama tuna nia ya kuchanja basi iwe lazima na wachanjwe wote au angalau 70%
 
Uandishi gani huu umejaa bold nyingi hivyo?

Siku 11, wamechanja watu 105,000, maana yake kwa siku wanachanja watu 9,535. Kwa mikoa 26 maana yake kila mkoa kwa siku unachanja watu 367. Hilo la kwanza.

La pili, kama kwa siku wanachanja wastani wa watu 9,535, iwao watanzania 50% watatakiwa kuchanjwa, yaani watu milioni 30 itahitajika siku 3,146 ama miaka 9 kuwachanja wote. Hilo halitoshi bado birth rate ni kubwa sana Tanzania maana yake hii chanjo haitaisha, itakua ni kuchanja for life.

Tukumbuke kabla ya kumaliza hata 1% ya watanzania, yaani 600,000 imeanza chanjo nyingine inaitwa booster shot ya kuipa nguvu hii chanjo iliyopo. Kwa maana kwamba kamaumechanjwa, utahitaji kuchanjwa tena hiyo booster vaccine.

Kwaa hiyo iwapo tutahitai kumaliza hizi zilizopo halafu tuanze booster ama tunaenda nazo concurrently itakua shughuli pevu.

Mimi nitakua wa mwisho kuchanja.
Mikoa ya kipaumbele ni 10
 
Uandishi gani huu umejaa bold nyingi hivyo?

Siku 11, wamechanja watu 105,000, maana yake kwa siku wanachanja watu 9,535. Kwa mikoa 26 maana yake kila mkoa kwa siku unachanja watu 367. Hilo la kwanza.

La pili, kama kwa siku wanachanja wastani wa watu 9,535, iwao watanzania 50% watatakiwa kuchanjwa, yaani watu milioni 30 itahitajika siku 3,146 ama miaka 9 kuwachanja wote. Hilo halitoshi bado birth rate ni kubwa sana Tanzania maana yake hii chanjo haitaisha, itakua ni kuchanja for life.

Tukumbuke kabla ya kumaliza hata 1% ya watanzania, yaani 600,000 imeanza chanjo nyingine inaitwa booster shot ya kuipa nguvu hii chanjo iliyopo. Kwa maana kwamba kamaumechanjwa, utahitaji kuchanjwa tena hiyo booster vaccine.

Kwaa hiyo iwapo tutahitai kumaliza hizi zilizopo halafu tuanze booster ama tunaenda nazo concurrently itakua shughuli pevu.

Mimi nitakua wa mwisho kuchanja.
Umeandika kama vile hiyo idadi ya wanaochanja haiwezi kuongezeka, nani alikwambia wanaochanja idadi yao itabaki kama ilivyo forever?

Sasa hivi wengi wanaochanjwa ni wale wa makundi maalum, watakaporuhusiwa kuchanjwa wote bila kubagua hiyo idadi itaongezeka.
 
Idadi ni ndogo na chanjo zina muda wake wa ku expire. Wangeachana na vigezo na kuchanja yeyote mwenye nia ya kuchanja

Amandla...
 
Umeandika kama vile hiyo idadi ya wanaochanja haiwezi kuongezeka, nani alikwambia wanaochanja idadi yao itabaki kama ilivyo forever?

Sasa hivi wengi wanaochanjwa ni wale wa makundi maalum, watakaporuhusiwa kuchanjwa wote bila kubagua hiyo idadi itaongezeka.
Itaongezeka kutoka wapi?

Kwa taarifa yako sasa waliochanja ni wale waliokua wanaisubiri na wenye shida ya chanjo toka mwaka jana ila baada ya hapo usitegemee idadi kuongezeka.

Halafu, analysis unaifanya kwa trend, sio kwa kuhisia, kutumainia ama kuombea. Mimi nimeangalia trend ya figures kwa siku 11 nikatoa tathmini yangu, wewe hiyo yako ya kutegemea idadi itaongezeka umeitoa wapi?

Nimeandika simple lakini scientific, weww nipe hiyo scientific projection yako kwa hizo namba na usitumia hisia
 
Uandishi gani huu umejaa bold nyingi hivyo?

Siku 11, wamechanja watu 105,000, maana yake kwa siku wanachanja watu 9,535. Kwa mikoa 26 maana yake kila mkoa kwa siku unachanja watu 367. Hilo la kwanza.

La pili, kama kwa siku wanachanja wastani wa watu 9,535, iwao watanzania 50% watatakiwa kuchanjwa, yaani watu milioni 30 itahitajika siku 3,146 ama miaka 9 kuwachanja wote. Hilo halitoshi bado birth rate ni kubwa sana Tanzania maana yake hii chanjo haitaisha, itakua ni kuchanja for life.

Tukumbuke kabla ya kumaliza hata 1% ya watanzania, yaani 600,000 imeanza chanjo nyingine inaitwa booster shot ya kuipa nguvu hii chanjo iliyopo. Kwa maana kwamba kamaumechanjwa, utahitaji kuchanjwa tena hiyo booster vaccine.

Kwaa hiyo iwapo tutahitai kumaliza hizi zilizopo halafu tuanze booster ama tunaenda nazo concurrently itakua shughuli pevu.

Mimi nitakua wa mwisho kuchanja.
Mkuu kumbuka hapa ni for selected centers tu.

Hivyo zikiwepo chanjo za kutosha maana yake vituo vitaongezeka,idadi pia itakuwa kubwa.

Haitahitaji mwezi kuchanja watu milioni 30.
 
Mkuu kumbuka hapa ni for selected centers tu.

Hivyo zikiwepo chanjo za kutosha maana yake vituo vitaongezeka,idadi pia itakuwa kubwa.

Haitahitaji mwezi kuchanja watu milioni 30.
South Afrika walianza chanjo January 2021, hadi sasa wamechanja watu 3.5m ama 5.7% ya population.

South Afrika hatupishani population. Pia kumbuka south wnaa miundombinu bora zaidi ya Tanzania.

Sasa kama south kwa miezi 7 wamechanja 5% ya watu wao, itahitajika miezi mingapi kuchanja 50% ya watu wao? Kwa hesabu za haraka itahitajika miezi 70 kuchanja nusu ya population yao, miezi 70 ni miaka 5.8 ama 6. Hapo tunachukulia hakuna watu wanaozaliwa aala kuongezeka ila watakua wanakufa.

Jambo lingine South hawana hii anti-vax sentiment kama iliyopo Tanzania.

Shughuli bado ni kubwa
 
Back
Top Bottom