Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa muongozo kwa watumiaji wa Magari ya mwendokasi ili kujikinga na maambukizi ya #CoronaVirus.
Wasafiri wanaotumia magari ya mwendokasi wanatakiwa kuvaa barakoa hususani asubuhi na jioni, kukaa umbali wa mita moja kati ya mtu na mtu wakati wa kusubiri usafiri.
Vituo vya Mabasi ya Mwendokasi vinawekewa maji na sabuni ambayo kila msafiri atatakiwa kunawa mikono. Pia wametakiwa kufunika mdomo na pua wakati wa kukohoa au kupiga chafya.
Aidha wasafiri wanatakiwa kusubiri basi lingine ikiwa basi lililofika limejaa.
Wasafiri wanaotumia magari ya mwendokasi wanatakiwa kuvaa barakoa hususani asubuhi na jioni, kukaa umbali wa mita moja kati ya mtu na mtu wakati wa kusubiri usafiri.
Vituo vya Mabasi ya Mwendokasi vinawekewa maji na sabuni ambayo kila msafiri atatakiwa kunawa mikono. Pia wametakiwa kufunika mdomo na pua wakati wa kukohoa au kupiga chafya.
Aidha wasafiri wanatakiwa kusubiri basi lingine ikiwa basi lililofika limejaa.