Wizara ya afya imetoa muongozo kwa watumiaji wa magari ya Mwendokasi

Wizara ya afya imetoa muongozo kwa watumiaji wa magari ya Mwendokasi

Kumekuchaaah sasa, hatimaye kuna upande umekubali matokeo.
 
Wakati mwengine viongozi wa kibongo wanachekesha sana,unawaambia watu wakae meter mbili kutoka alipo mwenzake kisha bus linakuja wale mliokuwa mmekaa mita mbili nje ya bus mnajazana kwenye gari kiasi hakuna pakusogeza mguu.

Tukiri na tuelewe tu kwamba Mungu anatuonea huruma sana kwenye hii situation dunia iliyopo otherwise kwa mazingira yoyote sisi hatujawahi na hatutawahi kuwa serious kwenye mambo hatari kama haya.
 
Bongo social distance ngumu sana kutekelezeka
Msongamano ndiyo zetu kushikanashikana bambiana

Ova

Kwamba hata pisi kali ukae nayo mbali wakati unakua kwenye mipango ya kuomba namba ya simu, hawa hawajielewi
 
Kama nawaona abiria wanaoenda Kimara pale Kamata wanavyoenda kupanga foleni toka Gerezani hadi Fire
 
sasa wameanza kuelewa....ila hatujachelewa.....tuliambiana mapema kila mtu na wa KWAKE.....chukua tahadhari.....tatizo ni kwamba mkuu asipopaza sauti watu hawajigusi kabisa.....kama unajielewa, na mmoja ktk familia yako amekamatika...utanielewa vema....
 
Waziri wa afya amepata baraka za raisi kutumia neno Corona badala ya changamoto zakupumua?2015 tuliingia mkenge ambao leo unagarimu maisha ya watu wasio na hatia kwasababu yakutafuta sifa zisizo msingi wowote.
 
Farao ameanza kuelewa lakini asichokijua ni kwamba bado kuna mapigo mengi sana mpaka akiri kwa kinywa chake bila shuruti kuwa Corona ipo kwa wingi sana na ni tatizo kubwa sana!
Mseminari anaejifanya kuujua ukristo kuliko maaskofu wake!Wakati askofu Ruaichi anawasisitiza waumini watumie barakoa raisi mseminari anahamasisha waombe Mungu kuliko kutumia barakoa.
 
Back
Top Bottom