Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watumie traffic police ku enforce utaratibu
Hakuna coronaWatumie traffic police ku enforce utaratibu
Bongo social distance ngumu sana kutekelezeka
Msongamano ndiyo zetu kushikanashikana bambiana
Ova
Wanatest zali!Hii barua hata muhuri na saini haina.
Wanaweka mazingira ya kuikana Kama boss wao hatapendezwa na hiyo content. Zama hizi inabidi ufanye kila jambo kwa kujihamiHii barua hata muhuri na saini haina.
[emoji3][emoji3][emoji3] daaaahKama nawaona abiria wanaoenda Kimara pale Kamata wanavyoenda kupanga foleni toka Gerezani hadi Fire
ulilalamika weeeee .mwongozo, mwngozoooo .ooh sasa unapewa mwongozo bado unalalamika eeh ngombe wewe hunijuuiiiii mkojan voice.Haya matamko ya nini wakati mlisema hakuna corona kuna changamoto na mkatusihi tuibadili kuwa fursa?
Mseminari anaejifanya kuujua ukristo kuliko maaskofu wake!Wakati askofu Ruaichi anawasisitiza waumini watumie barakoa raisi mseminari anahamasisha waombe Mungu kuliko kutumia barakoa.Farao ameanza kuelewa lakini asichokijua ni kwamba bado kuna mapigo mengi sana mpaka akiri kwa kinywa chake bila shuruti kuwa Corona ipo kwa wingi sana na ni tatizo kubwa sana!