Wizara ya Afya: Mchakato wa chanjo umekamilika, itatolewa bure

Wizara ya Afya: Mchakato wa chanjo umekamilika, itatolewa bure

Ni hiari Mkuu lakini siku za usoni baadhi ya nchi zinaweza kuweka kikwazo cha wale wasio na chanjo kuingia nchini mwao.
Na sio wasiokuwa na chanjo tu bali ni chanjo gani umechanja?
 
Ahaaa mtego huo tayari 'chanjo inatolewa bure' yetu macho na masikio, naamini mabeberu yatakuja kufuatilia matokeo ya tafiti zao kwenye panya wa majaribio.
 
Hatimaye mmefika kituoni, tunawasubiri mshuke tuwapolee, msijifiche!
 
Ni hiari Mkuu lakini siku za usoni baadhi ya nchi zinaweza kuweka kikwazo cha wale wasio na chanjo kuingia nchini mwao.
Tutaelewana tu huko mbele ya safari. Kwa ujinga wa hii mijamaa kama jingine hili Countrywide huwa hata hayakumbuki lini yaliwahi kusema nini.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hautaki ile ya India?
Kinga ya Madagascar imefanyiwa utafiti na jopo la wataalamu (maprofesa na madokta) ambao ni vipanga kweli kweli kwa kipindi cha zaidi ya mwaka sasa.

Tena ilifuatwa kwa ndege ya Rais na tuliambiwa kule Madagascar inatolewa na Rais peke yake...aliyeileta aliinywa na mpaka leo anadunda hajapata athari yoyote☺️
 
Kinga ya Madagascar imefanyiwa utafiti na jopo la wataalamu (maprofesa na madokta) ambao ni vipanga kweli kweli kwa kipindi cha zaidi ya mwaka sasa, tena ilifuatwa kwa ndege ya Rais na tuliambiwa kule Madagascar inatolewa na Rais peke yake...aliyeileta aliinywa na mpaka leo anadunda hajapata athari yoyote☺️
Ile miziziology ya madagascar ilishapatikana active ingredients, vipi efficacy yake........au data zake zipo kwenye kabrasha la mzee wa jalalani...
 
Kinga ya Madagascar imefanyiwa utafiti na jopo la wataalamu (maprofesa na madokta) ambao ni vipanga kweli kweli kwa kipindi cha zaidi ya mwaka sasa, tena ilifuatwa kwa ndege ya Rais na tuliambiwa kule Madagascar inatolewa na Rais peke yake...aliyeileta aliinywa na mpaka leo anadunda hajapata athari yoyote☺️
Kwahiyo ya India hauitaki?
 
Hivi kama pain killers tu tuna import tutaweza kweli kutengeneza chanjo?

Sikatai lakini sitaki kuamini. Muda utazungumza.
 
Ile miziziology ya madagascar ilishapatikana active ingredients, vipi efficacy yake........au data zake zipo kwenye kabrasha la mzee wa jalalani...
Ndio aweke hizo data wazi kama inafaa tutumie vinginevyo walikuwa wanafuja hela za walipa kodi, hiyo kamati ilifanya utafiti kuanzia lini mpaka lini na nini matokeo ya tafiti yao. Hata kama zimefeli tuna haki ya kuambiwa.
 
Kwahiyo ya India hauitaki?
Ya India sina shida nayo ila ningependelea kuwe na options nyingi, tuliingia gharama kubwa kuifuata huko Madagascar kwa hiyo ni haki yetu kupatiwa pia.

Mimi hata zote mbili kama wakisema zinaweza kuchanganywa naweza kuzifuata, ila nataka tu kufahamu kwa nini hii ya Madagascar ipo kimya, halafu hii ambayo imegundulika baada ya Madagascar utafiti umekamilika haraka na tunaambiwa ni bure kabisa !
 
Ya India sina shida nayo ila ningependelea kuwe na options nyingi, tuliingia gharama kubwa kuifuata huko Madagascar kwa hiyo ni haki yetu kupatiwa pia...
Gharama kubwa gani iliyotumika ni hiyo ndege?
 
Katika ugonjwa huu hatuitaji siasa uchwara zisizo na tija, hiv unaita vyombo vya habari unaanza kujisemesha kuwa chanjo ni bure kwani kuna taifa linawauzia wananchi wake?

Tanzania toeni orodha ya wanao umwa tujue sio mnaagiza chanjo tu, ukimwi ulianza hivyo hivyo na propaganda za ajabu,mpka leo hauna kinga, naona kabsa dalili hizi hizi za porojo porojo mwisho we tutalazimishwa kuchanja.
 
Wewe ni kijana uchwara, hujui kuja nchi wanauza? ni bure kwako kwa sbb inalipa serikali
 
Wewe ni kijana uchwara , ..hujui kuja nchi wanauza ? ni bure kwako kwa sbb inalipa serikali
Ni jukum la serikali kabla ya kununua iwaulize watz wangp wanahitaji chanjo,hiv ni lazma utukane mbona mdomo wako mchafu kiasi hicho wewe unasehemu ya kutolea aja kubwa kweli au watumia mdomo?
 
Wewe ni kijana uchwara , ..hujui kuja nchi wanauza ? ni bure kwako kwa sbb inalipa serikali
Taja nchi hata moja tu duniani inayouza chanjo kwa raia wake. Kwanza chanjo tutapewa kwa mradi wa COVAX wa dunia nzima kusaidia nchi maskini kupata chanjo. Unauzaje wakati wamekupa ugawe bure
 
Back
Top Bottom