The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Kwanza jina lako baya kwerikweriTuambie wew watu wangapi wanaumwa,
Sio kisa wew hujafua mashuka na familia yako mnaumwa mafua uanze kusema kuna mlipuko
Corona bado ipo na kuna strain mpya zianaibuka kila wakati nafikiri ni hiyo na itapita na watu wachache.Kuna mafua makali yameongezeka hasa ukanda huu wa Pwani.
Nina uhakika wizara ya afya ina takwimu za kutosha. Tuambieni what is going on.
Enzi zile tungesema Corona.
Wizara ya Afya Tanzania