Wizara ya Afya Mnasubiri kutangaa Mlipuko wa Mafua hasa mikoa ya Pwani

Wizara ya Afya Mnasubiri kutangaa Mlipuko wa Mafua hasa mikoa ya Pwani

Tuambie wew watu wangapi wanaumwa,
Sio kisa wew hujafua mashuka na familia yako mnaumwa mafua uanze kusema kuna mlipuko
 
Hakika, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Mie mwenyew nipo juu ya Mawe kuanzia juzi mafua mabaya sana alafu hayaponi kirahisi.
 
Back
Top Bottom