Deghe Mangae
Senior Member
- Mar 3, 2020
- 171
- 149
Hawa jamaa sio waongeaji sanaNina wasiwasi na Uzi huu.
Wanakazi nyingi mno lakini pia
Angalia uzi wako umekaa vizuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa sio waongeaji sanaNina wasiwasi na Uzi huu.
Suula la NHIF katika huduma za saratani ni kero.Nimekata bima ya 1.5 amilioni ila naambiwa kamwe sitopata huduma za sarataniNdugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfyaView attachment 1588107
Kwa kusema tu hawajambo ukija kwenye upandeBado Kuna double standards kwenye hosp za govt. Hii inashusha morale. Work on this
Hospitali ya mloganzila kuna urasimu sana ,watumishi hawalipwi stahiki zao, wapo waliohamishwa kutoka sehemu mbalimbali toka mwaka 2017 mpaka leo hawajapata stahiki zao, pia na stahiki zingine kama mda wa ziada watumishi wanada stahiki zao za miezi 10-12, serikali chunguzeni uongozi wa hii hospitalNdugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfyaView attachment 1588107
Hii ni kila sehemu watumishi wanapata tabu sana danadana ni nyingi mno hakuna moyoHospitali ya mloganzila kuna urasimu sana ,watumishi hawalipwi stahiki zao,wapo waliohamishwa kutoka sehemu mbalimbali toka mwaka 2017 mpaka leo hawajapata stahiki zao,pia na stahiki zingine kama mda wa ziada watumishi wanada stahiki zao za miezi 10-12,serikali chunguzeni uongozi wa hii hospital
Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfyaView attachment 1588107
Salaam Ndugu Ali Isaac.HIVI MNAHABARI JINSI GANI WASAFIRI WANAVYO TAABIKA KATIKA MAABARA YA TAIFA KWA COVID CERTIFICATE, WATU WAMESHA CANCEL SAFARI ZAIDI YA MARA MBILI VYETI HAVIPATIKANI KWA WAKATI, WAGENI PIA HAWAJASALIMIKA, NI JAMBO LA KUTIA AIBU KAMA HATA KUTOA KARATASI TU YA VIPIMO VYA COVID NI ISSUE, HIVI HILI TAIFA MNALIPELEKA WAPI?, MBONA KILA KITU KINAKUA NI OPPORTUNITY YA KUADHIBU BADALA YA KUSAIDIA WATU?, HAKUNA HATA KIONGOZI MMOJA ANAEPITA KUKAGUA UTENDAJI WA MAOFISA WENU NA KUJIONEA JINSI WATU WANAVYO TAABIKA KUPATA HIKI CHETI, MNAZIWEKEA IDADI YA WATU HOSPITALI BINAFSI ILI MAABARA ZA SERIKALI ZIPATE PESA HUKU UWEZO HAWANA, HII SERIJALI LINI ITAACHIA WATU BINAFSI WAFANYE KAZI BADALA YA KUTAKA KUSHINDANA NAZO KUGOMBEA KIPATO,?
Wizara ya afya tunaomba pia mfanye tathmini juu ya bachelor ya medical laboratory science.HABARI natumaini mnaendelea na kazi vyema nilikuwa naomba kuuliza kuhusu AFYA najua imegawanyika katika vitengo vingi ili ikamilike neno afya kama maabara, famasi, udaktari n.k sasa swal langu katika kutoa ajira serikalini kwanini uoande mmoja tyuu ndo huwa unaoata nafasi kubwa kuliko sehemu nyingne (UDAKTARI) kwa mtazamo wangu naona kama hiii inafanya kada zingne kuwa na vijana wengi mtaani hawana ajira na pia kuacha kukosa ajira tyuu wafanyakazi wengne wanazidiwa kazi mfano unaenda kupima maabara unakuta na foleni kubwa ukiangalia ndani ya hiyo maabara kuna mtu mmoja tuuu mfano wa pili unaenda katika dirisha la kuchukulia dawa unakuta kuna muhudumu mmoja tyuuu na nje kuna foleni zaid ya wagonjwa 15 wanasubili huoni hii ni kuwazidishia majukumu watu wengne
OMBI LANGU
Naomba wizara ya afya muangalie utoaji wa ajira kwa kada zote zinazohusu afya kama mnavyotoa ajira kwa madaktari
mfano hai
mimi nimemaliza diploma ya famasi yan phrm.technician na nina leseni yangu lkn hadi leo sijasikia chochote kuhusu ombi la ajira kuhsu kada ya famasi
naomba kuwasilishaaa
Salaam Tausi.Wizara ya afya ijikite zaidi kwenye kinga kwa njia ya kuelimisha jamii kwa kuitumia idara ya maendeleo ya jamii. Badala ya kujikita kwenye tiba na kuitenga idara ya maendeleo ya jamii. Hii itasaidia kupunguza msongamano wa watu wanaougua magonjwa ya kijinga kwenye zahanati zetu.
Ndugu Kerubi salaam.Muhimbili recently kumekuwa na suala la mtandao wa internet kukatika kila inapofika saa saba mchana na kuendelea,jambo ambalo linasababisha huduma muhimu kusimama.Nimepeleka mgonjwa OPD kule almost two weeks ikifika saa saba mtandao unakata,wagonjwa ni wengi wanawaambia warudi kesho yake,ikifika kesho wanakudai tena 20k ya kumuona daktari,kama umepoteza risiti basi inakula kwako maana wanasingizia mtandao haukuwepo so registration haijafanyika.Na mimi nilienda nikilipia cash,sijajua hao wa bima hali inakuaje maana wale ndio wanazungushwa hadi huruma yaani,mara mtandao,mara sijui bima hii haina coverage ya ugonjwa huu..mara hili..mara lile!Mgonjwa yeyote ni binadamu anayehitaji huduma ya haraka,anapokutana na situation ya hivi,kukosa matibabu kwa zaidi ya saa 24 au wiki ni kumuumiza au kumpoteza kizembe kabisa.Mpaka tunajiuliza pale mtandao unakatika kweli au kuna mengine yanalazimishwa kuendelea?!