Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Nawashauri Wizara mfanye mpango wa kuelimisha umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa bima ya afya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashauri wizara ya afya iingilie Kwa NHIF kuwaka Assistant Medical Officers kuwa kundi moja na Clinical Officers hasa kwenye gharama za kumwona Daktari kwani kwani Clinical Officers ni shilingi 2000 pamoja na Assistant Medical Officers.Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Barua pepe mawasiliano@afya.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfya
View attachment 1588107
Nashauri wizara ya afya iingilie Kwa NHIF kuwaka Assistant Medical Officers kuwa kundi moja na Clinical Officers hasa kwenye gharama za kumwona Daktari kwani kwani Clinical Officers ni shilingi 2000 pamoja na Assistant Medical Officers. Wakati Assistant Medical Officers wanaruhusiwa kufanya emergence surgeries zote.hii imepelekea Hospital za watu binafsi kuacha kuwajiri Assistant Medical Officers kwa sababu ya kigezo cha gharama ya kumwona Daktari ni ndogo kwa AMO ukilinganisha na Medical officer ambayo ni 20,000 kwa kumwona .
Ushauri wangu ni kuwa AMO na MD gharama iwe moja kuwaona ili kuondoa unyanyapaa wanaofanyiwa Assistant Medical Officers kwa kuwa kumwona ni 2000 tu. Utakuta emergence surgeries nyingi zinafanywa na Assistant Medical Officers na Serikalini wanawaheshimu sana tatizo Hospital za binafsi zipo kimasilahi zaidi ,Hospital moja ya private inaweza kuajiri MDs mfano 10 na kila mmoja anaona wagonjwa 20 kwa siku kwa hiyo wagonjwa 200 kila mmoja 20,000 ni 4,000,000 kwa siku hata wasifanye operation yoyote ni pato tosha ndiyo maaana hawataki kuajiri AMOs kwani hakuna pato lolote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].kutafuta kote tuuu hujampata mama.hebu jaribu kuni tafuta tuone inakuwaje.Nataka kuzaa sina mwanaume kuna sperm bank hapa tz??
Kwanini kipimo cha corona ni gharama kwa watanzania? Na kwanini mnacharge kwa USD na sio tshs?Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Barua pepe mawasiliano@afya.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfya
View attachment 1588107
Kwanini kipimo cha corona ni gharama kwa watanzania? Na kwanini mnacharge kwa USD na sio tshs?
100 USD ni gharama sana kwa mtanzania wa kawaida. Tunaomba mshushe gharama iwe 40,000 kama mwaka jana
Watu wameshtukia usanii hawana habariMbn kwenye mwendokasi na kwenye vitup vya mwendokasi hamana Tahadhari zozote zinazochukuliwa dhidi ya janga la corona ?
Hivi mnajisikiaje leo hii serikali imeagiza chanjo halafu miezi kadhaa nyuma mlikua mnadanganya watu kwamba corona ni vita ya mabeberu[emoji848]Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Barua pepe mawasiliano@afya.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfya
View attachment 1588107
Cha bure hakuna siku hizi chanjo yenyewe imelipiwa.Mkiweza futeni gharama ya kupima covid wakati hiyo chanjo ni bure hiyo rapid test mbona Nchi zingine bure tuu kama Botswana hapo tupunguzieni gharama wasafiri...na ukiingia Tanzania lazima ulipie na kupima wakati Nchi nyingi kama mtu katoka kapima na masaa bado yanasoma unapita tuu hapa shida nini au ndio mnakusanya mapato kupitia wagonjwa...
www.jamiiforums.com
Ivi changamoto za dawa katika vituo vyetu vya afya itaishia lini an hii Hali imekua usumbufu sureNdugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Unaweza kututumia pia Private Message(PM) na utajibiwa kwa haraka sana.
Fuatilia ukurusa rasmi wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto (Idara Kuu Afya) wa Jamii Forums (Wizara ya Afya Tanzania) kupatea habari mbalimbali kuhusu Sekta ya Afya Nchini Tanzania.
Tufuatilie pia kwenye mitandao yetu ya:
Instagram @wizara_afyatz
Twitter @wizara_afyatz
Facebook “Ministry of Health, Gender, Elderly & Children”
Website www.moh.go.tz
Official Blog www.afyablog.moh.go.tz
Barua pepe mawasiliano@afya.go.tz
Anuani
S.L.P 743 Dodoma
Tanzania
#TunaboreshaSektayaAfya
View attachment 1588107