SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,106
- 8,043
They said ni Johnson and Johnson
Mtuambie wazi ni chanjo aina gani mmepokea. Mbona haitajwi au mmepokea ile ya Jobnson na Astrazenica??
Wekeni wazi ili tujue na kuamini uwezo wake.
Sio watu zinaanza kugandisha damu na hospitali zetu hatuna uweze wa kudhibiti tutauana !