Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,601
- 2,354
Lakin afadhali kwa sasa maana ilikua imezd kukithiri siku baada ya sikuwizara mlichelewa sana kutoa agizo hili..
Haina sababu yyteNa wala hakuna sababu ya kuzuia watu kuchukua picha na video za kumbukumbu za wapendwa wao wanapopumzishwa kwenye nyumba yao ya milele.
Unforgetable
Ndio hapo sasa. Wasanii hawaSasa wakati zoezi linaendelea wao walikuwa wapi?..
Ina maana wazikaji walijiamulia Tu kuzika usiku?