Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hawawezagi kujiongeza? Mpaka Rais aseme?Sasa maziko yoote kufanyika mchana na ndugu kushirikishwa na View attachment 1438691
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwaombee marehemu wapone haraka.
Sent using iphone pro max
Yule msemaji mjeshi alifuka sana na alikuwa anasoma hahahaaa!!Tuwaombee marehemu wapone haraka.
Sent using iphone pro max
Mie najiuliza mpaka kichwa kinauma!Kwa mwendo huu endapo mitandao ya kijamii ingezimwa kipindi kile ili tubaki na radio na Television pekee sijui ingekuwaje.
Mungu atusaidie ili movie iwe ya masaa 2 tu. Ikiwa Series yenye episodes za kutosha kama Days of Our Lives tutajuta kuzaliwa,...
Na endapo haina hitilafu upande wowote Kwani inasababu gani ?Haina sababu yyte
Its not over until its over...[emoji769]
Watu walimtukana Mange kimambi kuwa alikuwa anadanganya sasa kipo wapi wenyewe. Wamekiri ahsante mh Rais kwa kuwaumbua