Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Juzi walikanusha hadi misuli ya nanihii ikawasimama, Leo wote wamekubalia na akina Bia yetu kama kawaida watakuja na kushangilia tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi walikanusha hadi misuli ya nanihii ikawasimama, Leo wote wamekubalia na akina Bia yetu kama kawaida watakuja na kushangilia tena
Tukianza kufa watakujà kukanushaTusitumie dawa ambazo hatushauriwa na wataalam au wizara ya afya, sasa huyu anaehimiza kujifukiza nimuweke kundi lipi?
Shule na vyuo vifunguliwe watu warudi makaziniTutarajie ligi kuu soka kurudi dimbani punde, kila kitu ni hadi mkulu aseme.
Yani mwenzio kaelezea vizuri we unakuja na uzuzuMfano watu kupigwa risasi kutekwa Lissu kupigwa risasi etc......gwajiima kupanga ukabila......
Mbona mawaziri husika na rais hakemei mambo machafu yote haya?
Wako wapi sasa wale woooote waliokuwa wakibisha kuwa wanazikwa usiku usiku? Kuna watu walifika hadi kutoa audio kusema kuwa sio kweli, haya sasa njooni hapa muombe radhi.Watu kuzikwa kama wanyama usiku wa manane haikubalikik nakupongeza sana mganga mkuu prof. Abel Makubi na wizara kwa ujumla uwezo wako toka ulipokua bugando ulionekana Hongera sana...
Its not over until its over...![]()
View attachment 1438546
Good point.
Hapana Monk wanajeshi hawafai...hapa wangepewa kazi madaktari..Tena hiyo kamati ingefaa zaidi iwe na chembechembe za ujeshi...(Afande Kova na ugaidi)
Ukweli ni kuwa yote uliyoyasema yanahitaji kukemewa, kuzuiwa yasitokee. Lakini hata kukiwa na mabaya 10, likarekebishwa moja, kwenye hilo moja tupongeze maana kiongozi amesikiliza sauti zetu. Tumpongeze katika hilo alilofanya vizuri, huku tukimwomba kuchukua hatua dhidi ya 9 yaliyosalia.Mfano watu kupigwa risasi kutekwa Lissu kupigwa risasi etc......gwajiima kupanga ukabila......
Mbona mawaziri husika na rais hakemei mambo machafu yote haya?
Watanzania mna mdomo sana. This will cost you! Fanyeni Michezo! Maswala ya msingi mnafanya ujuaji! Duniani kote wagonjwa wa corona wamekuwa. Wakizikwa na serikali! Ndugu hawajarubusiwa kugusa maiti wala kuwa karibu.Kigongo aliposema watu wa zikwa usiku walikataa.... Sasa inakuwaje wanazuia kitu ambacho hakikuwepo!!?
Huwezo mdogo wa kufikiri, wasaidizi wengi wa rais wana shida, nadhani ni tatizo la mfumo wetu wa Elimu, tunazalisha watu wa namna hii. Ndio maana haya mambo yanajirudia kila sikuHivi hawawezagi kujiongeza? Mpaka rais aseme?
Okay! Business as usual!Acha ujinga. This will cost how....!?