Sasa wakati zoezi linaendelea wao walikuwa wapi?..
Ina maana wazikaji walijiamulia Tu kuzika usiku?
Maswali ya msingi hayo. Ubaya ni kuwa wakati taarifa hizi zikitolewa, wenzake na mganga mkuu walikuwa wakikanusha kuwa mambo hayo hayafanyiki!! Tumetoka “divide and rule” sasa tuko “lie and rule”!