Wizara ya Afya yapiga marufuku watu kuzikwa usiku, yaagiza ndugu washirikishwe

Nadhani kigogo si mtu wa kupuuzwa, nadhani ni mtu muhimu Sana, analeta friction Kati ya wananchi na wafanya maamuzi wa serikali.
Kisayansi friction ni muhimu Sana ili kusogea kwenye uso wa aridhi. Au nyuso nyingine (surfaces)

Ili taifa lisogee linahitaji friction.

Asante kigogo I wish utengeneze taasis, hivi vyama pinzani Kwa sasa havina Meno kazi Yao unafanya wewe.

Note, uwe mzalendo

Mwisho: declaration of interest, naamini katika logic
 
Hili swala ni mpaka Rais aongee ndo Wizara ifanyie kazi? Tunampa Rais mzigo mkubwa kutokana na wateule wake kushindwa kujiongeza. Swala limelalamikiwa wiki kadhaa bila kufanyiwa kazi leo ghafla baada ya hotuba ya Mh Rais watu wanaamka. TZ tuna safari ndefu
 
Tatizo huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuambieni mpaka sasa mmeishazika wangapi usiku , au ndio wale famba 16 mnaotutangazia siku zote ?
 
umeamua kumpamba tu huyo mtu wenu huku ukijua wazi kwamba yeye ndio kikwazo , haya na wewe unataka kuteuliwa kwenye nini ?
 
Watu wabaya hubakia na ubaya wao milele... Ccm haisafishiki hata kwa jiki
 
Watuambie kwanza kabla ya tamko hili la kipuuzi ...watuambie kwanza waliozikwa usiku mpaka sasa ni wangapi na waliozikwa mchana wangapi
 
Lakin afadhali kwa sasa maana ilikua imezd kukithiri siku baada ya siku

Its not over until its over...[emoji769]
Lkn unadhani wataacha kuzika usiku?. Kwa kuangalia mentality ya rais kwa janga hili ni kuwa corona ni kaugonjwa kadogo kasiko sababisha mauti kwa wengi. Sasa vifo vikiongezeka kupitia observation ya wanao zikwa kwa siku, rais ataonekana "mwongo". In short, kuzika usiku ni mwendelezo wa kuficha taarifa. Hujashangaa waziri wa katiba kutumwa kuichunguza maabara ya taifa?
 
Kama hili agizo litatekelezeka basi watanzania mtajua hali halisi ya watu kufa kwa COVID-19. Muda utasema yote.
 
Waache waje kuomboleza, mbona makanisani, misikitini watu wanafurika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wale wajinga waliokuwa wanasema zile picha na video za watu kuzikwa usiku siyo za Tanzania. Wanajisikiaje saiv?
 
Nadhani kuna mambo mengine ya hovyo yanafanywa na Serikali, wengi tukiamini yamekubaliwa au ni maelekezo ya Rais, kumbe ni maamuzi wa baadhi ya watendaji wenye akili ndogo ndani ya Serikali...
Sasa wewe kama mambo ya hovyo na hayana mkono wa Raisi mbona serikali hiyohiyo ilikuwa inapinga kwamba watu hawazikwi usiku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…