- Nani kakwambia nakaa kwa shemeji? au Kama ww unakaa na shemeji yako unafikiri kila mtu anakaa kwa shemeji Kama ww?Kijana endelea kuishi kwa shemeji yako ukiamka chakula kiko mezani, Ya mtaani tuachie wenye nayo😎
Wapi huko kwenye salary ya 700K halafu posho milioni 2 kwa mwezi?Haaaaaaah ndo imani yko ipo hapa mshahara hay determine posho unaweza kulipa mshahara wa 2.4M kila kitu kikawa fixed huko ila mwenzako anaelipwa 700k akawa ana posho nyingi kuliko wewe kwa mwezi swala la posho inategeana upo wapi na unafanya kazi gani
Uelewa wako bado uko chini Sana mkuu,acha nikubaliane na huyu mtu Twilumba kwa alichokiandikaMashirika yako mengi yenye maslahi, sio lazima wote muwe TRA wengine mnaweza kufanya Kazi halmashauri
Mimi pia uelewa wako naona uko chini.Uelewa wako bado uko chini Sana mkuu,acha nikubaliane na huyu mtu Twilumba kwa alichokiandika
Mimi au ww Ni mshamba?
Haaaaaaah ndo imani yko ipo hapa mshahara hay determine posho unaweza kulipa mshahara wa 2.4M kila kitu kikawa fixed huko ila mwenzako anaelipwa 700k akawa ana posho nyingi kuliko wewe kwa mwezi swala la posho inategeana upo wapi na unafanya kazi gani
Hata kwenye ajira kuna ku-grow ndo maana kuna Entry salary scale hadi kufikia huko kwenye Leaders salary scale, hakuna anayeanza na Salary ya Leaders salary scale they all start somewhere!!Nimeandika ukweli salary hapo mostly ni TGS E 900K, wakati tra wenzenu hiyo 900k Ni Posho
Kwa akili zako unataka kila mtu afanye kazi TRA?Nimeandika ukweli salary hapo mostly ni TGS E 900K, wakati tra wenzenu hiyo 900k Ni Posho
Kwani TRA,BoT,Ewura,latra,TANROADS, hawana nights,perdiem?Huyo bwege anayeponda kuwa kazi hizi ni TGSE km 900k Akidai TRA hiyo 900k nj posho , hajui Kuna field Kama za lands ie surveyors ,valuers etc mshahara siyo ishu kabisa bali nights ,perdiemd ni throughout the time
Usilie mkuuKwa akili zako unataka kila mtu afanye kazi TRA?