Wizara ya Elimu na Uhamiaji Tarime mnajua kuhusu hili?

Wizara ya Elimu na Uhamiaji Tarime mnajua kuhusu hili?

Supu ya kokoto

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
4,194
Reaction score
7,602
Wasalaam,

Niende kwenye hoja moja kwa moja. Watumishi karibia wote wa shule ya msingi HEAGTON iliyoko sirari hawana vyeti vinavyotambulika?

Watumishi 11 kati ya 13 wanadaiwa sio Watanzania na hawana nyaraka za kufanya kazi Tanzania. Je, uhamiaji Tarime mnalijua hilo au hizo ndizo posho zenu?

Wizara ya elimu kupitia wakaguzi wa wilaya fanyeni ukaguzi wa namna ya ufundishaji katika shule hiyo. Ufundishaji unazingatia tu madarasa mawili (Darasa LA NNE na LA saba).

Madarasa hayo hufanyishwa mitihani tu tokea January mpaka wanapofanya mitihani ya mwisho.

Kuna tetesi na minong'ono pia kuhusu wanafunzi wa kike kufanyiwa vitendo visivyo vya kiungwana na baadhi ya walimu.

Please fuatilieni mwenendo wa hiyo shule na mtagundua mengi madudu right away from the headteacher na mengine mengi.

Kwenye suala la mitihani ni wizi mtupu.
 
Pole MKUU naona jaluo toka Kenya anaziba nafas za ajira za watz hapo

Watz tumelala Sana ukienda kagera shule nyingi wapo waganda lakin hukuti watz wakifundisha Kenya Wala uganda nadhan lugha kwa waajir weng hapa.tz huangalia ukijua tu kimalkia baaasi

Nyerere kwann ulifuta kimalkiya jaman ona Sasa fursa hiz watz wanazkosa
 
Pole MKUU naona jaluo toka Kenya anaziba nafas za ajira za watz hapo

Watz tumelala Sana ukienda kagera shule nyingi wapo waganda lakin hukuti watz wakifundisha Kenya Wala uganda nadhan lugha kwa waajir weng hapa.tz huangalia ukijua tu kimalkia baaasi

Nyerere kwann ulifuta kimalkiya jaman ona Sasa fursa hiz watz wanazkosa

Aliyekuwa mbunge wetu katika moja za wilaya zetu Manyara je?

Tunaoambiwa kuwa ni warundi kwenye nyadhifa nzito nzito nao je?
 
Back
Top Bottom