Wizara ya elimu yakana kuwapima mimba watoto wa kike kwa lazima, yasema wataendelea na masomo baada ya kujifungua

Wizara ya elimu yakana kuwapima mimba watoto wa kike kwa lazima, yasema wataendelea na masomo baada ya kujifungua

Alafu Cha kufurahisha ni kwamba beberu yeye hajajibu maneno ya kashifa yaliyotolewa juu yake ila kapiga kimya na kuacha vitendo vimjibu mbabe wa kujimwambafy
Marekani hana cha kujisifu, hatupi msaada Bali ni mkopo tena wenye riba! Serikali imesema inao utaratibu rasmi wa kushughulikia wanafunzi wamama, full stop!! Watapewa muda wa kulea mimba na mtoto!! (Siyo kuendelea na masomo huku ni wajawazito kama vyuo vikuu). Mtoto akishakua vizuri watamalizia masomo yao kwa utaratibu rasmi wa serikali, full stop!!!;
Serikali inachokataa ni mwanafunzi mjamzito kuwepo darasani!! Hii ni kwa faida ya mtoto mtarajiwa na "mtoto mama"!
 
Back
Top Bottom