Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Habari wakuu!
Mwanzoni wa mwezi wa Desemba waziri wa fedha wa Marekani alituma barua bungeni kuarifu ya kuwa wizara yake imedukuliwa yaani (hacked) na mdukuzi anayefadhiliwa na serikali ta China.
Inaripotiwa ya kuwa mdukuzi huyo aliweza kupitia nyaraka ambazo hazikuizinishwa na vituo vya kazi vya wafanyakazi wa wizara hiyo.
FBI pamoja na taasusi zingine zinaendelea kuchunguza swala hili ila kwa upande wa serikali ya China imesema ya kuwa lengo la shutuma hiyo ni kuharibu sifa ya China.
www.bbc.com
Yangu ni hayo tu.
Heri ya mwaka mpya kwa members wote. Mshukuru Mungu kama umeweza kuvuka mwaka.
Mwanzoni wa mwezi wa Desemba waziri wa fedha wa Marekani alituma barua bungeni kuarifu ya kuwa wizara yake imedukuliwa yaani (hacked) na mdukuzi anayefadhiliwa na serikali ta China.
Inaripotiwa ya kuwa mdukuzi huyo aliweza kupitia nyaraka ambazo hazikuizinishwa na vituo vya kazi vya wafanyakazi wa wizara hiyo.
FBI pamoja na taasusi zingine zinaendelea kuchunguza swala hili ila kwa upande wa serikali ya China imesema ya kuwa lengo la shutuma hiyo ni kuharibu sifa ya China.
Kiribati yawa nchi ya kwanza duniani kuukaribisha mwaka 2025 - BBC News Swahili
Nchi hiyo inaundwa na visiwa 33, imeenea karibu kilomita 4,000 (maili 2,485) kutoka mashariki hadi magharibi na zaidi ya kilomita 2,000 kutoka kaskazini hadi kusini.
Yangu ni hayo tu.
Heri ya mwaka mpya kwa members wote. Mshukuru Mungu kama umeweza kuvuka mwaka.