Wizara ya Habari: Bidhaa za kigeni ziandikwe kwa Kiswahili

Wizara ya Habari: Bidhaa za kigeni ziandikwe kwa Kiswahili

Afadhali kuna mwenye akili ameona hili. Ila anipe credit zangu.

 
Naibu Waziri Wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Abdallah Ulega amesema bidhaa zote za kigeni zinazoingia nchini zitafutiwe utaratibu wa kutafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.

Na bidhaa ambazo zinazalishwa nchini ziwekewe utaratibu wa kuwa na maelezo ya Kiswahili ili kumrahisishia mtumiaji wa bidhaa ambaye anafahamu Kiswahili.

Ametoa mfano wa Dawa ambazo mtumiaji anapaswa ajue tahadhari za kutumia dawa hiyo na sio kuishia kujua idadi ya vidonge vya kutumia kwa siku. Malezo hayo yakiwa kwa Kiswahili itasaidia hili.

Amesema hayo ni kwa mujibu wa Kanuni zilizopo hivyo Wizara ya Habari itakaa na Mamlaka ili kuhakikisha utekelezaji wa Kanuni inayotaka bidhaa ziwe na maelezo ya Lugha ya Kiswahili.


Tatizo la mfalme kutomudu lugha ya malkia imekuwa issue ya kitaifa, kila mteule anafuta namna ya kufurahisha mfalme j
 
Magufuli anaweweseka sana. Kama anajua kiingereza kwanini anasumbuka kutumia nguvu kujitetea
 
Unajua International Protocol!??? It means kama hawana Waswahili, basi watalazimika kuwaajiri maproxy Tanzania wa kuwafanyia ^ubalidishaji lugha^ -- AJIRA HIYOO!!!
Labda ungeiweka hapa hiyo protocol. India kwa mfano, anatengeneza dawa, na ktk mfumo wake ameshaweka lugha international kama english kwaajili ya maeneo yanayozungumza kiingereza, ikiwa ni pamoja na Tanzanian. Leo umtake aweke lebal za kiswahili kwaajili yako wewe ambae labda ni 1% ya biashara yake. Kwake huo ni upuuzi hawezi kuingia gharama hizo kwaajili yako.

Sisi kama tuna bidhaa zetu tunazozalisha tuna uhuru wa kuzilebal kiswahili. Hiyo nayo itakua kikwazo kwa hizo bidhaa kukubalika nje.

Utaenda Japan uwaambie magari yenu na vipuli msipoweka lebal za kiswahili hatununui?

Pelekeni watoto shule za kimataifa wapate exposure, wajue lugha za kimataifa, watuibie teknolojia na ujuzi wa sayansi. Hiyo ni sehemu ya vita ya kweli ya kiuchumi.
Achaneni na wanasiasa wanaowadanganya mkomalie kiswahili. Wao watoto wsnasomesha english medium schools na wengine nje kabisa. Baadae watoto wao wanarithi nafasi zao watoto wa wanyonge wanabaki kuwa machinga.

Pia sasa hivi tuna tatizo kubwa la ajira. Wahitimu wetu waalimu, madaktarri engineers etc watawezaje kuingia international job market kama hawajui lugha?
Mpaka leo hatujashtuka Wakenya walivyojaa America, Canada, Australia nk? Vivyo hivy o Waganda Wazambia nk. Wanacho tuzidi ni lugha tuu. Na wanaingiza pesa nyingi kwenye uchumi wa nchi zao.
 
Labda ungeiweka hapa hiyo protocol. India kwa mfano, anatengeneza dawa, na ktk mfumo wake ameshaweka lugha international kama english kwaajili ya maeneo yanayozungumza kiingereza, ikiwa ni pamoja na Tanzanian. Leo umtake aweke lebal za kiswahili kwaajili yako wewe ambae labda ni 1% ya biashara yake. Kwake huo ni upuuzi hawezi kuingia gharama hizo kwaajili yako.

Sisi kama tuna bidhaa zetu tunazozalisha tuna uhuru wa kuzilebal kiswahili. Hiyo nayo itakua kikwazo kwa hizo bidhaa kukubalika nje.

Utaenda Japan uwaambie magari yenu na vipuli msipoweka lebal za kiswahili hatununui?

Pelekeni watoto shule za kimataifa wapate exposure, wajue lugha za kimataifa, watuibie teknolojia na ujuzi wa sayansi. Hiyo ni sehemu ya vita ya kweli ya kiuchumi.
Achaneni na wanasiasa wanaowadanganya mkomalie kiswahili. Wao watoto wsnasomesha english medium schools na wengine nje kabisa. Baadae watoto wao wanarithi nafasi zao watoto wa wanyonge wanabaki kuwa machinga.

Pia sasa hivi tuna tatizo kubwa la ajira. Wahitimu wetu waalimu, madaktarri engineers etc watawezaje kuingia international job market kama hawajui lugha?
Mpaka leo hatujashtuka Wakenya walivyojaa America, Canada, Australia nk? Vivyo hivy o Waganda Wazambia nk. Wanacho tuzidi ni lugha tuu. Na wanaingiza pesa nyingi kwenye uchumi wa nchi zao.
Hili ni jambo lenye manufaa kwa mlaji. Unakuta dawa imeandikwa kwa kirusi, kiarabu na kifasansa. Kwanini wasiweze kuandika kwa kiswahili? Natambua kuwa nchi haisomeshi watu wake ili wakafanyekazi US au Canada. Inasomesha ili walitumikie. Watumike kwenye mazingira ya nyumbani.
 
Hili ni jambo lenye manufaa kwa mlaji. Unakuta dawa imeandikwa kwa kirusi, kiarabu na kifasansa. Kwanini wasiweze kuandika kwa kiswahili? Natambua kuwa nchi haisomeshi watu wake ili wakafanyekazi US au Canada. Inasomesha ili walitumikie. Watumike kwenye mazingira ya nyumbani.
Rudia kusoma polepole utanielewa.
 
Back
Top Bottom