Serikali ya Rais Samia Suluhu kupitia Wizara ya Kilimo imesema imekusudia kutoa ajira Milioni 3 Kwa vijana na wanawake kupitia Programu ya (Building Better Tomorrow) kwa kushiriki Kilimo biashara kupitia mashamba ya pamoja (block farms).
WAZIRI wa Kilimo Husein Bashe, ametangaza majina ya vijana 812 waliochaguliwa kujiunga katika Programu ya Building Better Tomorrow, Youth initiative in Agribusiness (BBT-YIA ), huku Rais Samia Suluhu akitarajia kuzindua Shamba lenye ekari 1,000 lililopo jijijini Dodoma 20/3/2023
Vilevile Waziri wa kilimo ameongezea kuwa " Wizara tayari imekamilisha uchambuzi wa kuwapata vijana hao watakaoshiriki katika mafunzo hayo ya awamu ya kwanza , huu mchakato wakuchagua vijana unaendelea hii ni awamu ya kwanza nyingine itakuja"
Watanzania tunaendelea kuwa na imani na serikali yetu maana tunaona inaendelea kutatua changamoto yetu kubwa ya ajira vijana huu ni wakati wa kuchangamkia fursa utajiri unapatikana shambani.
WAZIRI wa Kilimo Husein Bashe, ametangaza majina ya vijana 812 waliochaguliwa kujiunga katika Programu ya Building Better Tomorrow, Youth initiative in Agribusiness (BBT-YIA ), huku Rais Samia Suluhu akitarajia kuzindua Shamba lenye ekari 1,000 lililopo jijijini Dodoma 20/3/2023
Vilevile Waziri wa kilimo ameongezea kuwa " Wizara tayari imekamilisha uchambuzi wa kuwapata vijana hao watakaoshiriki katika mafunzo hayo ya awamu ya kwanza , huu mchakato wakuchagua vijana unaendelea hii ni awamu ya kwanza nyingine itakuja"
Watanzania tunaendelea kuwa na imani na serikali yetu maana tunaona inaendelea kutatua changamoto yetu kubwa ya ajira vijana huu ni wakati wa kuchangamkia fursa utajiri unapatikana shambani.