Wizara ya Maendeleo Norway yakanusha taarifa ya Daily News kuhusu Tanzania na mapambano dhidi ya COVID-19

Wizara ya Maendeleo Norway yakanusha taarifa ya Daily News kuhusu Tanzania na mapambano dhidi ya COVID-19

Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660

Bora hata huu ujinga wangeandika kwenye gazeti la kiswahili, tena la udaku na sio la kimalikia.
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
Ushahidi wa walipokanusha upo wapi ?
 
Sijaona kanusho hapo,walichofanya wameongezea ambacho labda hakikusemwa
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
Tatizo la Lumumba ni lugha
 
Mimi nashangaa sana hizi propaganda kwenye magazeti na TV. Yaani wanajaribu kuonyesha eti nchi zote zinatamani Tanzania! Eti imepambana na vita ya corona kwa nguvu sana! Wakati haikufanya kitu. Hata kuvaa barakoa tunakatazwa halafu etu nchi nyingine zinatamani Tanzania kwa vita yake ya corona!
 
Wizara ya maendeleo ya Norway imekanusha wapi? Katika maelezo yapi? Humu kumejaa vilaza kweli.
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
Unawashwa sana wewe dada,kulikoni hizo gololi?
 
Nyie ndio bado mnavishangaa hivi vyombo vya habari vinavyomilikiwa na serikali na ccm.

Wao kosa tu viongee na mzungu yeyote pasipo watu au hadhira kuwepo lazima watamuundia maneno ya uongo kwamba kaunga mkono juhudi.

Hivi vyombo vya habari havina tena maadili na vimepoteza kabisa mwelekeo na vile vile vimebaki kufuatiliwa na wanafiki tu.
 
Back
Top Bottom