Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Mbona sioni mahali wakikanusha, au ndio tafsiri ya ufipa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.
Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?
Aibu!!
View attachment 1478660
Hapa hutowaona akina magonjwa mtambuka hahahaha
Wanalaumiana SAA hiziWte wamejificha uvungun kwa mr.Slowslow
Utapaonaje nawe umepofushwa na rushwa na uzandiki? Au huwa husomi maandiko matakatifu?Mbona sioni mahali wakikanusha, au ndio tafsiri ya ufipa?
Bia ye....Wakudadavua, Mudawote, Kawe alumn, TumainE, Jothnthebaptist, kipra kipya, stroke, Jingalao et al
Wanalaumiana SAA hizi
Ushahidi wa walipokanusha upo wapi ?Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.
Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?
Aibu!!
View attachment 1478660
Tafadhali usinipeleke kwa yesu wa chamwino, kule nitaishia kula viboko tusoma uzi tena utaelewa...
ukishindwa kuelewa, utahitajika kufanya maombi kwa "yesu wa Chamwino" atakufunulia!
Tatizo la Lumumba ni lughaWakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.
Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?
Aibu!!
View attachment 1478660
Dah vijana wa ufipa kama mwenyekiti wao tu, mitungi na bangi kwa kwenda mbele.Nimetafuta mno ni wapi wizara ya maendeleo ya Norway imekanusha? Kwa kutumia maneno yapi? Kuelekea October 2020 hawa watu watachizi kabisa.Mbona sioni mahali wakikanusha, au ndio tafsiri ya ufipa?
Unawashwa sana wewe dada,kulikoni hizo gololi?Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.
Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?
Aibu!!
View attachment 1478660