Wizara ya Maendeleo Norway yakanusha taarifa ya Daily News kuhusu Tanzania na mapambano dhidi ya COVID-19

Wizara ya Maendeleo Norway yakanusha taarifa ya Daily News kuhusu Tanzania na mapambano dhidi ya COVID-19

Hii ni Kiki Kama Ile ya chadema tu yskusema membe smeomba kujiunga nao
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
Mbona hujaleta copy ya Daily News ili tuone kama kweli. Pia mbona hapo sioni wakikanusha taarifa ya Daily News kama ulivyotaka kuwaaminisha wanasaccos wenzio?
 
Mbona ndo kawaida yao hao...
Wazee wa mapambio ya kusifu
 
Mbona hujaleta copy ya Daily News ili tuone kama kweli. Pia mbona hapo sioni wakikanusha taarifa ya Daily News kama ulivyotaka kuwaaminisha wanasaccos wenzio?
rudia tena kusoma uzi.

kama vipi piga magoti kwa "yesu wa Chamwino" akufunulie!
 
Hiyo habari ya Daily news mbona haipo?
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 wame dhalirika kishamba kweli.
 
Kuna jirani yangu jana asubui anakuja home kwa furaha eti Norway wamesifia juhudi za kumaliza corona kumbe uongo aisee
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
dah wabongo tunakuza vitu
 
Huyu balozi atakuwa anatumiwa na mabeberu! Wakati dunia inamtambua jpm kama mfano wa kuiga dunia nzima yeye anataka kusema nini?
Nchi sasa hivi inaongoza kwa uchumi mzuri na kuboresha kwa kiwango cha juu maisha ya wafanyakazi na wakulima yeye anataka kusemaje? Asituambie kitu, sisi kwa kutununulia mandege tumepanga kumfanya was maisha. Asubiri tujipitishe uchaguzi Hui kisha Messy alete tens hiyo hoja na tutampitisha atake asitake.
Sisi tumeona ndani ya Chama "chetu" hakuna mwenye akili kumzidi labda akifuatiwa kwa mbali na Kabudi, huyu ni kama 'yesu' kwetu na ndio maana mkuu wetu was mkoa mmoja alisema "tumuite mungu (small capital) aje amshukuru huyu kwa utendaji uliotukuka"
Note;
Wakati naanza kuota ndoto hii ilianza eti nimeunga mkono juhudi! Lah, hapa lazima kuna malaria ngoja niwahi dawa private hospital maana Govt najua hakuna dawa MSD hawajalipwa zaidi ya 250B.
 
Back
Top Bottom