Wizara ya Maliasili Mtatoa lini Ajira kwa vijana Askari Wahifadhi?

Wizara ya Maliasili Mtatoa lini Ajira kwa vijana Askari Wahifadhi?

FamousinTown

Member
Joined
Aug 15, 2021
Posts
61
Reaction score
37
Wasalaam ,kwa Wanajukwaa wote imekuwa ni kipindi kirefu tangu vijana waajiriwe tangu mwaka 2018 ,sasa Tunawaomba Sana mhe waziri Atuangalie vijana tuohitimu mafunzo tangu mwaka 2020 hatujaajiriwa tangu tuhitimu na ukizingatia kuna takribani hifadhi mpya NNE zilianzishwa na bado hazina watumishi wa kutosha..Natumai wahusika mtaliona hili na Hasa vijana waliohitimu chuo cha Mweka na Pasiansi.
 
2018 ???? Mkuu hii sio kweli bhana kwa nadhani mwaka huu wa serikali ndo hawajatangaza ila mwaka jana 500 nafasi zilitangazwa tanapa....
Kimbembe ni sheria mpya za jeshi USU umri mwisho miaka 25 hawa watu jaman yaani wakishakuwa na mamlaka hawafikirii straight! Imagine kuna watu wako kitaa kuanzia 2015 magu hakuwahi tangaza ajira, sasa sijui miaka itakuaje ngoja tuonee....

Anyway za chinichini naskia September au October wanamwaga mkeka wa maana tuu

All the best mhifadhi
 
2018 ???? Mkuu hii sio kweli bhana kwa nadhani mwaka huu wa serikali ndo hawajatangaza ila mwaka jana 500 nafasi zilitangazwa tanapa....
Kimbembe ni sheria mpya za jeshi USU umri mwisho miaka 25 hawa watu jaman yaani wakishakuwa na mamlaka hawafikirii straight! Imagine kuna watu wako kitaa kuanzia 2015 magu hakuwahi tangaza ajira, sasa sijui miaka itakuaje ngoja tuonee....

Anyway za chinichini naskia September au October wanamwaga mkeka wa maana tuu

All the best mhifadhi
Hizo mia tano ni za 2019 ,na hawakuchuliwa wote ,ila shukrani mkuu inshaallah tunasubiri huo mkeka tukalitumikie Taifa letu maana viapo tumekwisha kula kitambo tu
 
Hizo mia tano ni za 2019 ,na hawakuchuliwa wote ,ila shukrani mkuu inshaallah tunasubiri huo mkeka tukalitumikie Taifa letu maana viapo tumekwisha kula kitambo tu

Mkuu nadhani uliona mkekaa wa October nahisi bado unaweza kutuma maombi! All the best tukutane aljoro inshalah [emoji3577]
 
Back
Top Bottom