Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuna tawala mbovu kabisa ambazo hazina mipango hapa Tanzania.Kwa mda mwingi ilikuwa inatumika kama Game Reserve! Saivi wamegawanya upande ni hifadhi ya Nyerere upande mwingine imebaki kuwa Game Reserve.
Ruaha National Park iko Iringa upande wa kulia kuelekea Mbeya. Inapakana na Wilaya ya Mbarali Kama sikosei Kwa Mbeya
Shida sio mipango mibovuMbona pato kuu la Zanzibar ni utalii? sisi kinachotutesa ni mipango mibovu, ufisadi, kujuana na serikali kubwa isiyo na manufaa kwa wananchi.
unajua serkali yetu imekalili utalii ni mbuga za wanyama na mlima kilimanjaro! Watu smart walitakiwa kufikiri zaidi ya hapo! Ndo maana tunakimbizana na Rwanda wakati sisi ni nchi kubwa na vivutio vyetu ni vingi kuliko wao!Mbona hatunufaiki sasa na utalii wenyewe? Zanzibar hakuna mbunga lakini utalii ndiyo unaingiza zaidi 80% pato la taifa
Hata izo mbuga za Wanyama tu hatujazi utilize vya kutosha kupelekea kutupa mafanikio tunayostahili.unajua serkali yetu imekalili utalii ni mbuga za wanyama na mlima kilimanjaro! Watu smart walitakiwa kufikiri zaidi ya hapo! Ndo maana tunakimbizana na Rwanda wakati sisi ni nchi kubwa na vivutio vyetu ni vingi kuliko wao!
Hao watendaji wamewekwa na nani?Shida sio mipango mibovu
Shida ni watendaji wasio wabunifu, uvivu na ushamba
Wanawekwa na binadamu Kama Mimi na wewe!Hao watendaji wamewekwa na nani?
Tatizo ni mfumo mbovu wa nchiunajua serkali yetu imekalili utalii ni mbuga za wanyama na mlima kilimanjaro! Watu smart walitakiwa kufikiri zaidi ya hapo! Ndo maana tunakimbizana na Rwanda wakati sisi ni nchi kubwa na vivutio vyetu ni vingi kuliko wao!
okWanawekwa na binadamu Kama Mimi na wewe!
Kwani Serengeti sio Kongwe?Mikumi ni mbuga kongwe, wanyama wanatembea kusaka malisho kwa hiyo mara nyingine kuwaona ni kwa mbinde
Ni kongwe, mito ni mingi iliyopo kule inasaidia wanyama waonekane kirahisi pia movement za wanyama ni kubwa maana NCAA ipo karibu na SerengetiKwani Serengeti sio Kongwe?
Kuna njia ya kuboresha hayo! Mabadiliko ya tabia nchi yameketa ukame sana! Swali ni Je wanafanya nini kutibu Tatizo la maji?Ni kongwe, mito ni mingi iliyopo kule inasaidia wanyama waonekane kirahisi pia movement za wanyama ni kubwa maana NCAA ipo karibu na Serengeti