Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaasa viongozi wa kidini kutojihusisha na kampeni za kisiasa kwa kuwaambia waumini wao kuhusu viongozi wa kuwachagua bali wabaki kuhubiri amani, upendo na umoja
Wizara imesema jumuiya za kijamii na taasisi za dini husajiliwa na Wizara ya Mambo ya ndani kwa mujibu wa Sura ya 337 kama ilivyofanyiwa marekebisho na Sheria Namba 3 ya mwaka 2019
Wizara imesema kiongozi wa dini kutoa maelekezo kwa waumini juu ya mgombea wa kumchagua ni kinyume na kifungu cha 17(c) cha Sheria ya Jumuiya
Wizara imewataka viongozi wa dini wazingatie sheria za Jumuiya ambayo inakataza viongozi wa kidini kujihusisha na vitendo hivyo, kwa kuwa vinaingilia uhuru wa kikatiba wa kila mtu kumchugua mgombea anayemtaka.
Wizara imesema jumuiya za kijamii na taasisi za dini husajiliwa na Wizara ya Mambo ya ndani kwa mujibu wa Sura ya 337 kama ilivyofanyiwa marekebisho na Sheria Namba 3 ya mwaka 2019
Wizara imesema kiongozi wa dini kutoa maelekezo kwa waumini juu ya mgombea wa kumchagua ni kinyume na kifungu cha 17(c) cha Sheria ya Jumuiya
Wizara imewataka viongozi wa dini wazingatie sheria za Jumuiya ambayo inakataza viongozi wa kidini kujihusisha na vitendo hivyo, kwa kuwa vinaingilia uhuru wa kikatiba wa kila mtu kumchugua mgombea anayemtaka.