kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,800
Duu, tatizo hii serikali haielewi wapi pa kusimama,, mambo yakifanyika upande wao hata kama ni kinyume cha sheria wanayanyamazia, jambo hilo hilo likifanyika upande wa pili ni kosa, hii haiwezi kukubalika kwa kwa watu wenye akili. Yaani wangekuwa serious Gwajima asingepewa fomu ya kugombea cheo cha kisiasa (ubunge).